id
string
story_id
string
context
string
question
string
answer
string
paragraph_id
string
2312_swa_5
2312_swa
Mke-mwenza mwenye wivu Hapo kale kulikuwa na wake wenza wawili. Waliishi katika nyumba moja na mume wao. Kwa muda mrefu hakuna mke aliyejaliwa kupata watoto. Hatimaye, mke wa kwanza alishika mimba. Alipojifungua mtoto, mume wao hakuwa nyumbani. Mke wa pili aliwaonea wivu mke wa kwanza na mtoto wake. Alianza kuwaza jinsi atakavyomwua mke mwenziwe ili awe mke wa pekee. Nyakati hizo, watu hawakuzoea kupika chakula. Walivila vyakula vikiwa vibichi. Mke wa pili alisema, "Nitakipika chakula ili nimdhuru mke- mwenzangu." Yeye aliamini kuwa chakula kilichopikwa kingeweza kumwua mtu. Basi alianza kumpikia mke mwenziwe chakula. Lakini, badala ya kufa, mke wa kwanza alizidi kuwa na afya nzuri kwa sababu ya kula chakula kilichopikwa. Mume wao aliporudi nyumbani, alimkuta mtoto mchanga na mke wa kwanza mwenye afya. Pia alitambua kuwa chakula kilikuwa kikipikwa. Mume huyo alishangazwa na upikaji wa chakula. Akauliza, "Nani aliwafunza kupika chakula?" Mke wa pili akamnong'onezea mumewe, "Ninakipika chakula ili nimue mke mwenzangu." "Ninamwonea wivu kwa sababu alimpata mtoto ilhali mimi sina. Nina wasiwasi kuwa utanifukuza ubaki naye." Mumewe alikasirika kisha akamuonya, "Acha kuwa na fikira hizo mbaya." Kisha yule mume aliwaleta wakeze pamoja. Aliwapatanisha wakaishi kwa amani. Walikubali kuendelea kupika chakula kwa sababu kiliwafanya kuwa na afya nzuri. Na hivi ndivyo upikaji wa chakula ulivyoanza! Source www.africanstorybook.org
Kwa muda mrefu, hakuna mke aliyejaliwa kupata nini?
Mtoto
x
2312_swa_6
2312_swa
Mke-mwenza mwenye wivu Hapo kale kulikuwa na wake wenza wawili. Waliishi katika nyumba moja na mume wao. Kwa muda mrefu hakuna mke aliyejaliwa kupata watoto. Hatimaye, mke wa kwanza alishika mimba. Alipojifungua mtoto, mume wao hakuwa nyumbani. Mke wa pili aliwaonea wivu mke wa kwanza na mtoto wake. Alianza kuwaza jinsi atakavyomwua mke mwenziwe ili awe mke wa pekee. Nyakati hizo, watu hawakuzoea kupika chakula. Walivila vyakula vikiwa vibichi. Mke wa pili alisema, "Nitakipika chakula ili nimdhuru mke- mwenzangu." Yeye aliamini kuwa chakula kilichopikwa kingeweza kumwua mtu. Basi alianza kumpikia mke mwenziwe chakula. Lakini, badala ya kufa, mke wa kwanza alizidi kuwa na afya nzuri kwa sababu ya kula chakula kilichopikwa. Mume wao aliporudi nyumbani, alimkuta mtoto mchanga na mke wa kwanza mwenye afya. Pia alitambua kuwa chakula kilikuwa kikipikwa. Mume huyo alishangazwa na upikaji wa chakula. Akauliza, "Nani aliwafunza kupika chakula?" Mke wa pili akamnong'onezea mumewe, "Ninakipika chakula ili nimue mke mwenzangu." "Ninamwonea wivu kwa sababu alimpata mtoto ilhali mimi sina. Nina wasiwasi kuwa utanifukuza ubaki naye." Mumewe alikasirika kisha akamuonya, "Acha kuwa na fikira hizo mbaya." Kisha yule mume aliwaleta wakeze pamoja. Aliwapatanisha wakaishi kwa amani. Walikubali kuendelea kupika chakula kwa sababu kiliwafanya kuwa na afya nzuri. Na hivi ndivyo upikaji wa chakula ulivyoanza! Source www.africanstorybook.org
Mke yupi alishika mimba wa kwanza?
Wa kwanza
x
2312_swa_7
2312_swa
Mke-mwenza mwenye wivu Hapo kale kulikuwa na wake wenza wawili. Waliishi katika nyumba moja na mume wao. Kwa muda mrefu hakuna mke aliyejaliwa kupata watoto. Hatimaye, mke wa kwanza alishika mimba. Alipojifungua mtoto, mume wao hakuwa nyumbani. Mke wa pili aliwaonea wivu mke wa kwanza na mtoto wake. Alianza kuwaza jinsi atakavyomwua mke mwenziwe ili awe mke wa pekee. Nyakati hizo, watu hawakuzoea kupika chakula. Walivila vyakula vikiwa vibichi. Mke wa pili alisema, "Nitakipika chakula ili nimdhuru mke- mwenzangu." Yeye aliamini kuwa chakula kilichopikwa kingeweza kumwua mtu. Basi alianza kumpikia mke mwenziwe chakula. Lakini, badala ya kufa, mke wa kwanza alizidi kuwa na afya nzuri kwa sababu ya kula chakula kilichopikwa. Mume wao aliporudi nyumbani, alimkuta mtoto mchanga na mke wa kwanza mwenye afya. Pia alitambua kuwa chakula kilikuwa kikipikwa. Mume huyo alishangazwa na upikaji wa chakula. Akauliza, "Nani aliwafunza kupika chakula?" Mke wa pili akamnong'onezea mumewe, "Ninakipika chakula ili nimue mke mwenzangu." "Ninamwonea wivu kwa sababu alimpata mtoto ilhali mimi sina. Nina wasiwasi kuwa utanifukuza ubaki naye." Mumewe alikasirika kisha akamuonya, "Acha kuwa na fikira hizo mbaya." Kisha yule mume aliwaleta wakeze pamoja. Aliwapatanisha wakaishi kwa amani. Walikubali kuendelea kupika chakula kwa sababu kiliwafanya kuwa na afya nzuri. Na hivi ndivyo upikaji wa chakula ulivyoanza! Source www.africanstorybook.org
Nani alikuwa na wivu kwenye familia?
Mke wa pili
x
2312_swa_8
2312_swa
Mke-mwenza mwenye wivu Hapo kale kulikuwa na wake wenza wawili. Waliishi katika nyumba moja na mume wao. Kwa muda mrefu hakuna mke aliyejaliwa kupata watoto. Hatimaye, mke wa kwanza alishika mimba. Alipojifungua mtoto, mume wao hakuwa nyumbani. Mke wa pili aliwaonea wivu mke wa kwanza na mtoto wake. Alianza kuwaza jinsi atakavyomwua mke mwenziwe ili awe mke wa pekee. Nyakati hizo, watu hawakuzoea kupika chakula. Walivila vyakula vikiwa vibichi. Mke wa pili alisema, "Nitakipika chakula ili nimdhuru mke- mwenzangu." Yeye aliamini kuwa chakula kilichopikwa kingeweza kumwua mtu. Basi alianza kumpikia mke mwenziwe chakula. Lakini, badala ya kufa, mke wa kwanza alizidi kuwa na afya nzuri kwa sababu ya kula chakula kilichopikwa. Mume wao aliporudi nyumbani, alimkuta mtoto mchanga na mke wa kwanza mwenye afya. Pia alitambua kuwa chakula kilikuwa kikipikwa. Mume huyo alishangazwa na upikaji wa chakula. Akauliza, "Nani aliwafunza kupika chakula?" Mke wa pili akamnong'onezea mumewe, "Ninakipika chakula ili nimue mke mwenzangu." "Ninamwonea wivu kwa sababu alimpata mtoto ilhali mimi sina. Nina wasiwasi kuwa utanifukuza ubaki naye." Mumewe alikasirika kisha akamuonya, "Acha kuwa na fikira hizo mbaya." Kisha yule mume aliwaleta wakeze pamoja. Aliwapatanisha wakaishi kwa amani. Walikubali kuendelea kupika chakula kwa sababu kiliwafanya kuwa na afya nzuri. Na hivi ndivyo upikaji wa chakula ulivyoanza! Source www.africanstorybook.org
Mke wa kwanza alikuwa na afya njema kutokana na nini?
Kula chakula kilichopikwa
x
2312_swa_9
2312_swa
Mke-mwenza mwenye wivu Hapo kale kulikuwa na wake wenza wawili. Waliishi katika nyumba moja na mume wao. Kwa muda mrefu hakuna mke aliyejaliwa kupata watoto. Hatimaye, mke wa kwanza alishika mimba. Alipojifungua mtoto, mume wao hakuwa nyumbani. Mke wa pili aliwaonea wivu mke wa kwanza na mtoto wake. Alianza kuwaza jinsi atakavyomwua mke mwenziwe ili awe mke wa pekee. Nyakati hizo, watu hawakuzoea kupika chakula. Walivila vyakula vikiwa vibichi. Mke wa pili alisema, "Nitakipika chakula ili nimdhuru mke- mwenzangu." Yeye aliamini kuwa chakula kilichopikwa kingeweza kumwua mtu. Basi alianza kumpikia mke mwenziwe chakula. Lakini, badala ya kufa, mke wa kwanza alizidi kuwa na afya nzuri kwa sababu ya kula chakula kilichopikwa. Mume wao aliporudi nyumbani, alimkuta mtoto mchanga na mke wa kwanza mwenye afya. Pia alitambua kuwa chakula kilikuwa kikipikwa. Mume huyo alishangazwa na upikaji wa chakula. Akauliza, "Nani aliwafunza kupika chakula?" Mke wa pili akamnong'onezea mumewe, "Ninakipika chakula ili nimue mke mwenzangu." "Ninamwonea wivu kwa sababu alimpata mtoto ilhali mimi sina. Nina wasiwasi kuwa utanifukuza ubaki naye." Mumewe alikasirika kisha akamuonya, "Acha kuwa na fikira hizo mbaya." Kisha yule mume aliwaleta wakeze pamoja. Aliwapatanisha wakaishi kwa amani. Walikubali kuendelea kupika chakula kwa sababu kiliwafanya kuwa na afya nzuri. Na hivi ndivyo upikaji wa chakula ulivyoanza! Source www.africanstorybook.org
Mke wa pili alipanga kumdhuru mke wa kwanza kivipi?
Kwa kumpikia chakula alichodhani kitamuua
x
2315_swa_0
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme tofauti. Kobe aliposikia hivyo, alimwonea wivu. Alimshauri Mojo, "Usiende. Ni mtego. Simba anakutuma wewe kama kafara." Mojo aliogopa. Siku iliyofuata, alienda kwa jamaa yake Jimbi akamwambia alivyoambiwa na Kobe. Jimbi hakumwamini Kobe. "Nitakutayarishia mlo mtamu usiku wa leo," Kobe alimweleza Mojo alipokutana naye baadaye. Mojo alienda nyumbani kwa Kobe kwa furaha kwa mlo. Mojo alipokuwa akistarehe, Kobe alimtupia wavu akamnasa! Kisha alienda nje kutafuta kuni. Mojo hakuweza kusonga. "Nisaidie, nisaidie!" alilia. Jimbi alikuwa karibu na nyumba ya Kobe. Alimsikia Mojo akipiga kelele. Aliita, "Mojo? Mojo?" "Jimbi! Njoo uniokoe!" Mojo alijibu. Jimbi alienda kwa haraka mahali Mojo alikuwa. Jimbi alimwokoa Mojo kutoka kwenye wavu. Mojo alimshukuru Jimbi kisha akikimbia na kwenda zake. Mojo alimwambia Mfalme Simba kuhusu jambo hilo. Mfalme alimfukuza Kobe kutoka kwenye ufalme wake. Source www.africanstorybook.org
Nani alikuwa mjumbe
Mojo
x
2315_swa_1
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme tofauti. Kobe aliposikia hivyo, alimwonea wivu. Alimshauri Mojo, "Usiende. Ni mtego. Simba anakutuma wewe kama kafara." Mojo aliogopa. Siku iliyofuata, alienda kwa jamaa yake Jimbi akamwambia alivyoambiwa na Kobe. Jimbi hakumwamini Kobe. "Nitakutayarishia mlo mtamu usiku wa leo," Kobe alimweleza Mojo alipokutana naye baadaye. Mojo alienda nyumbani kwa Kobe kwa furaha kwa mlo. Mojo alipokuwa akistarehe, Kobe alimtupia wavu akamnasa! Kisha alienda nje kutafuta kuni. Mojo hakuweza kusonga. "Nisaidie, nisaidie!" alilia. Jimbi alikuwa karibu na nyumba ya Kobe. Alimsikia Mojo akipiga kelele. Aliita, "Mojo? Mojo?" "Jimbi! Njoo uniokoe!" Mojo alijibu. Jimbi alienda kwa haraka mahali Mojo alikuwa. Jimbi alimwokoa Mojo kutoka kwenye wavu. Mojo alimshukuru Jimbi kisha akikimbia na kwenda zake. Mojo alimwambia Mfalme Simba kuhusu jambo hilo. Mfalme alimfukuza Kobe kutoka kwenye ufalme wake. Source www.africanstorybook.org
Mfalme Simba alitaka Mojo apeleke nini
Ujumbe
x
2315_swa_2
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme tofauti. Kobe aliposikia hivyo, alimwonea wivu. Alimshauri Mojo, "Usiende. Ni mtego. Simba anakutuma wewe kama kafara." Mojo aliogopa. Siku iliyofuata, alienda kwa jamaa yake Jimbi akamwambia alivyoambiwa na Kobe. Jimbi hakumwamini Kobe. "Nitakutayarishia mlo mtamu usiku wa leo," Kobe alimweleza Mojo alipokutana naye baadaye. Mojo alienda nyumbani kwa Kobe kwa furaha kwa mlo. Mojo alipokuwa akistarehe, Kobe alimtupia wavu akamnasa! Kisha alienda nje kutafuta kuni. Mojo hakuweza kusonga. "Nisaidie, nisaidie!" alilia. Jimbi alikuwa karibu na nyumba ya Kobe. Alimsikia Mojo akipiga kelele. Aliita, "Mojo? Mojo?" "Jimbi! Njoo uniokoe!" Mojo alijibu. Jimbi alienda kwa haraka mahali Mojo alikuwa. Jimbi alimwokoa Mojo kutoka kwenye wavu. Mojo alimshukuru Jimbi kisha akikimbia na kwenda zake. Mojo alimwambia Mfalme Simba kuhusu jambo hilo. Mfalme alimfukuza Kobe kutoka kwenye ufalme wake. Source www.africanstorybook.org
Nani alimshauri Mojo kutopeleka ujumbe
Kobe
x
2315_swa_3
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme tofauti. Kobe aliposikia hivyo, alimwonea wivu. Alimshauri Mojo, "Usiende. Ni mtego. Simba anakutuma wewe kama kafara." Mojo aliogopa. Siku iliyofuata, alienda kwa jamaa yake Jimbi akamwambia alivyoambiwa na Kobe. Jimbi hakumwamini Kobe. "Nitakutayarishia mlo mtamu usiku wa leo," Kobe alimweleza Mojo alipokutana naye baadaye. Mojo alienda nyumbani kwa Kobe kwa furaha kwa mlo. Mojo alipokuwa akistarehe, Kobe alimtupia wavu akamnasa! Kisha alienda nje kutafuta kuni. Mojo hakuweza kusonga. "Nisaidie, nisaidie!" alilia. Jimbi alikuwa karibu na nyumba ya Kobe. Alimsikia Mojo akipiga kelele. Aliita, "Mojo? Mojo?" "Jimbi! Njoo uniokoe!" Mojo alijibu. Jimbi alienda kwa haraka mahali Mojo alikuwa. Jimbi alimwokoa Mojo kutoka kwenye wavu. Mojo alimshukuru Jimbi kisha akikimbia na kwenda zake. Mojo alimwambia Mfalme Simba kuhusu jambo hilo. Mfalme alimfukuza Kobe kutoka kwenye ufalme wake. Source www.africanstorybook.org
Mojo alienda kwa jamaa yake anaitwa nani
Jimbi
x
2315_swa_4
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme tofauti. Kobe aliposikia hivyo, alimwonea wivu. Alimshauri Mojo, "Usiende. Ni mtego. Simba anakutuma wewe kama kafara." Mojo aliogopa. Siku iliyofuata, alienda kwa jamaa yake Jimbi akamwambia alivyoambiwa na Kobe. Jimbi hakumwamini Kobe. "Nitakutayarishia mlo mtamu usiku wa leo," Kobe alimweleza Mojo alipokutana naye baadaye. Mojo alienda nyumbani kwa Kobe kwa furaha kwa mlo. Mojo alipokuwa akistarehe, Kobe alimtupia wavu akamnasa! Kisha alienda nje kutafuta kuni. Mojo hakuweza kusonga. "Nisaidie, nisaidie!" alilia. Jimbi alikuwa karibu na nyumba ya Kobe. Alimsikia Mojo akipiga kelele. Aliita, "Mojo? Mojo?" "Jimbi! Njoo uniokoe!" Mojo alijibu. Jimbi alienda kwa haraka mahali Mojo alikuwa. Jimbi alimwokoa Mojo kutoka kwenye wavu. Mojo alimshukuru Jimbi kisha akikimbia na kwenda zake. Mojo alimwambia Mfalme Simba kuhusu jambo hilo. Mfalme alimfukuza Kobe kutoka kwenye ufalme wake. Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Mojo alikuwa anapiga kelele
Alitaka msaada kwa vile alitekwa nyara na kobe
x
2315_swa_5
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme tofauti. Kobe aliposikia hivyo, alimwonea wivu. Alimshauri Mojo, "Usiende. Ni mtego. Simba anakutuma wewe kama kafara." Mojo aliogopa. Siku iliyofuata, alienda kwa jamaa yake Jimbi akamwambia alivyoambiwa na Kobe. Jimbi hakumwamini Kobe. "Nitakutayarishia mlo mtamu usiku wa leo," Kobe alimweleza Mojo alipokutana naye baadaye. Mojo alienda nyumbani kwa Kobe kwa furaha kwa mlo. Mojo alipokuwa akistarehe, Kobe alimtupia wavu akamnasa! Kisha alienda nje kutafuta kuni. Mojo hakuweza kusonga. "Nisaidie, nisaidie!" alilia. Jimbi alikuwa karibu na nyumba ya Kobe. Alimsikia Mojo akipiga kelele. Aliita, "Mojo? Mojo?" "Jimbi! Njoo uniokoe!" Mojo alijibu. Jimbi alienda kwa haraka mahali Mojo alikuwa. Jimbi alimwokoa Mojo kutoka kwenye wavu. Mojo alimshukuru Jimbi kisha akikimbia na kwenda zake. Mojo alimwambia Mfalme Simba kuhusu jambo hilo. Mfalme alimfukuza Kobe kutoka kwenye ufalme wake. Source www.africanstorybook.org
Ndege Mojo aliishi katika ufalme upi?
Baro
x
2315_swa_6
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme tofauti. Kobe aliposikia hivyo, alimwonea wivu. Alimshauri Mojo, "Usiende. Ni mtego. Simba anakutuma wewe kama kafara." Mojo aliogopa. Siku iliyofuata, alienda kwa jamaa yake Jimbi akamwambia alivyoambiwa na Kobe. Jimbi hakumwamini Kobe. "Nitakutayarishia mlo mtamu usiku wa leo," Kobe alimweleza Mojo alipokutana naye baadaye. Mojo alienda nyumbani kwa Kobe kwa furaha kwa mlo. Mojo alipokuwa akistarehe, Kobe alimtupia wavu akamnasa! Kisha alienda nje kutafuta kuni. Mojo hakuweza kusonga. "Nisaidie, nisaidie!" alilia. Jimbi alikuwa karibu na nyumba ya Kobe. Alimsikia Mojo akipiga kelele. Aliita, "Mojo? Mojo?" "Jimbi! Njoo uniokoe!" Mojo alijibu. Jimbi alienda kwa haraka mahali Mojo alikuwa. Jimbi alimwokoa Mojo kutoka kwenye wavu. Mojo alimshukuru Jimbi kisha akikimbia na kwenda zake. Mojo alimwambia Mfalme Simba kuhusu jambo hilo. Mfalme alimfukuza Kobe kutoka kwenye ufalme wake. Source www.africanstorybook.org
Nani alikuwa mfalme wa Baro?
Simba
x
2315_swa_7
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme tofauti. Kobe aliposikia hivyo, alimwonea wivu. Alimshauri Mojo, "Usiende. Ni mtego. Simba anakutuma wewe kama kafara." Mojo aliogopa. Siku iliyofuata, alienda kwa jamaa yake Jimbi akamwambia alivyoambiwa na Kobe. Jimbi hakumwamini Kobe. "Nitakutayarishia mlo mtamu usiku wa leo," Kobe alimweleza Mojo alipokutana naye baadaye. Mojo alienda nyumbani kwa Kobe kwa furaha kwa mlo. Mojo alipokuwa akistarehe, Kobe alimtupia wavu akamnasa! Kisha alienda nje kutafuta kuni. Mojo hakuweza kusonga. "Nisaidie, nisaidie!" alilia. Jimbi alikuwa karibu na nyumba ya Kobe. Alimsikia Mojo akipiga kelele. Aliita, "Mojo? Mojo?" "Jimbi! Njoo uniokoe!" Mojo alijibu. Jimbi alienda kwa haraka mahali Mojo alikuwa. Jimbi alimwokoa Mojo kutoka kwenye wavu. Mojo alimshukuru Jimbi kisha akikimbia na kwenda zake. Mojo alimwambia Mfalme Simba kuhusu jambo hilo. Mfalme alimfukuza Kobe kutoka kwenye ufalme wake. Source www.africanstorybook.org
Nani alikuwa rafiki ya ndege Mojo?
Kobe
x
2315_swa_8
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme tofauti. Kobe aliposikia hivyo, alimwonea wivu. Alimshauri Mojo, "Usiende. Ni mtego. Simba anakutuma wewe kama kafara." Mojo aliogopa. Siku iliyofuata, alienda kwa jamaa yake Jimbi akamwambia alivyoambiwa na Kobe. Jimbi hakumwamini Kobe. "Nitakutayarishia mlo mtamu usiku wa leo," Kobe alimweleza Mojo alipokutana naye baadaye. Mojo alienda nyumbani kwa Kobe kwa furaha kwa mlo. Mojo alipokuwa akistarehe, Kobe alimtupia wavu akamnasa! Kisha alienda nje kutafuta kuni. Mojo hakuweza kusonga. "Nisaidie, nisaidie!" alilia. Jimbi alikuwa karibu na nyumba ya Kobe. Alimsikia Mojo akipiga kelele. Aliita, "Mojo? Mojo?" "Jimbi! Njoo uniokoe!" Mojo alijibu. Jimbi alienda kwa haraka mahali Mojo alikuwa. Jimbi alimwokoa Mojo kutoka kwenye wavu. Mojo alimshukuru Jimbi kisha akikimbia na kwenda zake. Mojo alimwambia Mfalme Simba kuhusu jambo hilo. Mfalme alimfukuza Kobe kutoka kwenye ufalme wake. Source www.africanstorybook.org
Jamaa yake ndege Mojo aliitwa nani?
Jimbi
x
2315_swa_9
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme tofauti. Kobe aliposikia hivyo, alimwonea wivu. Alimshauri Mojo, "Usiende. Ni mtego. Simba anakutuma wewe kama kafara." Mojo aliogopa. Siku iliyofuata, alienda kwa jamaa yake Jimbi akamwambia alivyoambiwa na Kobe. Jimbi hakumwamini Kobe. "Nitakutayarishia mlo mtamu usiku wa leo," Kobe alimweleza Mojo alipokutana naye baadaye. Mojo alienda nyumbani kwa Kobe kwa furaha kwa mlo. Mojo alipokuwa akistarehe, Kobe alimtupia wavu akamnasa! Kisha alienda nje kutafuta kuni. Mojo hakuweza kusonga. "Nisaidie, nisaidie!" alilia. Jimbi alikuwa karibu na nyumba ya Kobe. Alimsikia Mojo akipiga kelele. Aliita, "Mojo? Mojo?" "Jimbi! Njoo uniokoe!" Mojo alijibu. Jimbi alienda kwa haraka mahali Mojo alikuwa. Jimbi alimwokoa Mojo kutoka kwenye wavu. Mojo alimshukuru Jimbi kisha akikimbia na kwenda zake. Mojo alimwambia Mfalme Simba kuhusu jambo hilo. Mfalme alimfukuza Kobe kutoka kwenye ufalme wake. Source www.africanstorybook.org
Nani alimwokoa ndege Mojo kutoka kwa mtego wa wavu?
Jimbi
x
2320_swa_0
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaonya, "Jihadharini na Unyalego. Msichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Wasichana hao walifunganya maziwa, ndizi, viazi vitamu na maji. Wakachukua kamba za kufungia kuni na panga kali. Wakaondoka kwenda msituni. Walipokuwa njiani, Ajoh, Apiyo na Atieno waliongea na kucheka. Ghafla, Apiyo alisema, "Kimya! Tunakaribia anakoishi Unyalego." Ajoh hakuzingatia onyo la bibi. Atieno aliwaita, "Tazameni, hapa kuna meno ya Unyalego ya dhahabu. Tuyachukue?" Apiyo aliwakumbusha, "Msisahau kwamba bibi alituonya tusichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Ajoh akajibu, "Simwamini bibi. Nadhani alisema hivyo ili atuzuie kuchukua tunachotaka. Najua anatuonea wivu. Mimi nitayachukua hayo meno ya dhahabu." Dada zake walikuwa na wasiwasi wakamwonya Ajoh lakini, hakujali. Baadaye, Unyalego alikuja kutafuta meno yake. Alikasirika alipoyakosa. Aliwasikia Ajoh, Apiyo na Atieno wakizungumza na kucheka. Akajificha kando ya njia ambayo wasichana wale wangepitia. Walipokwisha kuzikusnaya kuni, walizibeba vichwani. Ghafla, wakasikia "Hzzzzzzzzz!" Walimwona Unyalego akiwa kinywa wazi, tayari kuwameza. Waliogopa sana wakajaribu kujificha. Unyalego akawauliza, "Ni nani aliyeyachukua meno yangu ya dhahabu?" Walipokosa kumjibu, Unyalego akaamua kuwadadisi wasichana hao. Akasema, "Ninataka muimbe wimbo. Yule atakayeimba bila kukosea, atakuwa hana hatia na ataenda nyumbani na kuni zake. Atakayekosea, ndiye aliye na hatia na atakuwa chakula changu kwa siku tatu zijazo!" Apiyo aliimba kwanza kwa sauti nyororo: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Kisha Atieno akaimba: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Mwishowe, ilikuwa zamu ya Ajoh. Kwa uwoga alisongea mbele na kuanza kuimba: S.i.o mi-mi, s.i.o. Aliimba vibaya akashindwa kuyatamka maneno sawa. Unyalego akamkemea, "Mbona huimbi vizuri kama wengine?" Papo hapo, Unyalego akammeza Ajoh. Atieno na Apiyo walikimbia kuwaeleza wanakijiji yaliyotokea. Source www.africanstorybook.org
Kijiji kipi kilizungukwa na milima na misitu
Sinyaire
x
2320_swa_1
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaonya, "Jihadharini na Unyalego. Msichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Wasichana hao walifunganya maziwa, ndizi, viazi vitamu na maji. Wakachukua kamba za kufungia kuni na panga kali. Wakaondoka kwenda msituni. Walipokuwa njiani, Ajoh, Apiyo na Atieno waliongea na kucheka. Ghafla, Apiyo alisema, "Kimya! Tunakaribia anakoishi Unyalego." Ajoh hakuzingatia onyo la bibi. Atieno aliwaita, "Tazameni, hapa kuna meno ya Unyalego ya dhahabu. Tuyachukue?" Apiyo aliwakumbusha, "Msisahau kwamba bibi alituonya tusichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Ajoh akajibu, "Simwamini bibi. Nadhani alisema hivyo ili atuzuie kuchukua tunachotaka. Najua anatuonea wivu. Mimi nitayachukua hayo meno ya dhahabu." Dada zake walikuwa na wasiwasi wakamwonya Ajoh lakini, hakujali. Baadaye, Unyalego alikuja kutafuta meno yake. Alikasirika alipoyakosa. Aliwasikia Ajoh, Apiyo na Atieno wakizungumza na kucheka. Akajificha kando ya njia ambayo wasichana wale wangepitia. Walipokwisha kuzikusnaya kuni, walizibeba vichwani. Ghafla, wakasikia "Hzzzzzzzzz!" Walimwona Unyalego akiwa kinywa wazi, tayari kuwameza. Waliogopa sana wakajaribu kujificha. Unyalego akawauliza, "Ni nani aliyeyachukua meno yangu ya dhahabu?" Walipokosa kumjibu, Unyalego akaamua kuwadadisi wasichana hao. Akasema, "Ninataka muimbe wimbo. Yule atakayeimba bila kukosea, atakuwa hana hatia na ataenda nyumbani na kuni zake. Atakayekosea, ndiye aliye na hatia na atakuwa chakula changu kwa siku tatu zijazo!" Apiyo aliimba kwanza kwa sauti nyororo: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Kisha Atieno akaimba: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Mwishowe, ilikuwa zamu ya Ajoh. Kwa uwoga alisongea mbele na kuanza kuimba: S.i.o mi-mi, s.i.o. Aliimba vibaya akashindwa kuyatamka maneno sawa. Unyalego akamkemea, "Mbona huimbi vizuri kama wengine?" Papo hapo, Unyalego akammeza Ajoh. Atieno na Apiyo walikimbia kuwaeleza wanakijiji yaliyotokea. Source www.africanstorybook.org
Wasichana walienda msituni kutafuta nini
Kuni
x
2320_swa_2
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaonya, "Jihadharini na Unyalego. Msichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Wasichana hao walifunganya maziwa, ndizi, viazi vitamu na maji. Wakachukua kamba za kufungia kuni na panga kali. Wakaondoka kwenda msituni. Walipokuwa njiani, Ajoh, Apiyo na Atieno waliongea na kucheka. Ghafla, Apiyo alisema, "Kimya! Tunakaribia anakoishi Unyalego." Ajoh hakuzingatia onyo la bibi. Atieno aliwaita, "Tazameni, hapa kuna meno ya Unyalego ya dhahabu. Tuyachukue?" Apiyo aliwakumbusha, "Msisahau kwamba bibi alituonya tusichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Ajoh akajibu, "Simwamini bibi. Nadhani alisema hivyo ili atuzuie kuchukua tunachotaka. Najua anatuonea wivu. Mimi nitayachukua hayo meno ya dhahabu." Dada zake walikuwa na wasiwasi wakamwonya Ajoh lakini, hakujali. Baadaye, Unyalego alikuja kutafuta meno yake. Alikasirika alipoyakosa. Aliwasikia Ajoh, Apiyo na Atieno wakizungumza na kucheka. Akajificha kando ya njia ambayo wasichana wale wangepitia. Walipokwisha kuzikusnaya kuni, walizibeba vichwani. Ghafla, wakasikia "Hzzzzzzzzz!" Walimwona Unyalego akiwa kinywa wazi, tayari kuwameza. Waliogopa sana wakajaribu kujificha. Unyalego akawauliza, "Ni nani aliyeyachukua meno yangu ya dhahabu?" Walipokosa kumjibu, Unyalego akaamua kuwadadisi wasichana hao. Akasema, "Ninataka muimbe wimbo. Yule atakayeimba bila kukosea, atakuwa hana hatia na ataenda nyumbani na kuni zake. Atakayekosea, ndiye aliye na hatia na atakuwa chakula changu kwa siku tatu zijazo!" Apiyo aliimba kwanza kwa sauti nyororo: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Kisha Atieno akaimba: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Mwishowe, ilikuwa zamu ya Ajoh. Kwa uwoga alisongea mbele na kuanza kuimba: S.i.o mi-mi, s.i.o. Aliimba vibaya akashindwa kuyatamka maneno sawa. Unyalego akamkemea, "Mbona huimbi vizuri kama wengine?" Papo hapo, Unyalego akammeza Ajoh. Atieno na Apiyo walikimbia kuwaeleza wanakijiji yaliyotokea. Source www.africanstorybook.org
Taja mojawapo ya baadhi ya vitu walivyobeba wasichana
Upanga
x
2320_swa_3
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaonya, "Jihadharini na Unyalego. Msichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Wasichana hao walifunganya maziwa, ndizi, viazi vitamu na maji. Wakachukua kamba za kufungia kuni na panga kali. Wakaondoka kwenda msituni. Walipokuwa njiani, Ajoh, Apiyo na Atieno waliongea na kucheka. Ghafla, Apiyo alisema, "Kimya! Tunakaribia anakoishi Unyalego." Ajoh hakuzingatia onyo la bibi. Atieno aliwaita, "Tazameni, hapa kuna meno ya Unyalego ya dhahabu. Tuyachukue?" Apiyo aliwakumbusha, "Msisahau kwamba bibi alituonya tusichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Ajoh akajibu, "Simwamini bibi. Nadhani alisema hivyo ili atuzuie kuchukua tunachotaka. Najua anatuonea wivu. Mimi nitayachukua hayo meno ya dhahabu." Dada zake walikuwa na wasiwasi wakamwonya Ajoh lakini, hakujali. Baadaye, Unyalego alikuja kutafuta meno yake. Alikasirika alipoyakosa. Aliwasikia Ajoh, Apiyo na Atieno wakizungumza na kucheka. Akajificha kando ya njia ambayo wasichana wale wangepitia. Walipokwisha kuzikusnaya kuni, walizibeba vichwani. Ghafla, wakasikia "Hzzzzzzzzz!" Walimwona Unyalego akiwa kinywa wazi, tayari kuwameza. Waliogopa sana wakajaribu kujificha. Unyalego akawauliza, "Ni nani aliyeyachukua meno yangu ya dhahabu?" Walipokosa kumjibu, Unyalego akaamua kuwadadisi wasichana hao. Akasema, "Ninataka muimbe wimbo. Yule atakayeimba bila kukosea, atakuwa hana hatia na ataenda nyumbani na kuni zake. Atakayekosea, ndiye aliye na hatia na atakuwa chakula changu kwa siku tatu zijazo!" Apiyo aliimba kwanza kwa sauti nyororo: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Kisha Atieno akaimba: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Mwishowe, ilikuwa zamu ya Ajoh. Kwa uwoga alisongea mbele na kuanza kuimba: S.i.o mi-mi, s.i.o. Aliimba vibaya akashindwa kuyatamka maneno sawa. Unyalego akamkemea, "Mbona huimbi vizuri kama wengine?" Papo hapo, Unyalego akammeza Ajoh. Atieno na Apiyo walikimbia kuwaeleza wanakijiji yaliyotokea. Source www.africanstorybook.org
Nani aliwakanya wenzake kuzungumza
Apiyo
x
2320_swa_4
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaonya, "Jihadharini na Unyalego. Msichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Wasichana hao walifunganya maziwa, ndizi, viazi vitamu na maji. Wakachukua kamba za kufungia kuni na panga kali. Wakaondoka kwenda msituni. Walipokuwa njiani, Ajoh, Apiyo na Atieno waliongea na kucheka. Ghafla, Apiyo alisema, "Kimya! Tunakaribia anakoishi Unyalego." Ajoh hakuzingatia onyo la bibi. Atieno aliwaita, "Tazameni, hapa kuna meno ya Unyalego ya dhahabu. Tuyachukue?" Apiyo aliwakumbusha, "Msisahau kwamba bibi alituonya tusichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Ajoh akajibu, "Simwamini bibi. Nadhani alisema hivyo ili atuzuie kuchukua tunachotaka. Najua anatuonea wivu. Mimi nitayachukua hayo meno ya dhahabu." Dada zake walikuwa na wasiwasi wakamwonya Ajoh lakini, hakujali. Baadaye, Unyalego alikuja kutafuta meno yake. Alikasirika alipoyakosa. Aliwasikia Ajoh, Apiyo na Atieno wakizungumza na kucheka. Akajificha kando ya njia ambayo wasichana wale wangepitia. Walipokwisha kuzikusnaya kuni, walizibeba vichwani. Ghafla, wakasikia "Hzzzzzzzzz!" Walimwona Unyalego akiwa kinywa wazi, tayari kuwameza. Waliogopa sana wakajaribu kujificha. Unyalego akawauliza, "Ni nani aliyeyachukua meno yangu ya dhahabu?" Walipokosa kumjibu, Unyalego akaamua kuwadadisi wasichana hao. Akasema, "Ninataka muimbe wimbo. Yule atakayeimba bila kukosea, atakuwa hana hatia na ataenda nyumbani na kuni zake. Atakayekosea, ndiye aliye na hatia na atakuwa chakula changu kwa siku tatu zijazo!" Apiyo aliimba kwanza kwa sauti nyororo: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Kisha Atieno akaimba: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Mwishowe, ilikuwa zamu ya Ajoh. Kwa uwoga alisongea mbele na kuanza kuimba: S.i.o mi-mi, s.i.o. Aliimba vibaya akashindwa kuyatamka maneno sawa. Unyalego akamkemea, "Mbona huimbi vizuri kama wengine?" Papo hapo, Unyalego akammeza Ajoh. Atieno na Apiyo walikimbia kuwaeleza wanakijiji yaliyotokea. Source www.africanstorybook.org
Kwa nini Ajoh hamwamini bibi
Alidhani bibi alikuwa anawaonea wivu
x
2320_swa_5
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaonya, "Jihadharini na Unyalego. Msichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Wasichana hao walifunganya maziwa, ndizi, viazi vitamu na maji. Wakachukua kamba za kufungia kuni na panga kali. Wakaondoka kwenda msituni. Walipokuwa njiani, Ajoh, Apiyo na Atieno waliongea na kucheka. Ghafla, Apiyo alisema, "Kimya! Tunakaribia anakoishi Unyalego." Ajoh hakuzingatia onyo la bibi. Atieno aliwaita, "Tazameni, hapa kuna meno ya Unyalego ya dhahabu. Tuyachukue?" Apiyo aliwakumbusha, "Msisahau kwamba bibi alituonya tusichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Ajoh akajibu, "Simwamini bibi. Nadhani alisema hivyo ili atuzuie kuchukua tunachotaka. Najua anatuonea wivu. Mimi nitayachukua hayo meno ya dhahabu." Dada zake walikuwa na wasiwasi wakamwonya Ajoh lakini, hakujali. Baadaye, Unyalego alikuja kutafuta meno yake. Alikasirika alipoyakosa. Aliwasikia Ajoh, Apiyo na Atieno wakizungumza na kucheka. Akajificha kando ya njia ambayo wasichana wale wangepitia. Walipokwisha kuzikusnaya kuni, walizibeba vichwani. Ghafla, wakasikia "Hzzzzzzzzz!" Walimwona Unyalego akiwa kinywa wazi, tayari kuwameza. Waliogopa sana wakajaribu kujificha. Unyalego akawauliza, "Ni nani aliyeyachukua meno yangu ya dhahabu?" Walipokosa kumjibu, Unyalego akaamua kuwadadisi wasichana hao. Akasema, "Ninataka muimbe wimbo. Yule atakayeimba bila kukosea, atakuwa hana hatia na ataenda nyumbani na kuni zake. Atakayekosea, ndiye aliye na hatia na atakuwa chakula changu kwa siku tatu zijazo!" Apiyo aliimba kwanza kwa sauti nyororo: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Kisha Atieno akaimba: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Mwishowe, ilikuwa zamu ya Ajoh. Kwa uwoga alisongea mbele na kuanza kuimba: S.i.o mi-mi, s.i.o. Aliimba vibaya akashindwa kuyatamka maneno sawa. Unyalego akamkemea, "Mbona huimbi vizuri kama wengine?" Papo hapo, Unyalego akammeza Ajoh. Atieno na Apiyo walikimbia kuwaeleza wanakijiji yaliyotokea. Source www.africanstorybook.org
Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na nini?
Milima na misitu
x
2320_swa_6
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaonya, "Jihadharini na Unyalego. Msichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Wasichana hao walifunganya maziwa, ndizi, viazi vitamu na maji. Wakachukua kamba za kufungia kuni na panga kali. Wakaondoka kwenda msituni. Walipokuwa njiani, Ajoh, Apiyo na Atieno waliongea na kucheka. Ghafla, Apiyo alisema, "Kimya! Tunakaribia anakoishi Unyalego." Ajoh hakuzingatia onyo la bibi. Atieno aliwaita, "Tazameni, hapa kuna meno ya Unyalego ya dhahabu. Tuyachukue?" Apiyo aliwakumbusha, "Msisahau kwamba bibi alituonya tusichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Ajoh akajibu, "Simwamini bibi. Nadhani alisema hivyo ili atuzuie kuchukua tunachotaka. Najua anatuonea wivu. Mimi nitayachukua hayo meno ya dhahabu." Dada zake walikuwa na wasiwasi wakamwonya Ajoh lakini, hakujali. Baadaye, Unyalego alikuja kutafuta meno yake. Alikasirika alipoyakosa. Aliwasikia Ajoh, Apiyo na Atieno wakizungumza na kucheka. Akajificha kando ya njia ambayo wasichana wale wangepitia. Walipokwisha kuzikusnaya kuni, walizibeba vichwani. Ghafla, wakasikia "Hzzzzzzzzz!" Walimwona Unyalego akiwa kinywa wazi, tayari kuwameza. Waliogopa sana wakajaribu kujificha. Unyalego akawauliza, "Ni nani aliyeyachukua meno yangu ya dhahabu?" Walipokosa kumjibu, Unyalego akaamua kuwadadisi wasichana hao. Akasema, "Ninataka muimbe wimbo. Yule atakayeimba bila kukosea, atakuwa hana hatia na ataenda nyumbani na kuni zake. Atakayekosea, ndiye aliye na hatia na atakuwa chakula changu kwa siku tatu zijazo!" Apiyo aliimba kwanza kwa sauti nyororo: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Kisha Atieno akaimba: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Mwishowe, ilikuwa zamu ya Ajoh. Kwa uwoga alisongea mbele na kuanza kuimba: S.i.o mi-mi, s.i.o. Aliimba vibaya akashindwa kuyatamka maneno sawa. Unyalego akamkemea, "Mbona huimbi vizuri kama wengine?" Papo hapo, Unyalego akammeza Ajoh. Atieno na Apiyo walikimbia kuwaeleza wanakijiji yaliyotokea. Source www.africanstorybook.org
Nani huishi ndani ya misity hiyo?
Nyoka wengi
x
2320_swa_7
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaonya, "Jihadharini na Unyalego. Msichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Wasichana hao walifunganya maziwa, ndizi, viazi vitamu na maji. Wakachukua kamba za kufungia kuni na panga kali. Wakaondoka kwenda msituni. Walipokuwa njiani, Ajoh, Apiyo na Atieno waliongea na kucheka. Ghafla, Apiyo alisema, "Kimya! Tunakaribia anakoishi Unyalego." Ajoh hakuzingatia onyo la bibi. Atieno aliwaita, "Tazameni, hapa kuna meno ya Unyalego ya dhahabu. Tuyachukue?" Apiyo aliwakumbusha, "Msisahau kwamba bibi alituonya tusichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Ajoh akajibu, "Simwamini bibi. Nadhani alisema hivyo ili atuzuie kuchukua tunachotaka. Najua anatuonea wivu. Mimi nitayachukua hayo meno ya dhahabu." Dada zake walikuwa na wasiwasi wakamwonya Ajoh lakini, hakujali. Baadaye, Unyalego alikuja kutafuta meno yake. Alikasirika alipoyakosa. Aliwasikia Ajoh, Apiyo na Atieno wakizungumza na kucheka. Akajificha kando ya njia ambayo wasichana wale wangepitia. Walipokwisha kuzikusnaya kuni, walizibeba vichwani. Ghafla, wakasikia "Hzzzzzzzzz!" Walimwona Unyalego akiwa kinywa wazi, tayari kuwameza. Waliogopa sana wakajaribu kujificha. Unyalego akawauliza, "Ni nani aliyeyachukua meno yangu ya dhahabu?" Walipokosa kumjibu, Unyalego akaamua kuwadadisi wasichana hao. Akasema, "Ninataka muimbe wimbo. Yule atakayeimba bila kukosea, atakuwa hana hatia na ataenda nyumbani na kuni zake. Atakayekosea, ndiye aliye na hatia na atakuwa chakula changu kwa siku tatu zijazo!" Apiyo aliimba kwanza kwa sauti nyororo: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Kisha Atieno akaimba: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Mwishowe, ilikuwa zamu ya Ajoh. Kwa uwoga alisongea mbele na kuanza kuimba: S.i.o mi-mi, s.i.o. Aliimba vibaya akashindwa kuyatamka maneno sawa. Unyalego akamkemea, "Mbona huimbi vizuri kama wengine?" Papo hapo, Unyalego akammeza Ajoh. Atieno na Apiyo walikimbia kuwaeleza wanakijiji yaliyotokea. Source www.africanstorybook.org
Nani aliwahimiza wengine kuchukuwa meno ya Unyalego ya dhahabu?
Atieno
x
2320_swa_8
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaonya, "Jihadharini na Unyalego. Msichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Wasichana hao walifunganya maziwa, ndizi, viazi vitamu na maji. Wakachukua kamba za kufungia kuni na panga kali. Wakaondoka kwenda msituni. Walipokuwa njiani, Ajoh, Apiyo na Atieno waliongea na kucheka. Ghafla, Apiyo alisema, "Kimya! Tunakaribia anakoishi Unyalego." Ajoh hakuzingatia onyo la bibi. Atieno aliwaita, "Tazameni, hapa kuna meno ya Unyalego ya dhahabu. Tuyachukue?" Apiyo aliwakumbusha, "Msisahau kwamba bibi alituonya tusichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Ajoh akajibu, "Simwamini bibi. Nadhani alisema hivyo ili atuzuie kuchukua tunachotaka. Najua anatuonea wivu. Mimi nitayachukua hayo meno ya dhahabu." Dada zake walikuwa na wasiwasi wakamwonya Ajoh lakini, hakujali. Baadaye, Unyalego alikuja kutafuta meno yake. Alikasirika alipoyakosa. Aliwasikia Ajoh, Apiyo na Atieno wakizungumza na kucheka. Akajificha kando ya njia ambayo wasichana wale wangepitia. Walipokwisha kuzikusnaya kuni, walizibeba vichwani. Ghafla, wakasikia "Hzzzzzzzzz!" Walimwona Unyalego akiwa kinywa wazi, tayari kuwameza. Waliogopa sana wakajaribu kujificha. Unyalego akawauliza, "Ni nani aliyeyachukua meno yangu ya dhahabu?" Walipokosa kumjibu, Unyalego akaamua kuwadadisi wasichana hao. Akasema, "Ninataka muimbe wimbo. Yule atakayeimba bila kukosea, atakuwa hana hatia na ataenda nyumbani na kuni zake. Atakayekosea, ndiye aliye na hatia na atakuwa chakula changu kwa siku tatu zijazo!" Apiyo aliimba kwanza kwa sauti nyororo: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Kisha Atieno akaimba: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Mwishowe, ilikuwa zamu ya Ajoh. Kwa uwoga alisongea mbele na kuanza kuimba: S.i.o mi-mi, s.i.o. Aliimba vibaya akashindwa kuyatamka maneno sawa. Unyalego akamkemea, "Mbona huimbi vizuri kama wengine?" Papo hapo, Unyalego akammeza Ajoh. Atieno na Apiyo walikimbia kuwaeleza wanakijiji yaliyotokea. Source www.africanstorybook.org
Nani alipuuza onyo la bibi la kutochukua kitu chochote kutoka msituni?
Ajoh
x
2320_swa_9
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaonya, "Jihadharini na Unyalego. Msichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Wasichana hao walifunganya maziwa, ndizi, viazi vitamu na maji. Wakachukua kamba za kufungia kuni na panga kali. Wakaondoka kwenda msituni. Walipokuwa njiani, Ajoh, Apiyo na Atieno waliongea na kucheka. Ghafla, Apiyo alisema, "Kimya! Tunakaribia anakoishi Unyalego." Ajoh hakuzingatia onyo la bibi. Atieno aliwaita, "Tazameni, hapa kuna meno ya Unyalego ya dhahabu. Tuyachukue?" Apiyo aliwakumbusha, "Msisahau kwamba bibi alituonya tusichukue chochote kutoka msituni ila kuni." Ajoh akajibu, "Simwamini bibi. Nadhani alisema hivyo ili atuzuie kuchukua tunachotaka. Najua anatuonea wivu. Mimi nitayachukua hayo meno ya dhahabu." Dada zake walikuwa na wasiwasi wakamwonya Ajoh lakini, hakujali. Baadaye, Unyalego alikuja kutafuta meno yake. Alikasirika alipoyakosa. Aliwasikia Ajoh, Apiyo na Atieno wakizungumza na kucheka. Akajificha kando ya njia ambayo wasichana wale wangepitia. Walipokwisha kuzikusnaya kuni, walizibeba vichwani. Ghafla, wakasikia "Hzzzzzzzzz!" Walimwona Unyalego akiwa kinywa wazi, tayari kuwameza. Waliogopa sana wakajaribu kujificha. Unyalego akawauliza, "Ni nani aliyeyachukua meno yangu ya dhahabu?" Walipokosa kumjibu, Unyalego akaamua kuwadadisi wasichana hao. Akasema, "Ninataka muimbe wimbo. Yule atakayeimba bila kukosea, atakuwa hana hatia na ataenda nyumbani na kuni zake. Atakayekosea, ndiye aliye na hatia na atakuwa chakula changu kwa siku tatu zijazo!" Apiyo aliimba kwanza kwa sauti nyororo: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Kisha Atieno akaimba: Sio mimi, sio mimi niliyeiba meno, aliyeyaiba yuko hapo nyuma aaaah. Mwishowe, ilikuwa zamu ya Ajoh. Kwa uwoga alisongea mbele na kuanza kuimba: S.i.o mi-mi, s.i.o. Aliimba vibaya akashindwa kuyatamka maneno sawa. Unyalego akamkemea, "Mbona huimbi vizuri kama wengine?" Papo hapo, Unyalego akammeza Ajoh. Atieno na Apiyo walikimbia kuwaeleza wanakijiji yaliyotokea. Source www.africanstorybook.org
Unyalego aliwalazimisha wasichana kufanya nini ili asiwale?
Waimbe wimbo bila kukosea
x
3056_swa_0
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo tofauti tofauti ili wapite mitihani yao. Vile vile utafiti aina ainati unawezekana kufanyika kwa siku kadhaa na ukapata jibu mwafaka. Uwezekano wa kuchapisha karatasi au vitabu ni rahisi mno kuwa kuna urahisi na teknolojia iliyosambaa na kutumika dunia nzima. Kadhalika, kazi ni rahisi mno. Mazungumzo baina ya watu walio mbali au nchi tofauti tofauti ni rahisi pia. Wanafunzi wanaweza kuongea na wazazi wao wakiwa shuleni. Watahini wa mitihani wanaweza kuelezea jinsi wanafaa kujitayarisha na mitihani yao kupitia mitandao. Vile vile wanafunzi wanaweza kuuliza maswali mtandaoni na kujibiwa papo kwa hapo. Pia, uwezekano wa mwanafunzi kujizatiti ni mkubwa kwa sababu vifaa tajika vinavyosababisha mwanafunzi kufaulu vinapatika. Teknolojia pia inaweza kuathiri mwanafunzi kwa njia mbalimbali. Wanafunzi wengi wamepata changamoto za mimba mapema. Chanzo chake ni utumiaji mbaya wa simu kwa mazungumzo mabaya. Kuacha shule ni tatizo sugu yanayowakumba wanafunzi wengi. Pindi mwanafunzi akina na uzoefu mbaya wa teknolojia kuna uwezekano wa kuacha shule na kudharau masomo. Ndoa za mapema zimekithiri nchini kwa utumizi mbaya wa teknolojia. Wanafunzi mbalimbali huol ka mapema na kuacha masomo kwa kuna ametumia teknolojia mbali mbali kinyume na kumsababishia kuoleka bila kumaliza masomo yao. Wizi uliokithiri kila mahali kupitia njia za mkoto. Watu huweza kuibiwa pesa zao kwa kupigiwa na mtu asiyemjua na kuhimizwa kubonyeza nambari husika. Hili jambo la wizi huchangia wanafunzi wengi kujihusisha na kupata pesa kwa urahisi. Kutofaulu mitihani kwa wanafunzi kunaweza kuchangiwa na matumizi mabaya ya teknolojia ambayo wanafunzi hupata matokeo duni yanayosababishwa na kupoteza muda wao mwingi kutumia teknolojia vibaya.
Tekinolojia ni mfumo wa nini
Maendeleo
x
3056_swa_1
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo tofauti tofauti ili wapite mitihani yao. Vile vile utafiti aina ainati unawezekana kufanyika kwa siku kadhaa na ukapata jibu mwafaka. Uwezekano wa kuchapisha karatasi au vitabu ni rahisi mno kuwa kuna urahisi na teknolojia iliyosambaa na kutumika dunia nzima. Kadhalika, kazi ni rahisi mno. Mazungumzo baina ya watu walio mbali au nchi tofauti tofauti ni rahisi pia. Wanafunzi wanaweza kuongea na wazazi wao wakiwa shuleni. Watahini wa mitihani wanaweza kuelezea jinsi wanafaa kujitayarisha na mitihani yao kupitia mitandao. Vile vile wanafunzi wanaweza kuuliza maswali mtandaoni na kujibiwa papo kwa hapo. Pia, uwezekano wa mwanafunzi kujizatiti ni mkubwa kwa sababu vifaa tajika vinavyosababisha mwanafunzi kufaulu vinapatika. Teknolojia pia inaweza kuathiri mwanafunzi kwa njia mbalimbali. Wanafunzi wengi wamepata changamoto za mimba mapema. Chanzo chake ni utumiaji mbaya wa simu kwa mazungumzo mabaya. Kuacha shule ni tatizo sugu yanayowakumba wanafunzi wengi. Pindi mwanafunzi akina na uzoefu mbaya wa teknolojia kuna uwezekano wa kuacha shule na kudharau masomo. Ndoa za mapema zimekithiri nchini kwa utumizi mbaya wa teknolojia. Wanafunzi mbalimbali huol ka mapema na kuacha masomo kwa kuna ametumia teknolojia mbali mbali kinyume na kumsababishia kuoleka bila kumaliza masomo yao. Wizi uliokithiri kila mahali kupitia njia za mkoto. Watu huweza kuibiwa pesa zao kwa kupigiwa na mtu asiyemjua na kuhimizwa kubonyeza nambari husika. Hili jambo la wizi huchangia wanafunzi wengi kujihusisha na kupata pesa kwa urahisi. Kutofaulu mitihani kwa wanafunzi kunaweza kuchangiwa na matumizi mabaya ya teknolojia ambayo wanafunzi hupata matokeo duni yanayosababishwa na kupoteza muda wao mwingi kutumia teknolojia vibaya.
Tekinolojia imewasaidia wanafunzi kusoma wapi
Mitandaoni
x
3056_swa_2
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo tofauti tofauti ili wapite mitihani yao. Vile vile utafiti aina ainati unawezekana kufanyika kwa siku kadhaa na ukapata jibu mwafaka. Uwezekano wa kuchapisha karatasi au vitabu ni rahisi mno kuwa kuna urahisi na teknolojia iliyosambaa na kutumika dunia nzima. Kadhalika, kazi ni rahisi mno. Mazungumzo baina ya watu walio mbali au nchi tofauti tofauti ni rahisi pia. Wanafunzi wanaweza kuongea na wazazi wao wakiwa shuleni. Watahini wa mitihani wanaweza kuelezea jinsi wanafaa kujitayarisha na mitihani yao kupitia mitandao. Vile vile wanafunzi wanaweza kuuliza maswali mtandaoni na kujibiwa papo kwa hapo. Pia, uwezekano wa mwanafunzi kujizatiti ni mkubwa kwa sababu vifaa tajika vinavyosababisha mwanafunzi kufaulu vinapatika. Teknolojia pia inaweza kuathiri mwanafunzi kwa njia mbalimbali. Wanafunzi wengi wamepata changamoto za mimba mapema. Chanzo chake ni utumiaji mbaya wa simu kwa mazungumzo mabaya. Kuacha shule ni tatizo sugu yanayowakumba wanafunzi wengi. Pindi mwanafunzi akina na uzoefu mbaya wa teknolojia kuna uwezekano wa kuacha shule na kudharau masomo. Ndoa za mapema zimekithiri nchini kwa utumizi mbaya wa teknolojia. Wanafunzi mbalimbali huol ka mapema na kuacha masomo kwa kuna ametumia teknolojia mbali mbali kinyume na kumsababishia kuoleka bila kumaliza masomo yao. Wizi uliokithiri kila mahali kupitia njia za mkoto. Watu huweza kuibiwa pesa zao kwa kupigiwa na mtu asiyemjua na kuhimizwa kubonyeza nambari husika. Hili jambo la wizi huchangia wanafunzi wengi kujihusisha na kupata pesa kwa urahisi. Kutofaulu mitihani kwa wanafunzi kunaweza kuchangiwa na matumizi mabaya ya teknolojia ambayo wanafunzi hupata matokeo duni yanayosababishwa na kupoteza muda wao mwingi kutumia teknolojia vibaya.
Ni nani wamepata changamoto za mimba za mapema
Wanafunzi
x
3056_swa_3
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo tofauti tofauti ili wapite mitihani yao. Vile vile utafiti aina ainati unawezekana kufanyika kwa siku kadhaa na ukapata jibu mwafaka. Uwezekano wa kuchapisha karatasi au vitabu ni rahisi mno kuwa kuna urahisi na teknolojia iliyosambaa na kutumika dunia nzima. Kadhalika, kazi ni rahisi mno. Mazungumzo baina ya watu walio mbali au nchi tofauti tofauti ni rahisi pia. Wanafunzi wanaweza kuongea na wazazi wao wakiwa shuleni. Watahini wa mitihani wanaweza kuelezea jinsi wanafaa kujitayarisha na mitihani yao kupitia mitandao. Vile vile wanafunzi wanaweza kuuliza maswali mtandaoni na kujibiwa papo kwa hapo. Pia, uwezekano wa mwanafunzi kujizatiti ni mkubwa kwa sababu vifaa tajika vinavyosababisha mwanafunzi kufaulu vinapatika. Teknolojia pia inaweza kuathiri mwanafunzi kwa njia mbalimbali. Wanafunzi wengi wamepata changamoto za mimba mapema. Chanzo chake ni utumiaji mbaya wa simu kwa mazungumzo mabaya. Kuacha shule ni tatizo sugu yanayowakumba wanafunzi wengi. Pindi mwanafunzi akina na uzoefu mbaya wa teknolojia kuna uwezekano wa kuacha shule na kudharau masomo. Ndoa za mapema zimekithiri nchini kwa utumizi mbaya wa teknolojia. Wanafunzi mbalimbali huol ka mapema na kuacha masomo kwa kuna ametumia teknolojia mbali mbali kinyume na kumsababishia kuoleka bila kumaliza masomo yao. Wizi uliokithiri kila mahali kupitia njia za mkoto. Watu huweza kuibiwa pesa zao kwa kupigiwa na mtu asiyemjua na kuhimizwa kubonyeza nambari husika. Hili jambo la wizi huchangia wanafunzi wengi kujihusisha na kupata pesa kwa urahisi. Kutofaulu mitihani kwa wanafunzi kunaweza kuchangiwa na matumizi mabaya ya teknolojia ambayo wanafunzi hupata matokeo duni yanayosababishwa na kupoteza muda wao mwingi kutumia teknolojia vibaya.
Ni nini imekithiri kwa kutumia njia za mkato
wizi
x
3056_swa_4
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo tofauti tofauti ili wapite mitihani yao. Vile vile utafiti aina ainati unawezekana kufanyika kwa siku kadhaa na ukapata jibu mwafaka. Uwezekano wa kuchapisha karatasi au vitabu ni rahisi mno kuwa kuna urahisi na teknolojia iliyosambaa na kutumika dunia nzima. Kadhalika, kazi ni rahisi mno. Mazungumzo baina ya watu walio mbali au nchi tofauti tofauti ni rahisi pia. Wanafunzi wanaweza kuongea na wazazi wao wakiwa shuleni. Watahini wa mitihani wanaweza kuelezea jinsi wanafaa kujitayarisha na mitihani yao kupitia mitandao. Vile vile wanafunzi wanaweza kuuliza maswali mtandaoni na kujibiwa papo kwa hapo. Pia, uwezekano wa mwanafunzi kujizatiti ni mkubwa kwa sababu vifaa tajika vinavyosababisha mwanafunzi kufaulu vinapatika. Teknolojia pia inaweza kuathiri mwanafunzi kwa njia mbalimbali. Wanafunzi wengi wamepata changamoto za mimba mapema. Chanzo chake ni utumiaji mbaya wa simu kwa mazungumzo mabaya. Kuacha shule ni tatizo sugu yanayowakumba wanafunzi wengi. Pindi mwanafunzi akina na uzoefu mbaya wa teknolojia kuna uwezekano wa kuacha shule na kudharau masomo. Ndoa za mapema zimekithiri nchini kwa utumizi mbaya wa teknolojia. Wanafunzi mbalimbali huol ka mapema na kuacha masomo kwa kuna ametumia teknolojia mbali mbali kinyume na kumsababishia kuoleka bila kumaliza masomo yao. Wizi uliokithiri kila mahali kupitia njia za mkoto. Watu huweza kuibiwa pesa zao kwa kupigiwa na mtu asiyemjua na kuhimizwa kubonyeza nambari husika. Hili jambo la wizi huchangia wanafunzi wengi kujihusisha na kupata pesa kwa urahisi. Kutofaulu mitihani kwa wanafunzi kunaweza kuchangiwa na matumizi mabaya ya teknolojia ambayo wanafunzi hupata matokeo duni yanayosababishwa na kupoteza muda wao mwingi kutumia teknolojia vibaya.
Tekinolojia huchangia vipi kwa matokeo duni ya mitihani
Kwa matumizi mabaya ya tekinolojia
x
3056_swa_5
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo tofauti tofauti ili wapite mitihani yao. Vile vile utafiti aina ainati unawezekana kufanyika kwa siku kadhaa na ukapata jibu mwafaka. Uwezekano wa kuchapisha karatasi au vitabu ni rahisi mno kuwa kuna urahisi na teknolojia iliyosambaa na kutumika dunia nzima. Kadhalika, kazi ni rahisi mno. Mazungumzo baina ya watu walio mbali au nchi tofauti tofauti ni rahisi pia. Wanafunzi wanaweza kuongea na wazazi wao wakiwa shuleni. Watahini wa mitihani wanaweza kuelezea jinsi wanafaa kujitayarisha na mitihani yao kupitia mitandao. Vile vile wanafunzi wanaweza kuuliza maswali mtandaoni na kujibiwa papo kwa hapo. Pia, uwezekano wa mwanafunzi kujizatiti ni mkubwa kwa sababu vifaa tajika vinavyosababisha mwanafunzi kufaulu vinapatika. Teknolojia pia inaweza kuathiri mwanafunzi kwa njia mbalimbali. Wanafunzi wengi wamepata changamoto za mimba mapema. Chanzo chake ni utumiaji mbaya wa simu kwa mazungumzo mabaya. Kuacha shule ni tatizo sugu yanayowakumba wanafunzi wengi. Pindi mwanafunzi akina na uzoefu mbaya wa teknolojia kuna uwezekano wa kuacha shule na kudharau masomo. Ndoa za mapema zimekithiri nchini kwa utumizi mbaya wa teknolojia. Wanafunzi mbalimbali huol ka mapema na kuacha masomo kwa kuna ametumia teknolojia mbali mbali kinyume na kumsababishia kuoleka bila kumaliza masomo yao. Wizi uliokithiri kila mahali kupitia njia za mkoto. Watu huweza kuibiwa pesa zao kwa kupigiwa na mtu asiyemjua na kuhimizwa kubonyeza nambari husika. Hili jambo la wizi huchangia wanafunzi wengi kujihusisha na kupata pesa kwa urahisi. Kutofaulu mitihani kwa wanafunzi kunaweza kuchangiwa na matumizi mabaya ya teknolojia ambayo wanafunzi hupata matokeo duni yanayosababishwa na kupoteza muda wao mwingi kutumia teknolojia vibaya.
Tekinolojia husaidia katika kufanya nini
utafiti
x
3056_swa_6
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo tofauti tofauti ili wapite mitihani yao. Vile vile utafiti aina ainati unawezekana kufanyika kwa siku kadhaa na ukapata jibu mwafaka. Uwezekano wa kuchapisha karatasi au vitabu ni rahisi mno kuwa kuna urahisi na teknolojia iliyosambaa na kutumika dunia nzima. Kadhalika, kazi ni rahisi mno. Mazungumzo baina ya watu walio mbali au nchi tofauti tofauti ni rahisi pia. Wanafunzi wanaweza kuongea na wazazi wao wakiwa shuleni. Watahini wa mitihani wanaweza kuelezea jinsi wanafaa kujitayarisha na mitihani yao kupitia mitandao. Vile vile wanafunzi wanaweza kuuliza maswali mtandaoni na kujibiwa papo kwa hapo. Pia, uwezekano wa mwanafunzi kujizatiti ni mkubwa kwa sababu vifaa tajika vinavyosababisha mwanafunzi kufaulu vinapatika. Teknolojia pia inaweza kuathiri mwanafunzi kwa njia mbalimbali. Wanafunzi wengi wamepata changamoto za mimba mapema. Chanzo chake ni utumiaji mbaya wa simu kwa mazungumzo mabaya. Kuacha shule ni tatizo sugu yanayowakumba wanafunzi wengi. Pindi mwanafunzi akina na uzoefu mbaya wa teknolojia kuna uwezekano wa kuacha shule na kudharau masomo. Ndoa za mapema zimekithiri nchini kwa utumizi mbaya wa teknolojia. Wanafunzi mbalimbali huol ka mapema na kuacha masomo kwa kuna ametumia teknolojia mbali mbali kinyume na kumsababishia kuoleka bila kumaliza masomo yao. Wizi uliokithiri kila mahali kupitia njia za mkoto. Watu huweza kuibiwa pesa zao kwa kupigiwa na mtu asiyemjua na kuhimizwa kubonyeza nambari husika. Hili jambo la wizi huchangia wanafunzi wengi kujihusisha na kupata pesa kwa urahisi. Kutofaulu mitihani kwa wanafunzi kunaweza kuchangiwa na matumizi mabaya ya teknolojia ambayo wanafunzi hupata matokeo duni yanayosababishwa na kupoteza muda wao mwingi kutumia teknolojia vibaya.
Wanafunzi wanatumia nini kufanya hisabati
Kikokotoo
x
3056_swa_7
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo tofauti tofauti ili wapite mitihani yao. Vile vile utafiti aina ainati unawezekana kufanyika kwa siku kadhaa na ukapata jibu mwafaka. Uwezekano wa kuchapisha karatasi au vitabu ni rahisi mno kuwa kuna urahisi na teknolojia iliyosambaa na kutumika dunia nzima. Kadhalika, kazi ni rahisi mno. Mazungumzo baina ya watu walio mbali au nchi tofauti tofauti ni rahisi pia. Wanafunzi wanaweza kuongea na wazazi wao wakiwa shuleni. Watahini wa mitihani wanaweza kuelezea jinsi wanafaa kujitayarisha na mitihani yao kupitia mitandao. Vile vile wanafunzi wanaweza kuuliza maswali mtandaoni na kujibiwa papo kwa hapo. Pia, uwezekano wa mwanafunzi kujizatiti ni mkubwa kwa sababu vifaa tajika vinavyosababisha mwanafunzi kufaulu vinapatika. Teknolojia pia inaweza kuathiri mwanafunzi kwa njia mbalimbali. Wanafunzi wengi wamepata changamoto za mimba mapema. Chanzo chake ni utumiaji mbaya wa simu kwa mazungumzo mabaya. Kuacha shule ni tatizo sugu yanayowakumba wanafunzi wengi. Pindi mwanafunzi akina na uzoefu mbaya wa teknolojia kuna uwezekano wa kuacha shule na kudharau masomo. Ndoa za mapema zimekithiri nchini kwa utumizi mbaya wa teknolojia. Wanafunzi mbalimbali huol ka mapema na kuacha masomo kwa kuna ametumia teknolojia mbali mbali kinyume na kumsababishia kuoleka bila kumaliza masomo yao. Wizi uliokithiri kila mahali kupitia njia za mkoto. Watu huweza kuibiwa pesa zao kwa kupigiwa na mtu asiyemjua na kuhimizwa kubonyeza nambari husika. Hili jambo la wizi huchangia wanafunzi wengi kujihusisha na kupata pesa kwa urahisi. Kutofaulu mitihani kwa wanafunzi kunaweza kuchangiwa na matumizi mabaya ya teknolojia ambayo wanafunzi hupata matokeo duni yanayosababishwa na kupoteza muda wao mwingi kutumia teknolojia vibaya.
Data inahifadhiwa ofisini kwa kutumia nini
Kompyuta
x
3056_swa_8
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo tofauti tofauti ili wapite mitihani yao. Vile vile utafiti aina ainati unawezekana kufanyika kwa siku kadhaa na ukapata jibu mwafaka. Uwezekano wa kuchapisha karatasi au vitabu ni rahisi mno kuwa kuna urahisi na teknolojia iliyosambaa na kutumika dunia nzima. Kadhalika, kazi ni rahisi mno. Mazungumzo baina ya watu walio mbali au nchi tofauti tofauti ni rahisi pia. Wanafunzi wanaweza kuongea na wazazi wao wakiwa shuleni. Watahini wa mitihani wanaweza kuelezea jinsi wanafaa kujitayarisha na mitihani yao kupitia mitandao. Vile vile wanafunzi wanaweza kuuliza maswali mtandaoni na kujibiwa papo kwa hapo. Pia, uwezekano wa mwanafunzi kujizatiti ni mkubwa kwa sababu vifaa tajika vinavyosababisha mwanafunzi kufaulu vinapatika. Teknolojia pia inaweza kuathiri mwanafunzi kwa njia mbalimbali. Wanafunzi wengi wamepata changamoto za mimba mapema. Chanzo chake ni utumiaji mbaya wa simu kwa mazungumzo mabaya. Kuacha shule ni tatizo sugu yanayowakumba wanafunzi wengi. Pindi mwanafunzi akina na uzoefu mbaya wa teknolojia kuna uwezekano wa kuacha shule na kudharau masomo. Ndoa za mapema zimekithiri nchini kwa utumizi mbaya wa teknolojia. Wanafunzi mbalimbali huol ka mapema na kuacha masomo kwa kuna ametumia teknolojia mbali mbali kinyume na kumsababishia kuoleka bila kumaliza masomo yao. Wizi uliokithiri kila mahali kupitia njia za mkoto. Watu huweza kuibiwa pesa zao kwa kupigiwa na mtu asiyemjua na kuhimizwa kubonyeza nambari husika. Hili jambo la wizi huchangia wanafunzi wengi kujihusisha na kupata pesa kwa urahisi. Kutofaulu mitihani kwa wanafunzi kunaweza kuchangiwa na matumizi mabaya ya teknolojia ambayo wanafunzi hupata matokeo duni yanayosababishwa na kupoteza muda wao mwingi kutumia teknolojia vibaya.
Ni nini inatumiwa kuonyesha picha iwapo wanafunzi ni wengi
Projekta
x
3056_swa_9
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo tofauti tofauti ili wapite mitihani yao. Vile vile utafiti aina ainati unawezekana kufanyika kwa siku kadhaa na ukapata jibu mwafaka. Uwezekano wa kuchapisha karatasi au vitabu ni rahisi mno kuwa kuna urahisi na teknolojia iliyosambaa na kutumika dunia nzima. Kadhalika, kazi ni rahisi mno. Mazungumzo baina ya watu walio mbali au nchi tofauti tofauti ni rahisi pia. Wanafunzi wanaweza kuongea na wazazi wao wakiwa shuleni. Watahini wa mitihani wanaweza kuelezea jinsi wanafaa kujitayarisha na mitihani yao kupitia mitandao. Vile vile wanafunzi wanaweza kuuliza maswali mtandaoni na kujibiwa papo kwa hapo. Pia, uwezekano wa mwanafunzi kujizatiti ni mkubwa kwa sababu vifaa tajika vinavyosababisha mwanafunzi kufaulu vinapatika. Teknolojia pia inaweza kuathiri mwanafunzi kwa njia mbalimbali. Wanafunzi wengi wamepata changamoto za mimba mapema. Chanzo chake ni utumiaji mbaya wa simu kwa mazungumzo mabaya. Kuacha shule ni tatizo sugu yanayowakumba wanafunzi wengi. Pindi mwanafunzi akina na uzoefu mbaya wa teknolojia kuna uwezekano wa kuacha shule na kudharau masomo. Ndoa za mapema zimekithiri nchini kwa utumizi mbaya wa teknolojia. Wanafunzi mbalimbali huol ka mapema na kuacha masomo kwa kuna ametumia teknolojia mbali mbali kinyume na kumsababishia kuoleka bila kumaliza masomo yao. Wizi uliokithiri kila mahali kupitia njia za mkoto. Watu huweza kuibiwa pesa zao kwa kupigiwa na mtu asiyemjua na kuhimizwa kubonyeza nambari husika. Hili jambo la wizi huchangia wanafunzi wengi kujihusisha na kupata pesa kwa urahisi. Kutofaulu mitihani kwa wanafunzi kunaweza kuchangiwa na matumizi mabaya ya teknolojia ambayo wanafunzi hupata matokeo duni yanayosababishwa na kupoteza muda wao mwingi kutumia teknolojia vibaya.
Udororaji wa nidhamu umechangiwa vipi na tekinolojia
Wanatumia rununu na kompyuta kuangalia video za uchi
x
3084_swa_0
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia madhara kwani kila chema hakikosi ovu na ovu pia halikosi jema. Kwa mfano, vyombo hivi hutumika sana mashuleni, ofisini na hata majumbani kwa matumizi tofauti tofauti. Katika shule za wanafunzi wa sekondari wanafunzi hufurahia na kufaidika sana kwa vifaa hivi kwa mfano, televisheni. Wanafunzi huweza kuekewa vipindi tofauti tofauti vinavyohusu mada fulani kwenye somo fulani na pia huwafanya wanafunzi kuelewa bila haraka kwa kuwaonyesha kila njia kwenye somo hilo. Televisheni pia huweza kuonyesha mambo yanayo tendeka na kuendelea nchini na hata nje ya nchini na hata nje ya nchi. Hivyo basi wanafunzi huweza kufahamu na kutambua yanayojiri nchini. Pia wanafunzi hawa hutengewa muda fulani katika siku fulani waekewe viburudisho na kuchangamka kwenye muda hii kwa kutumia vivyo hivyo vyombo vya kiteknolojia. Wanafunzi hawa hufurahika na kuchangamka kwenye mida hii. Walimu wa sekondari huwa na utunzi wa mtihani kwenye kufungua muhula, kati ya muhula na hata mwisho wa muhula. Kazi hii ingekuwa ngumu na nzito kwa walimu hawa iwapo wangetumia mikono yao kuandika karatasi takriban sitini na sita kwa darasa kwa wakati mmoja lakini kwa sababu hii, walimu wanatumia mashine kuandika maswali hayo bila ya kuchoka. Shule nyingi za sekondari ni za malazi hivyo basi mwanafunzi huwa mbali na mzazi wake. Kwa hivyo mwanafunzi huyu akipatwa na shida yoyote inakuwa rahisi kumfahamisha mzazi wake ili waweze kushirikiana na walimu kwenye malezi ya mtoto huyu. Kwa mfano siku za mapumziko mzazi anapaswa kumpatia mwanawe nauli. Kwa sababu ya rununu mzazi humtumia mwalimu pesa hizo kupitia rununu. Wanafunzi wengine wenye rununu huweza kusoma kwenye mitandao tofauti tofauti inayopatikana kwenye rununu au hata kuangalia maana ya neno kwa urahisi. Kuna matumizi ya kikokotoo kwenye somo la hesabu ambayo imeleta urahisi wa somo hili. Mbali na hayo pia kuna madhara yake kwani kila jema halikosi ila kwani vyombo hivi hivi huweza kuleta madhara kwa wanafunzi hawa na mashule haya kama vile rununu. Wanafunzi wengine wana ambazo wao huzitumia vibaya au tofauti na inavyotakikana. Wao huingia kwenye mitandao na kuangalia video zisizo za umri wao na kuweza kuathiri akili zao au mawazo yao. Mara wanaongea au kuzungumza na marafiki wao karibia usiku mzima hiyo inapelekea kusinzia darasani na mwalimu anapofundisha yeye anasinzia na hii inapelekea kutomwelewa mwalimu ambapo hii inapelekea kuanguka mitihani. Televisheni pia hufanya wanafunzi hao kutizama tu bila ya kushughulikia vitabu vyake na pia hii inapelekea kuanguka mitihani wake.
Teknolojia huharakisha nini
kazi
x
3084_swa_1
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia madhara kwani kila chema hakikosi ovu na ovu pia halikosi jema. Kwa mfano, vyombo hivi hutumika sana mashuleni, ofisini na hata majumbani kwa matumizi tofauti tofauti. Katika shule za wanafunzi wa sekondari wanafunzi hufurahia na kufaidika sana kwa vifaa hivi kwa mfano, televisheni. Wanafunzi huweza kuekewa vipindi tofauti tofauti vinavyohusu mada fulani kwenye somo fulani na pia huwafanya wanafunzi kuelewa bila haraka kwa kuwaonyesha kila njia kwenye somo hilo. Televisheni pia huweza kuonyesha mambo yanayo tendeka na kuendelea nchini na hata nje ya nchini na hata nje ya nchi. Hivyo basi wanafunzi huweza kufahamu na kutambua yanayojiri nchini. Pia wanafunzi hawa hutengewa muda fulani katika siku fulani waekewe viburudisho na kuchangamka kwenye muda hii kwa kutumia vivyo hivyo vyombo vya kiteknolojia. Wanafunzi hawa hufurahika na kuchangamka kwenye mida hii. Walimu wa sekondari huwa na utunzi wa mtihani kwenye kufungua muhula, kati ya muhula na hata mwisho wa muhula. Kazi hii ingekuwa ngumu na nzito kwa walimu hawa iwapo wangetumia mikono yao kuandika karatasi takriban sitini na sita kwa darasa kwa wakati mmoja lakini kwa sababu hii, walimu wanatumia mashine kuandika maswali hayo bila ya kuchoka. Shule nyingi za sekondari ni za malazi hivyo basi mwanafunzi huwa mbali na mzazi wake. Kwa hivyo mwanafunzi huyu akipatwa na shida yoyote inakuwa rahisi kumfahamisha mzazi wake ili waweze kushirikiana na walimu kwenye malezi ya mtoto huyu. Kwa mfano siku za mapumziko mzazi anapaswa kumpatia mwanawe nauli. Kwa sababu ya rununu mzazi humtumia mwalimu pesa hizo kupitia rununu. Wanafunzi wengine wenye rununu huweza kusoma kwenye mitandao tofauti tofauti inayopatikana kwenye rununu au hata kuangalia maana ya neno kwa urahisi. Kuna matumizi ya kikokotoo kwenye somo la hesabu ambayo imeleta urahisi wa somo hili. Mbali na hayo pia kuna madhara yake kwani kila jema halikosi ila kwani vyombo hivi hivi huweza kuleta madhara kwa wanafunzi hawa na mashule haya kama vile rununu. Wanafunzi wengine wana ambazo wao huzitumia vibaya au tofauti na inavyotakikana. Wao huingia kwenye mitandao na kuangalia video zisizo za umri wao na kuweza kuathiri akili zao au mawazo yao. Mara wanaongea au kuzungumza na marafiki wao karibia usiku mzima hiyo inapelekea kusinzia darasani na mwalimu anapofundisha yeye anasinzia na hii inapelekea kutomwelewa mwalimu ambapo hii inapelekea kuanguka mitihani. Televisheni pia hufanya wanafunzi hao kutizama tu bila ya kushughulikia vitabu vyake na pia hii inapelekea kuanguka mitihani wake.
Nini huonyesha mambo yanayotendeka
televisheni
x
3084_swa_2
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia madhara kwani kila chema hakikosi ovu na ovu pia halikosi jema. Kwa mfano, vyombo hivi hutumika sana mashuleni, ofisini na hata majumbani kwa matumizi tofauti tofauti. Katika shule za wanafunzi wa sekondari wanafunzi hufurahia na kufaidika sana kwa vifaa hivi kwa mfano, televisheni. Wanafunzi huweza kuekewa vipindi tofauti tofauti vinavyohusu mada fulani kwenye somo fulani na pia huwafanya wanafunzi kuelewa bila haraka kwa kuwaonyesha kila njia kwenye somo hilo. Televisheni pia huweza kuonyesha mambo yanayo tendeka na kuendelea nchini na hata nje ya nchini na hata nje ya nchi. Hivyo basi wanafunzi huweza kufahamu na kutambua yanayojiri nchini. Pia wanafunzi hawa hutengewa muda fulani katika siku fulani waekewe viburudisho na kuchangamka kwenye muda hii kwa kutumia vivyo hivyo vyombo vya kiteknolojia. Wanafunzi hawa hufurahika na kuchangamka kwenye mida hii. Walimu wa sekondari huwa na utunzi wa mtihani kwenye kufungua muhula, kati ya muhula na hata mwisho wa muhula. Kazi hii ingekuwa ngumu na nzito kwa walimu hawa iwapo wangetumia mikono yao kuandika karatasi takriban sitini na sita kwa darasa kwa wakati mmoja lakini kwa sababu hii, walimu wanatumia mashine kuandika maswali hayo bila ya kuchoka. Shule nyingi za sekondari ni za malazi hivyo basi mwanafunzi huwa mbali na mzazi wake. Kwa hivyo mwanafunzi huyu akipatwa na shida yoyote inakuwa rahisi kumfahamisha mzazi wake ili waweze kushirikiana na walimu kwenye malezi ya mtoto huyu. Kwa mfano siku za mapumziko mzazi anapaswa kumpatia mwanawe nauli. Kwa sababu ya rununu mzazi humtumia mwalimu pesa hizo kupitia rununu. Wanafunzi wengine wenye rununu huweza kusoma kwenye mitandao tofauti tofauti inayopatikana kwenye rununu au hata kuangalia maana ya neno kwa urahisi. Kuna matumizi ya kikokotoo kwenye somo la hesabu ambayo imeleta urahisi wa somo hili. Mbali na hayo pia kuna madhara yake kwani kila jema halikosi ila kwani vyombo hivi hivi huweza kuleta madhara kwa wanafunzi hawa na mashule haya kama vile rununu. Wanafunzi wengine wana ambazo wao huzitumia vibaya au tofauti na inavyotakikana. Wao huingia kwenye mitandao na kuangalia video zisizo za umri wao na kuweza kuathiri akili zao au mawazo yao. Mara wanaongea au kuzungumza na marafiki wao karibia usiku mzima hiyo inapelekea kusinzia darasani na mwalimu anapofundisha yeye anasinzia na hii inapelekea kutomwelewa mwalimu ambapo hii inapelekea kuanguka mitihani. Televisheni pia hufanya wanafunzi hao kutizama tu bila ya kushughulikia vitabu vyake na pia hii inapelekea kuanguka mitihani wake.
Walimu hutumia karatasi ngapi kwa darasa moja
sitini na sita
x
3084_swa_3
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia madhara kwani kila chema hakikosi ovu na ovu pia halikosi jema. Kwa mfano, vyombo hivi hutumika sana mashuleni, ofisini na hata majumbani kwa matumizi tofauti tofauti. Katika shule za wanafunzi wa sekondari wanafunzi hufurahia na kufaidika sana kwa vifaa hivi kwa mfano, televisheni. Wanafunzi huweza kuekewa vipindi tofauti tofauti vinavyohusu mada fulani kwenye somo fulani na pia huwafanya wanafunzi kuelewa bila haraka kwa kuwaonyesha kila njia kwenye somo hilo. Televisheni pia huweza kuonyesha mambo yanayo tendeka na kuendelea nchini na hata nje ya nchini na hata nje ya nchi. Hivyo basi wanafunzi huweza kufahamu na kutambua yanayojiri nchini. Pia wanafunzi hawa hutengewa muda fulani katika siku fulani waekewe viburudisho na kuchangamka kwenye muda hii kwa kutumia vivyo hivyo vyombo vya kiteknolojia. Wanafunzi hawa hufurahika na kuchangamka kwenye mida hii. Walimu wa sekondari huwa na utunzi wa mtihani kwenye kufungua muhula, kati ya muhula na hata mwisho wa muhula. Kazi hii ingekuwa ngumu na nzito kwa walimu hawa iwapo wangetumia mikono yao kuandika karatasi takriban sitini na sita kwa darasa kwa wakati mmoja lakini kwa sababu hii, walimu wanatumia mashine kuandika maswali hayo bila ya kuchoka. Shule nyingi za sekondari ni za malazi hivyo basi mwanafunzi huwa mbali na mzazi wake. Kwa hivyo mwanafunzi huyu akipatwa na shida yoyote inakuwa rahisi kumfahamisha mzazi wake ili waweze kushirikiana na walimu kwenye malezi ya mtoto huyu. Kwa mfano siku za mapumziko mzazi anapaswa kumpatia mwanawe nauli. Kwa sababu ya rununu mzazi humtumia mwalimu pesa hizo kupitia rununu. Wanafunzi wengine wenye rununu huweza kusoma kwenye mitandao tofauti tofauti inayopatikana kwenye rununu au hata kuangalia maana ya neno kwa urahisi. Kuna matumizi ya kikokotoo kwenye somo la hesabu ambayo imeleta urahisi wa somo hili. Mbali na hayo pia kuna madhara yake kwani kila jema halikosi ila kwani vyombo hivi hivi huweza kuleta madhara kwa wanafunzi hawa na mashule haya kama vile rununu. Wanafunzi wengine wana ambazo wao huzitumia vibaya au tofauti na inavyotakikana. Wao huingia kwenye mitandao na kuangalia video zisizo za umri wao na kuweza kuathiri akili zao au mawazo yao. Mara wanaongea au kuzungumza na marafiki wao karibia usiku mzima hiyo inapelekea kusinzia darasani na mwalimu anapofundisha yeye anasinzia na hii inapelekea kutomwelewa mwalimu ambapo hii inapelekea kuanguka mitihani. Televisheni pia hufanya wanafunzi hao kutizama tu bila ya kushughulikia vitabu vyake na pia hii inapelekea kuanguka mitihani wake.
Nani hutumia mwalimu pesa kwa kutumia rununu
mwalimu
x
3084_swa_4
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia madhara kwani kila chema hakikosi ovu na ovu pia halikosi jema. Kwa mfano, vyombo hivi hutumika sana mashuleni, ofisini na hata majumbani kwa matumizi tofauti tofauti. Katika shule za wanafunzi wa sekondari wanafunzi hufurahia na kufaidika sana kwa vifaa hivi kwa mfano, televisheni. Wanafunzi huweza kuekewa vipindi tofauti tofauti vinavyohusu mada fulani kwenye somo fulani na pia huwafanya wanafunzi kuelewa bila haraka kwa kuwaonyesha kila njia kwenye somo hilo. Televisheni pia huweza kuonyesha mambo yanayo tendeka na kuendelea nchini na hata nje ya nchini na hata nje ya nchi. Hivyo basi wanafunzi huweza kufahamu na kutambua yanayojiri nchini. Pia wanafunzi hawa hutengewa muda fulani katika siku fulani waekewe viburudisho na kuchangamka kwenye muda hii kwa kutumia vivyo hivyo vyombo vya kiteknolojia. Wanafunzi hawa hufurahika na kuchangamka kwenye mida hii. Walimu wa sekondari huwa na utunzi wa mtihani kwenye kufungua muhula, kati ya muhula na hata mwisho wa muhula. Kazi hii ingekuwa ngumu na nzito kwa walimu hawa iwapo wangetumia mikono yao kuandika karatasi takriban sitini na sita kwa darasa kwa wakati mmoja lakini kwa sababu hii, walimu wanatumia mashine kuandika maswali hayo bila ya kuchoka. Shule nyingi za sekondari ni za malazi hivyo basi mwanafunzi huwa mbali na mzazi wake. Kwa hivyo mwanafunzi huyu akipatwa na shida yoyote inakuwa rahisi kumfahamisha mzazi wake ili waweze kushirikiana na walimu kwenye malezi ya mtoto huyu. Kwa mfano siku za mapumziko mzazi anapaswa kumpatia mwanawe nauli. Kwa sababu ya rununu mzazi humtumia mwalimu pesa hizo kupitia rununu. Wanafunzi wengine wenye rununu huweza kusoma kwenye mitandao tofauti tofauti inayopatikana kwenye rununu au hata kuangalia maana ya neno kwa urahisi. Kuna matumizi ya kikokotoo kwenye somo la hesabu ambayo imeleta urahisi wa somo hili. Mbali na hayo pia kuna madhara yake kwani kila jema halikosi ila kwani vyombo hivi hivi huweza kuleta madhara kwa wanafunzi hawa na mashule haya kama vile rununu. Wanafunzi wengine wana ambazo wao huzitumia vibaya au tofauti na inavyotakikana. Wao huingia kwenye mitandao na kuangalia video zisizo za umri wao na kuweza kuathiri akili zao au mawazo yao. Mara wanaongea au kuzungumza na marafiki wao karibia usiku mzima hiyo inapelekea kusinzia darasani na mwalimu anapofundisha yeye anasinzia na hii inapelekea kutomwelewa mwalimu ambapo hii inapelekea kuanguka mitihani. Televisheni pia hufanya wanafunzi hao kutizama tu bila ya kushughulikia vitabu vyake na pia hii inapelekea kuanguka mitihani wake.
Mbona wanafunzi husinzia darasani
kwa kuzungumza na marafiki zao karibia usiku mzima
x
3084_swa_5
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia madhara kwani kila chema hakikosi ovu na ovu pia halikosi jema. Kwa mfano, vyombo hivi hutumika sana mashuleni, ofisini na hata majumbani kwa matumizi tofauti tofauti. Katika shule za wanafunzi wa sekondari wanafunzi hufurahia na kufaidika sana kwa vifaa hivi kwa mfano, televisheni. Wanafunzi huweza kuekewa vipindi tofauti tofauti vinavyohusu mada fulani kwenye somo fulani na pia huwafanya wanafunzi kuelewa bila haraka kwa kuwaonyesha kila njia kwenye somo hilo. Televisheni pia huweza kuonyesha mambo yanayo tendeka na kuendelea nchini na hata nje ya nchini na hata nje ya nchi. Hivyo basi wanafunzi huweza kufahamu na kutambua yanayojiri nchini. Pia wanafunzi hawa hutengewa muda fulani katika siku fulani waekewe viburudisho na kuchangamka kwenye muda hii kwa kutumia vivyo hivyo vyombo vya kiteknolojia. Wanafunzi hawa hufurahika na kuchangamka kwenye mida hii. Walimu wa sekondari huwa na utunzi wa mtihani kwenye kufungua muhula, kati ya muhula na hata mwisho wa muhula. Kazi hii ingekuwa ngumu na nzito kwa walimu hawa iwapo wangetumia mikono yao kuandika karatasi takriban sitini na sita kwa darasa kwa wakati mmoja lakini kwa sababu hii, walimu wanatumia mashine kuandika maswali hayo bila ya kuchoka. Shule nyingi za sekondari ni za malazi hivyo basi mwanafunzi huwa mbali na mzazi wake. Kwa hivyo mwanafunzi huyu akipatwa na shida yoyote inakuwa rahisi kumfahamisha mzazi wake ili waweze kushirikiana na walimu kwenye malezi ya mtoto huyu. Kwa mfano siku za mapumziko mzazi anapaswa kumpatia mwanawe nauli. Kwa sababu ya rununu mzazi humtumia mwalimu pesa hizo kupitia rununu. Wanafunzi wengine wenye rununu huweza kusoma kwenye mitandao tofauti tofauti inayopatikana kwenye rununu au hata kuangalia maana ya neno kwa urahisi. Kuna matumizi ya kikokotoo kwenye somo la hesabu ambayo imeleta urahisi wa somo hili. Mbali na hayo pia kuna madhara yake kwani kila jema halikosi ila kwani vyombo hivi hivi huweza kuleta madhara kwa wanafunzi hawa na mashule haya kama vile rununu. Wanafunzi wengine wana ambazo wao huzitumia vibaya au tofauti na inavyotakikana. Wao huingia kwenye mitandao na kuangalia video zisizo za umri wao na kuweza kuathiri akili zao au mawazo yao. Mara wanaongea au kuzungumza na marafiki wao karibia usiku mzima hiyo inapelekea kusinzia darasani na mwalimu anapofundisha yeye anasinzia na hii inapelekea kutomwelewa mwalimu ambapo hii inapelekea kuanguka mitihani. Televisheni pia hufanya wanafunzi hao kutizama tu bila ya kushughulikia vitabu vyake na pia hii inapelekea kuanguka mitihani wake.
Teknolojia imeleta nini kwa watoto
madhara
x
3084_swa_6
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia madhara kwani kila chema hakikosi ovu na ovu pia halikosi jema. Kwa mfano, vyombo hivi hutumika sana mashuleni, ofisini na hata majumbani kwa matumizi tofauti tofauti. Katika shule za wanafunzi wa sekondari wanafunzi hufurahia na kufaidika sana kwa vifaa hivi kwa mfano, televisheni. Wanafunzi huweza kuekewa vipindi tofauti tofauti vinavyohusu mada fulani kwenye somo fulani na pia huwafanya wanafunzi kuelewa bila haraka kwa kuwaonyesha kila njia kwenye somo hilo. Televisheni pia huweza kuonyesha mambo yanayo tendeka na kuendelea nchini na hata nje ya nchini na hata nje ya nchi. Hivyo basi wanafunzi huweza kufahamu na kutambua yanayojiri nchini. Pia wanafunzi hawa hutengewa muda fulani katika siku fulani waekewe viburudisho na kuchangamka kwenye muda hii kwa kutumia vivyo hivyo vyombo vya kiteknolojia. Wanafunzi hawa hufurahika na kuchangamka kwenye mida hii. Walimu wa sekondari huwa na utunzi wa mtihani kwenye kufungua muhula, kati ya muhula na hata mwisho wa muhula. Kazi hii ingekuwa ngumu na nzito kwa walimu hawa iwapo wangetumia mikono yao kuandika karatasi takriban sitini na sita kwa darasa kwa wakati mmoja lakini kwa sababu hii, walimu wanatumia mashine kuandika maswali hayo bila ya kuchoka. Shule nyingi za sekondari ni za malazi hivyo basi mwanafunzi huwa mbali na mzazi wake. Kwa hivyo mwanafunzi huyu akipatwa na shida yoyote inakuwa rahisi kumfahamisha mzazi wake ili waweze kushirikiana na walimu kwenye malezi ya mtoto huyu. Kwa mfano siku za mapumziko mzazi anapaswa kumpatia mwanawe nauli. Kwa sababu ya rununu mzazi humtumia mwalimu pesa hizo kupitia rununu. Wanafunzi wengine wenye rununu huweza kusoma kwenye mitandao tofauti tofauti inayopatikana kwenye rununu au hata kuangalia maana ya neno kwa urahisi. Kuna matumizi ya kikokotoo kwenye somo la hesabu ambayo imeleta urahisi wa somo hili. Mbali na hayo pia kuna madhara yake kwani kila jema halikosi ila kwani vyombo hivi hivi huweza kuleta madhara kwa wanafunzi hawa na mashule haya kama vile rununu. Wanafunzi wengine wana ambazo wao huzitumia vibaya au tofauti na inavyotakikana. Wao huingia kwenye mitandao na kuangalia video zisizo za umri wao na kuweza kuathiri akili zao au mawazo yao. Mara wanaongea au kuzungumza na marafiki wao karibia usiku mzima hiyo inapelekea kusinzia darasani na mwalimu anapofundisha yeye anasinzia na hii inapelekea kutomwelewa mwalimu ambapo hii inapelekea kuanguka mitihani. Televisheni pia hufanya wanafunzi hao kutizama tu bila ya kushughulikia vitabu vyake na pia hii inapelekea kuanguka mitihani wake.
Kina nani wamesahau masomo
wanafunzi
x
3084_swa_7
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia madhara kwani kila chema hakikosi ovu na ovu pia halikosi jema. Kwa mfano, vyombo hivi hutumika sana mashuleni, ofisini na hata majumbani kwa matumizi tofauti tofauti. Katika shule za wanafunzi wa sekondari wanafunzi hufurahia na kufaidika sana kwa vifaa hivi kwa mfano, televisheni. Wanafunzi huweza kuekewa vipindi tofauti tofauti vinavyohusu mada fulani kwenye somo fulani na pia huwafanya wanafunzi kuelewa bila haraka kwa kuwaonyesha kila njia kwenye somo hilo. Televisheni pia huweza kuonyesha mambo yanayo tendeka na kuendelea nchini na hata nje ya nchini na hata nje ya nchi. Hivyo basi wanafunzi huweza kufahamu na kutambua yanayojiri nchini. Pia wanafunzi hawa hutengewa muda fulani katika siku fulani waekewe viburudisho na kuchangamka kwenye muda hii kwa kutumia vivyo hivyo vyombo vya kiteknolojia. Wanafunzi hawa hufurahika na kuchangamka kwenye mida hii. Walimu wa sekondari huwa na utunzi wa mtihani kwenye kufungua muhula, kati ya muhula na hata mwisho wa muhula. Kazi hii ingekuwa ngumu na nzito kwa walimu hawa iwapo wangetumia mikono yao kuandika karatasi takriban sitini na sita kwa darasa kwa wakati mmoja lakini kwa sababu hii, walimu wanatumia mashine kuandika maswali hayo bila ya kuchoka. Shule nyingi za sekondari ni za malazi hivyo basi mwanafunzi huwa mbali na mzazi wake. Kwa hivyo mwanafunzi huyu akipatwa na shida yoyote inakuwa rahisi kumfahamisha mzazi wake ili waweze kushirikiana na walimu kwenye malezi ya mtoto huyu. Kwa mfano siku za mapumziko mzazi anapaswa kumpatia mwanawe nauli. Kwa sababu ya rununu mzazi humtumia mwalimu pesa hizo kupitia rununu. Wanafunzi wengine wenye rununu huweza kusoma kwenye mitandao tofauti tofauti inayopatikana kwenye rununu au hata kuangalia maana ya neno kwa urahisi. Kuna matumizi ya kikokotoo kwenye somo la hesabu ambayo imeleta urahisi wa somo hili. Mbali na hayo pia kuna madhara yake kwani kila jema halikosi ila kwani vyombo hivi hivi huweza kuleta madhara kwa wanafunzi hawa na mashule haya kama vile rununu. Wanafunzi wengine wana ambazo wao huzitumia vibaya au tofauti na inavyotakikana. Wao huingia kwenye mitandao na kuangalia video zisizo za umri wao na kuweza kuathiri akili zao au mawazo yao. Mara wanaongea au kuzungumza na marafiki wao karibia usiku mzima hiyo inapelekea kusinzia darasani na mwalimu anapofundisha yeye anasinzia na hii inapelekea kutomwelewa mwalimu ambapo hii inapelekea kuanguka mitihani. Televisheni pia hufanya wanafunzi hao kutizama tu bila ya kushughulikia vitabu vyake na pia hii inapelekea kuanguka mitihani wake.
Mwanafunzi hana muda wa kudurusu mabuku wapi
nyumbani
x
3084_swa_8
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia madhara kwani kila chema hakikosi ovu na ovu pia halikosi jema. Kwa mfano, vyombo hivi hutumika sana mashuleni, ofisini na hata majumbani kwa matumizi tofauti tofauti. Katika shule za wanafunzi wa sekondari wanafunzi hufurahia na kufaidika sana kwa vifaa hivi kwa mfano, televisheni. Wanafunzi huweza kuekewa vipindi tofauti tofauti vinavyohusu mada fulani kwenye somo fulani na pia huwafanya wanafunzi kuelewa bila haraka kwa kuwaonyesha kila njia kwenye somo hilo. Televisheni pia huweza kuonyesha mambo yanayo tendeka na kuendelea nchini na hata nje ya nchini na hata nje ya nchi. Hivyo basi wanafunzi huweza kufahamu na kutambua yanayojiri nchini. Pia wanafunzi hawa hutengewa muda fulani katika siku fulani waekewe viburudisho na kuchangamka kwenye muda hii kwa kutumia vivyo hivyo vyombo vya kiteknolojia. Wanafunzi hawa hufurahika na kuchangamka kwenye mida hii. Walimu wa sekondari huwa na utunzi wa mtihani kwenye kufungua muhula, kati ya muhula na hata mwisho wa muhula. Kazi hii ingekuwa ngumu na nzito kwa walimu hawa iwapo wangetumia mikono yao kuandika karatasi takriban sitini na sita kwa darasa kwa wakati mmoja lakini kwa sababu hii, walimu wanatumia mashine kuandika maswali hayo bila ya kuchoka. Shule nyingi za sekondari ni za malazi hivyo basi mwanafunzi huwa mbali na mzazi wake. Kwa hivyo mwanafunzi huyu akipatwa na shida yoyote inakuwa rahisi kumfahamisha mzazi wake ili waweze kushirikiana na walimu kwenye malezi ya mtoto huyu. Kwa mfano siku za mapumziko mzazi anapaswa kumpatia mwanawe nauli. Kwa sababu ya rununu mzazi humtumia mwalimu pesa hizo kupitia rununu. Wanafunzi wengine wenye rununu huweza kusoma kwenye mitandao tofauti tofauti inayopatikana kwenye rununu au hata kuangalia maana ya neno kwa urahisi. Kuna matumizi ya kikokotoo kwenye somo la hesabu ambayo imeleta urahisi wa somo hili. Mbali na hayo pia kuna madhara yake kwani kila jema halikosi ila kwani vyombo hivi hivi huweza kuleta madhara kwa wanafunzi hawa na mashule haya kama vile rununu. Wanafunzi wengine wana ambazo wao huzitumia vibaya au tofauti na inavyotakikana. Wao huingia kwenye mitandao na kuangalia video zisizo za umri wao na kuweza kuathiri akili zao au mawazo yao. Mara wanaongea au kuzungumza na marafiki wao karibia usiku mzima hiyo inapelekea kusinzia darasani na mwalimu anapofundisha yeye anasinzia na hii inapelekea kutomwelewa mwalimu ambapo hii inapelekea kuanguka mitihani. Televisheni pia hufanya wanafunzi hao kutizama tu bila ya kushughulikia vitabu vyake na pia hii inapelekea kuanguka mitihani wake.
Teknolojia imeleta uvumbuzi wa nini
vifaa vya utabiri wa hali ya anga
x
3084_swa_9
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia madhara kwani kila chema hakikosi ovu na ovu pia halikosi jema. Kwa mfano, vyombo hivi hutumika sana mashuleni, ofisini na hata majumbani kwa matumizi tofauti tofauti. Katika shule za wanafunzi wa sekondari wanafunzi hufurahia na kufaidika sana kwa vifaa hivi kwa mfano, televisheni. Wanafunzi huweza kuekewa vipindi tofauti tofauti vinavyohusu mada fulani kwenye somo fulani na pia huwafanya wanafunzi kuelewa bila haraka kwa kuwaonyesha kila njia kwenye somo hilo. Televisheni pia huweza kuonyesha mambo yanayo tendeka na kuendelea nchini na hata nje ya nchini na hata nje ya nchi. Hivyo basi wanafunzi huweza kufahamu na kutambua yanayojiri nchini. Pia wanafunzi hawa hutengewa muda fulani katika siku fulani waekewe viburudisho na kuchangamka kwenye muda hii kwa kutumia vivyo hivyo vyombo vya kiteknolojia. Wanafunzi hawa hufurahika na kuchangamka kwenye mida hii. Walimu wa sekondari huwa na utunzi wa mtihani kwenye kufungua muhula, kati ya muhula na hata mwisho wa muhula. Kazi hii ingekuwa ngumu na nzito kwa walimu hawa iwapo wangetumia mikono yao kuandika karatasi takriban sitini na sita kwa darasa kwa wakati mmoja lakini kwa sababu hii, walimu wanatumia mashine kuandika maswali hayo bila ya kuchoka. Shule nyingi za sekondari ni za malazi hivyo basi mwanafunzi huwa mbali na mzazi wake. Kwa hivyo mwanafunzi huyu akipatwa na shida yoyote inakuwa rahisi kumfahamisha mzazi wake ili waweze kushirikiana na walimu kwenye malezi ya mtoto huyu. Kwa mfano siku za mapumziko mzazi anapaswa kumpatia mwanawe nauli. Kwa sababu ya rununu mzazi humtumia mwalimu pesa hizo kupitia rununu. Wanafunzi wengine wenye rununu huweza kusoma kwenye mitandao tofauti tofauti inayopatikana kwenye rununu au hata kuangalia maana ya neno kwa urahisi. Kuna matumizi ya kikokotoo kwenye somo la hesabu ambayo imeleta urahisi wa somo hili. Mbali na hayo pia kuna madhara yake kwani kila jema halikosi ila kwani vyombo hivi hivi huweza kuleta madhara kwa wanafunzi hawa na mashule haya kama vile rununu. Wanafunzi wengine wana ambazo wao huzitumia vibaya au tofauti na inavyotakikana. Wao huingia kwenye mitandao na kuangalia video zisizo za umri wao na kuweza kuathiri akili zao au mawazo yao. Mara wanaongea au kuzungumza na marafiki wao karibia usiku mzima hiyo inapelekea kusinzia darasani na mwalimu anapofundisha yeye anasinzia na hii inapelekea kutomwelewa mwalimu ambapo hii inapelekea kuanguka mitihani. Televisheni pia hufanya wanafunzi hao kutizama tu bila ya kushughulikia vitabu vyake na pia hii inapelekea kuanguka mitihani wake.
Kamera za CCTV zinapunguza tabia mbaya vipi
mtu anapoiba huonekana
x
3194_swa_0
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa katika jamii na nchi yetu ya Kenya. Katika maswala ya elimu teknolojia pia ina umuhimu na imechangia katika mambo mengi hasa katika orodha ya uendeshaji wa shule katika vitengo mbalimbali. Baadhi ya vitengo hivi ni kama vile shuleni, walimu hutumia intaneti katika masomo na hujifundisha kutumia intaneti. Walimu pia hutumia tarakilishi katika kuhifadhi na kurekodi data zao. Hivi kwamba hata wanafunzi hutumia kikokotoo katika kufanya somo la Hisabati na hii imechangia pakubwa na kurahisisha kazi katika somo hilo la Hisabati. Teknolojia imechangia kusaidia wanafunzi katika masomo yao. Mwanafunzi hutumia utandawazi ili kusomea na kuyafanya utafiti katika masomo yao. Hivi ni kwamba wakuu wa elimu hutumia utandawazi kuyanya utafiti na kuwasilishia au kuleta vifaa vya elimu kwa wanafunzi kwa urahisi bila kupoteza wakati. Tunapokuwa katika likizo, wanafunzi hutumiwa kazi za ziada katika rununu zao wakiwa nyumbani. Pia vile vile walimu hutumia rununu kufundisha wanafunzi wanapokuwa katika likizo ndefu nyumbani. Hii humrahisishia mwalimu kuendelea na masomo au vipindi vyake vya darasani. Wanafunzi pia hutumia rununu zao kutafuta utafiti wanapokuwa wakisoma. Wengine pia hutumia tarakilishi na televisheni za kisasa kufanya utafiti wao. Changamoto au madhara yanayochangia katika teknolojia ni kwamba baadhi ya wanafunzi hutumia teknolojia kwa mambo yasiyowafa katika maisha yao. Wakati mwingi, wanafunzi hutumia utandawazi' kutazama video mbaya ambazo huwaadhiri kimawazo. Pia mwanafunzi hutumia muda mwingi katika kutazama utandawazi na kusababisha kutozingatia masomo yao na hii huwa chanzo kikuu cha kuwafanya wanafunzi kutofaulu katika mitihani yao. Teknolojia ni kitengo muhimu sana katika jamii hasa kwa wanafunzi lakini huleta madhara makubwa mno katika swala lao la masomoni. Na kwa hilo inapaswa kutomshawishi mwanafunzi kutumia teknolojia anaposoma. Hii ni kwamba teknolojia humpotezea mwanafunzi wakati wakujisomea.
Tekinolojia ni maarifa ya nini
sayansi
x
3194_swa_1
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa katika jamii na nchi yetu ya Kenya. Katika maswala ya elimu teknolojia pia ina umuhimu na imechangia katika mambo mengi hasa katika orodha ya uendeshaji wa shule katika vitengo mbalimbali. Baadhi ya vitengo hivi ni kama vile shuleni, walimu hutumia intaneti katika masomo na hujifundisha kutumia intaneti. Walimu pia hutumia tarakilishi katika kuhifadhi na kurekodi data zao. Hivi kwamba hata wanafunzi hutumia kikokotoo katika kufanya somo la Hisabati na hii imechangia pakubwa na kurahisisha kazi katika somo hilo la Hisabati. Teknolojia imechangia kusaidia wanafunzi katika masomo yao. Mwanafunzi hutumia utandawazi ili kusomea na kuyafanya utafiti katika masomo yao. Hivi ni kwamba wakuu wa elimu hutumia utandawazi kuyanya utafiti na kuwasilishia au kuleta vifaa vya elimu kwa wanafunzi kwa urahisi bila kupoteza wakati. Tunapokuwa katika likizo, wanafunzi hutumiwa kazi za ziada katika rununu zao wakiwa nyumbani. Pia vile vile walimu hutumia rununu kufundisha wanafunzi wanapokuwa katika likizo ndefu nyumbani. Hii humrahisishia mwalimu kuendelea na masomo au vipindi vyake vya darasani. Wanafunzi pia hutumia rununu zao kutafuta utafiti wanapokuwa wakisoma. Wengine pia hutumia tarakilishi na televisheni za kisasa kufanya utafiti wao. Changamoto au madhara yanayochangia katika teknolojia ni kwamba baadhi ya wanafunzi hutumia teknolojia kwa mambo yasiyowafa katika maisha yao. Wakati mwingi, wanafunzi hutumia utandawazi' kutazama video mbaya ambazo huwaadhiri kimawazo. Pia mwanafunzi hutumia muda mwingi katika kutazama utandawazi na kusababisha kutozingatia masomo yao na hii huwa chanzo kikuu cha kuwafanya wanafunzi kutofaulu katika mitihani yao. Teknolojia ni kitengo muhimu sana katika jamii hasa kwa wanafunzi lakini huleta madhara makubwa mno katika swala lao la masomoni. Na kwa hilo inapaswa kutomshawishi mwanafunzi kutumia teknolojia anaposoma. Hii ni kwamba teknolojia humpotezea mwanafunzi wakati wakujisomea.
Walimu wanatumia nini katika kurekodi data
Tarakilishi
x
3194_swa_2
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa katika jamii na nchi yetu ya Kenya. Katika maswala ya elimu teknolojia pia ina umuhimu na imechangia katika mambo mengi hasa katika orodha ya uendeshaji wa shule katika vitengo mbalimbali. Baadhi ya vitengo hivi ni kama vile shuleni, walimu hutumia intaneti katika masomo na hujifundisha kutumia intaneti. Walimu pia hutumia tarakilishi katika kuhifadhi na kurekodi data zao. Hivi kwamba hata wanafunzi hutumia kikokotoo katika kufanya somo la Hisabati na hii imechangia pakubwa na kurahisisha kazi katika somo hilo la Hisabati. Teknolojia imechangia kusaidia wanafunzi katika masomo yao. Mwanafunzi hutumia utandawazi ili kusomea na kuyafanya utafiti katika masomo yao. Hivi ni kwamba wakuu wa elimu hutumia utandawazi kuyanya utafiti na kuwasilishia au kuleta vifaa vya elimu kwa wanafunzi kwa urahisi bila kupoteza wakati. Tunapokuwa katika likizo, wanafunzi hutumiwa kazi za ziada katika rununu zao wakiwa nyumbani. Pia vile vile walimu hutumia rununu kufundisha wanafunzi wanapokuwa katika likizo ndefu nyumbani. Hii humrahisishia mwalimu kuendelea na masomo au vipindi vyake vya darasani. Wanafunzi pia hutumia rununu zao kutafuta utafiti wanapokuwa wakisoma. Wengine pia hutumia tarakilishi na televisheni za kisasa kufanya utafiti wao. Changamoto au madhara yanayochangia katika teknolojia ni kwamba baadhi ya wanafunzi hutumia teknolojia kwa mambo yasiyowafa katika maisha yao. Wakati mwingi, wanafunzi hutumia utandawazi' kutazama video mbaya ambazo huwaadhiri kimawazo. Pia mwanafunzi hutumia muda mwingi katika kutazama utandawazi na kusababisha kutozingatia masomo yao na hii huwa chanzo kikuu cha kuwafanya wanafunzi kutofaulu katika mitihani yao. Teknolojia ni kitengo muhimu sana katika jamii hasa kwa wanafunzi lakini huleta madhara makubwa mno katika swala lao la masomoni. Na kwa hilo inapaswa kutomshawishi mwanafunzi kutumia teknolojia anaposoma. Hii ni kwamba teknolojia humpotezea mwanafunzi wakati wakujisomea.
Utandawazi hutumiwa kufanyia nini
Utafiti
x
3194_swa_3
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa katika jamii na nchi yetu ya Kenya. Katika maswala ya elimu teknolojia pia ina umuhimu na imechangia katika mambo mengi hasa katika orodha ya uendeshaji wa shule katika vitengo mbalimbali. Baadhi ya vitengo hivi ni kama vile shuleni, walimu hutumia intaneti katika masomo na hujifundisha kutumia intaneti. Walimu pia hutumia tarakilishi katika kuhifadhi na kurekodi data zao. Hivi kwamba hata wanafunzi hutumia kikokotoo katika kufanya somo la Hisabati na hii imechangia pakubwa na kurahisisha kazi katika somo hilo la Hisabati. Teknolojia imechangia kusaidia wanafunzi katika masomo yao. Mwanafunzi hutumia utandawazi ili kusomea na kuyafanya utafiti katika masomo yao. Hivi ni kwamba wakuu wa elimu hutumia utandawazi kuyanya utafiti na kuwasilishia au kuleta vifaa vya elimu kwa wanafunzi kwa urahisi bila kupoteza wakati. Tunapokuwa katika likizo, wanafunzi hutumiwa kazi za ziada katika rununu zao wakiwa nyumbani. Pia vile vile walimu hutumia rununu kufundisha wanafunzi wanapokuwa katika likizo ndefu nyumbani. Hii humrahisishia mwalimu kuendelea na masomo au vipindi vyake vya darasani. Wanafunzi pia hutumia rununu zao kutafuta utafiti wanapokuwa wakisoma. Wengine pia hutumia tarakilishi na televisheni za kisasa kufanya utafiti wao. Changamoto au madhara yanayochangia katika teknolojia ni kwamba baadhi ya wanafunzi hutumia teknolojia kwa mambo yasiyowafa katika maisha yao. Wakati mwingi, wanafunzi hutumia utandawazi' kutazama video mbaya ambazo huwaadhiri kimawazo. Pia mwanafunzi hutumia muda mwingi katika kutazama utandawazi na kusababisha kutozingatia masomo yao na hii huwa chanzo kikuu cha kuwafanya wanafunzi kutofaulu katika mitihani yao. Teknolojia ni kitengo muhimu sana katika jamii hasa kwa wanafunzi lakini huleta madhara makubwa mno katika swala lao la masomoni. Na kwa hilo inapaswa kutomshawishi mwanafunzi kutumia teknolojia anaposoma. Hii ni kwamba teknolojia humpotezea mwanafunzi wakati wakujisomea.
Walimu hutumia nini kufundisha wanafunzi wakati wa likizo ndefu
Rununu
x
3194_swa_4
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa katika jamii na nchi yetu ya Kenya. Katika maswala ya elimu teknolojia pia ina umuhimu na imechangia katika mambo mengi hasa katika orodha ya uendeshaji wa shule katika vitengo mbalimbali. Baadhi ya vitengo hivi ni kama vile shuleni, walimu hutumia intaneti katika masomo na hujifundisha kutumia intaneti. Walimu pia hutumia tarakilishi katika kuhifadhi na kurekodi data zao. Hivi kwamba hata wanafunzi hutumia kikokotoo katika kufanya somo la Hisabati na hii imechangia pakubwa na kurahisisha kazi katika somo hilo la Hisabati. Teknolojia imechangia kusaidia wanafunzi katika masomo yao. Mwanafunzi hutumia utandawazi ili kusomea na kuyafanya utafiti katika masomo yao. Hivi ni kwamba wakuu wa elimu hutumia utandawazi kuyanya utafiti na kuwasilishia au kuleta vifaa vya elimu kwa wanafunzi kwa urahisi bila kupoteza wakati. Tunapokuwa katika likizo, wanafunzi hutumiwa kazi za ziada katika rununu zao wakiwa nyumbani. Pia vile vile walimu hutumia rununu kufundisha wanafunzi wanapokuwa katika likizo ndefu nyumbani. Hii humrahisishia mwalimu kuendelea na masomo au vipindi vyake vya darasani. Wanafunzi pia hutumia rununu zao kutafuta utafiti wanapokuwa wakisoma. Wengine pia hutumia tarakilishi na televisheni za kisasa kufanya utafiti wao. Changamoto au madhara yanayochangia katika teknolojia ni kwamba baadhi ya wanafunzi hutumia teknolojia kwa mambo yasiyowafa katika maisha yao. Wakati mwingi, wanafunzi hutumia utandawazi' kutazama video mbaya ambazo huwaadhiri kimawazo. Pia mwanafunzi hutumia muda mwingi katika kutazama utandawazi na kusababisha kutozingatia masomo yao na hii huwa chanzo kikuu cha kuwafanya wanafunzi kutofaulu katika mitihani yao. Teknolojia ni kitengo muhimu sana katika jamii hasa kwa wanafunzi lakini huleta madhara makubwa mno katika swala lao la masomoni. Na kwa hilo inapaswa kutomshawishi mwanafunzi kutumia teknolojia anaposoma. Hii ni kwamba teknolojia humpotezea mwanafunzi wakati wakujisomea.
Kwa nini tekinolojia haifai kwa wanafunzi
Wanatazama video zinazowadhiri kimawazo
x
3194_swa_5
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa katika jamii na nchi yetu ya Kenya. Katika maswala ya elimu teknolojia pia ina umuhimu na imechangia katika mambo mengi hasa katika orodha ya uendeshaji wa shule katika vitengo mbalimbali. Baadhi ya vitengo hivi ni kama vile shuleni, walimu hutumia intaneti katika masomo na hujifundisha kutumia intaneti. Walimu pia hutumia tarakilishi katika kuhifadhi na kurekodi data zao. Hivi kwamba hata wanafunzi hutumia kikokotoo katika kufanya somo la Hisabati na hii imechangia pakubwa na kurahisisha kazi katika somo hilo la Hisabati. Teknolojia imechangia kusaidia wanafunzi katika masomo yao. Mwanafunzi hutumia utandawazi ili kusomea na kuyafanya utafiti katika masomo yao. Hivi ni kwamba wakuu wa elimu hutumia utandawazi kuyanya utafiti na kuwasilishia au kuleta vifaa vya elimu kwa wanafunzi kwa urahisi bila kupoteza wakati. Tunapokuwa katika likizo, wanafunzi hutumiwa kazi za ziada katika rununu zao wakiwa nyumbani. Pia vile vile walimu hutumia rununu kufundisha wanafunzi wanapokuwa katika likizo ndefu nyumbani. Hii humrahisishia mwalimu kuendelea na masomo au vipindi vyake vya darasani. Wanafunzi pia hutumia rununu zao kutafuta utafiti wanapokuwa wakisoma. Wengine pia hutumia tarakilishi na televisheni za kisasa kufanya utafiti wao. Changamoto au madhara yanayochangia katika teknolojia ni kwamba baadhi ya wanafunzi hutumia teknolojia kwa mambo yasiyowafa katika maisha yao. Wakati mwingi, wanafunzi hutumia utandawazi' kutazama video mbaya ambazo huwaadhiri kimawazo. Pia mwanafunzi hutumia muda mwingi katika kutazama utandawazi na kusababisha kutozingatia masomo yao na hii huwa chanzo kikuu cha kuwafanya wanafunzi kutofaulu katika mitihani yao. Teknolojia ni kitengo muhimu sana katika jamii hasa kwa wanafunzi lakini huleta madhara makubwa mno katika swala lao la masomoni. Na kwa hilo inapaswa kutomshawishi mwanafunzi kutumia teknolojia anaposoma. Hii ni kwamba teknolojia humpotezea mwanafunzi wakati wakujisomea.
Tekinolojia ni maaarifa ya nini
Sayansi
x
3194_swa_6
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa katika jamii na nchi yetu ya Kenya. Katika maswala ya elimu teknolojia pia ina umuhimu na imechangia katika mambo mengi hasa katika orodha ya uendeshaji wa shule katika vitengo mbalimbali. Baadhi ya vitengo hivi ni kama vile shuleni, walimu hutumia intaneti katika masomo na hujifundisha kutumia intaneti. Walimu pia hutumia tarakilishi katika kuhifadhi na kurekodi data zao. Hivi kwamba hata wanafunzi hutumia kikokotoo katika kufanya somo la Hisabati na hii imechangia pakubwa na kurahisisha kazi katika somo hilo la Hisabati. Teknolojia imechangia kusaidia wanafunzi katika masomo yao. Mwanafunzi hutumia utandawazi ili kusomea na kuyafanya utafiti katika masomo yao. Hivi ni kwamba wakuu wa elimu hutumia utandawazi kuyanya utafiti na kuwasilishia au kuleta vifaa vya elimu kwa wanafunzi kwa urahisi bila kupoteza wakati. Tunapokuwa katika likizo, wanafunzi hutumiwa kazi za ziada katika rununu zao wakiwa nyumbani. Pia vile vile walimu hutumia rununu kufundisha wanafunzi wanapokuwa katika likizo ndefu nyumbani. Hii humrahisishia mwalimu kuendelea na masomo au vipindi vyake vya darasani. Wanafunzi pia hutumia rununu zao kutafuta utafiti wanapokuwa wakisoma. Wengine pia hutumia tarakilishi na televisheni za kisasa kufanya utafiti wao. Changamoto au madhara yanayochangia katika teknolojia ni kwamba baadhi ya wanafunzi hutumia teknolojia kwa mambo yasiyowafa katika maisha yao. Wakati mwingi, wanafunzi hutumia utandawazi' kutazama video mbaya ambazo huwaadhiri kimawazo. Pia mwanafunzi hutumia muda mwingi katika kutazama utandawazi na kusababisha kutozingatia masomo yao na hii huwa chanzo kikuu cha kuwafanya wanafunzi kutofaulu katika mitihani yao. Teknolojia ni kitengo muhimu sana katika jamii hasa kwa wanafunzi lakini huleta madhara makubwa mno katika swala lao la masomoni. Na kwa hilo inapaswa kutomshawishi mwanafunzi kutumia teknolojia anaposoma. Hii ni kwamba teknolojia humpotezea mwanafunzi wakati wakujisomea.
Wlimu wanatumia nini kuhifadhi na kurekodi data
Tarakilishi
x
3194_swa_7
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa katika jamii na nchi yetu ya Kenya. Katika maswala ya elimu teknolojia pia ina umuhimu na imechangia katika mambo mengi hasa katika orodha ya uendeshaji wa shule katika vitengo mbalimbali. Baadhi ya vitengo hivi ni kama vile shuleni, walimu hutumia intaneti katika masomo na hujifundisha kutumia intaneti. Walimu pia hutumia tarakilishi katika kuhifadhi na kurekodi data zao. Hivi kwamba hata wanafunzi hutumia kikokotoo katika kufanya somo la Hisabati na hii imechangia pakubwa na kurahisisha kazi katika somo hilo la Hisabati. Teknolojia imechangia kusaidia wanafunzi katika masomo yao. Mwanafunzi hutumia utandawazi ili kusomea na kuyafanya utafiti katika masomo yao. Hivi ni kwamba wakuu wa elimu hutumia utandawazi kuyanya utafiti na kuwasilishia au kuleta vifaa vya elimu kwa wanafunzi kwa urahisi bila kupoteza wakati. Tunapokuwa katika likizo, wanafunzi hutumiwa kazi za ziada katika rununu zao wakiwa nyumbani. Pia vile vile walimu hutumia rununu kufundisha wanafunzi wanapokuwa katika likizo ndefu nyumbani. Hii humrahisishia mwalimu kuendelea na masomo au vipindi vyake vya darasani. Wanafunzi pia hutumia rununu zao kutafuta utafiti wanapokuwa wakisoma. Wengine pia hutumia tarakilishi na televisheni za kisasa kufanya utafiti wao. Changamoto au madhara yanayochangia katika teknolojia ni kwamba baadhi ya wanafunzi hutumia teknolojia kwa mambo yasiyowafa katika maisha yao. Wakati mwingi, wanafunzi hutumia utandawazi' kutazama video mbaya ambazo huwaadhiri kimawazo. Pia mwanafunzi hutumia muda mwingi katika kutazama utandawazi na kusababisha kutozingatia masomo yao na hii huwa chanzo kikuu cha kuwafanya wanafunzi kutofaulu katika mitihani yao. Teknolojia ni kitengo muhimu sana katika jamii hasa kwa wanafunzi lakini huleta madhara makubwa mno katika swala lao la masomoni. Na kwa hilo inapaswa kutomshawishi mwanafunzi kutumia teknolojia anaposoma. Hii ni kwamba teknolojia humpotezea mwanafunzi wakati wakujisomea.
Wanafunzi wanatumiwa kazi ya ziada kwa kutumia nini
Rununu
x
3194_swa_8
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa katika jamii na nchi yetu ya Kenya. Katika maswala ya elimu teknolojia pia ina umuhimu na imechangia katika mambo mengi hasa katika orodha ya uendeshaji wa shule katika vitengo mbalimbali. Baadhi ya vitengo hivi ni kama vile shuleni, walimu hutumia intaneti katika masomo na hujifundisha kutumia intaneti. Walimu pia hutumia tarakilishi katika kuhifadhi na kurekodi data zao. Hivi kwamba hata wanafunzi hutumia kikokotoo katika kufanya somo la Hisabati na hii imechangia pakubwa na kurahisisha kazi katika somo hilo la Hisabati. Teknolojia imechangia kusaidia wanafunzi katika masomo yao. Mwanafunzi hutumia utandawazi ili kusomea na kuyafanya utafiti katika masomo yao. Hivi ni kwamba wakuu wa elimu hutumia utandawazi kuyanya utafiti na kuwasilishia au kuleta vifaa vya elimu kwa wanafunzi kwa urahisi bila kupoteza wakati. Tunapokuwa katika likizo, wanafunzi hutumiwa kazi za ziada katika rununu zao wakiwa nyumbani. Pia vile vile walimu hutumia rununu kufundisha wanafunzi wanapokuwa katika likizo ndefu nyumbani. Hii humrahisishia mwalimu kuendelea na masomo au vipindi vyake vya darasani. Wanafunzi pia hutumia rununu zao kutafuta utafiti wanapokuwa wakisoma. Wengine pia hutumia tarakilishi na televisheni za kisasa kufanya utafiti wao. Changamoto au madhara yanayochangia katika teknolojia ni kwamba baadhi ya wanafunzi hutumia teknolojia kwa mambo yasiyowafa katika maisha yao. Wakati mwingi, wanafunzi hutumia utandawazi' kutazama video mbaya ambazo huwaadhiri kimawazo. Pia mwanafunzi hutumia muda mwingi katika kutazama utandawazi na kusababisha kutozingatia masomo yao na hii huwa chanzo kikuu cha kuwafanya wanafunzi kutofaulu katika mitihani yao. Teknolojia ni kitengo muhimu sana katika jamii hasa kwa wanafunzi lakini huleta madhara makubwa mno katika swala lao la masomoni. Na kwa hilo inapaswa kutomshawishi mwanafunzi kutumia teknolojia anaposoma. Hii ni kwamba teknolojia humpotezea mwanafunzi wakati wakujisomea.
Video mbaya huathiri wanafunzi vipi
Kimawazo
x
3194_swa_9
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa katika jamii na nchi yetu ya Kenya. Katika maswala ya elimu teknolojia pia ina umuhimu na imechangia katika mambo mengi hasa katika orodha ya uendeshaji wa shule katika vitengo mbalimbali. Baadhi ya vitengo hivi ni kama vile shuleni, walimu hutumia intaneti katika masomo na hujifundisha kutumia intaneti. Walimu pia hutumia tarakilishi katika kuhifadhi na kurekodi data zao. Hivi kwamba hata wanafunzi hutumia kikokotoo katika kufanya somo la Hisabati na hii imechangia pakubwa na kurahisisha kazi katika somo hilo la Hisabati. Teknolojia imechangia kusaidia wanafunzi katika masomo yao. Mwanafunzi hutumia utandawazi ili kusomea na kuyafanya utafiti katika masomo yao. Hivi ni kwamba wakuu wa elimu hutumia utandawazi kuyanya utafiti na kuwasilishia au kuleta vifaa vya elimu kwa wanafunzi kwa urahisi bila kupoteza wakati. Tunapokuwa katika likizo, wanafunzi hutumiwa kazi za ziada katika rununu zao wakiwa nyumbani. Pia vile vile walimu hutumia rununu kufundisha wanafunzi wanapokuwa katika likizo ndefu nyumbani. Hii humrahisishia mwalimu kuendelea na masomo au vipindi vyake vya darasani. Wanafunzi pia hutumia rununu zao kutafuta utafiti wanapokuwa wakisoma. Wengine pia hutumia tarakilishi na televisheni za kisasa kufanya utafiti wao. Changamoto au madhara yanayochangia katika teknolojia ni kwamba baadhi ya wanafunzi hutumia teknolojia kwa mambo yasiyowafa katika maisha yao. Wakati mwingi, wanafunzi hutumia utandawazi' kutazama video mbaya ambazo huwaadhiri kimawazo. Pia mwanafunzi hutumia muda mwingi katika kutazama utandawazi na kusababisha kutozingatia masomo yao na hii huwa chanzo kikuu cha kuwafanya wanafunzi kutofaulu katika mitihani yao. Teknolojia ni kitengo muhimu sana katika jamii hasa kwa wanafunzi lakini huleta madhara makubwa mno katika swala lao la masomoni. Na kwa hilo inapaswa kutomshawishi mwanafunzi kutumia teknolojia anaposoma. Hii ni kwamba teknolojia humpotezea mwanafunzi wakati wakujisomea.
Kwa nini si vyema kwa mwanafunzi kutumia tekinolojia
Tekinolojia humpoteza mwanafunzi anapojisomea
x
3209_swa_0
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutumia tecken teknolojia. teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma kwa wrahisi kwa kutumia vikokotoa, ambavyo vimeweza kuwasaidia wanafunzi wakati wanapo fanya hesabati. Vikokoto vimewafanya wanafunzi kutopoteza muda na pia kutofikiria sana. Pia vilevile teknolojia imeweza kuwasaidia wanafunzi kwa njia ya kutumia runinga na Simw. Runinga hizi zinasaidia wanafunzi kuelewa na kujua habari za nchi yao. Kwani runinga huwa zinatoa habari nyingi kuhusu nchi yote na pia dunia nzima. Simu pia iliwasaidia wanafunzi wakati na korona, ambapo mangfunzi walikazionilas kubaki manyumbani mwao. Wanafunzi waliweza kuendelea na selibasi yao ya shule kutumia simu. Teknologia pia imesaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao. Kwa kupitia kichapishaji. Suala hili lime rahisisha sana kazi kwa walimu kwani hata wanafunzi wawe wengi bacho kuna uwezo wakupata mathani kuna kila mmoja. Pia vile vile wanafunzi wa kisasa wamebahatika kutumia kompyuta. Kwani wanatumia kompyuta kusoma masomo tofauti tofauti. Kompyuta hizi zimefanya wanafunzi kupata elimu ya bure hasa hasa kwa mambo ambayo Teknolojia pia ina madhara yake. Teknolojia kwa kupitia simu imewharibu wanafunzi wengi sana, kwani wanafunzi hawa huchukuwa simu zao na kuingia mtandaoni na kuanza kutazama video chafu chafu kama ngono, ambazo zimeaathiri wanafunzi kwenye masomo yao. Akili zao huharibika na kupotoka kwa sababu ya kutazama video mbaya mbaya. Kompyuta pia imewaathiri wanafunzi wengi kwani neangefunzi hao huwa wanna turnia kompyuta hizo kwa njia mbuga. Wengi huitumia kompyuta kutazama vipindi badala ya kota kusuma, wengi pia wameathirika na kompyuta kwa kutoa kuwa na nidhamu. Unapata kwona wanafunzi wasikuhizi hawana nidhamu, ama kuna Kikokoto nacho pia vile vile kimicathiri wanafunzi, kwani kimemfanya wanafunzi kuwa wavivu wakati watu fanya hisabati. Wanafunzi wanaona matukio bila kufikira ili aweze kufanya hisabati kutumia akili na sio kikokoto. Kwa sababu ya kikokoto kinachangia uzembe.
Tekinolojia inayowekwa katika matumizi ya nini
Vitu
x
3209_swa_1
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutumia tecken teknolojia. teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma kwa wrahisi kwa kutumia vikokotoa, ambavyo vimeweza kuwasaidia wanafunzi wakati wanapo fanya hesabati. Vikokoto vimewafanya wanafunzi kutopoteza muda na pia kutofikiria sana. Pia vilevile teknolojia imeweza kuwasaidia wanafunzi kwa njia ya kutumia runinga na Simw. Runinga hizi zinasaidia wanafunzi kuelewa na kujua habari za nchi yao. Kwani runinga huwa zinatoa habari nyingi kuhusu nchi yote na pia dunia nzima. Simu pia iliwasaidia wanafunzi wakati na korona, ambapo mangfunzi walikazionilas kubaki manyumbani mwao. Wanafunzi waliweza kuendelea na selibasi yao ya shule kutumia simu. Teknologia pia imesaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao. Kwa kupitia kichapishaji. Suala hili lime rahisisha sana kazi kwa walimu kwani hata wanafunzi wawe wengi bacho kuna uwezo wakupata mathani kuna kila mmoja. Pia vile vile wanafunzi wa kisasa wamebahatika kutumia kompyuta. Kwani wanatumia kompyuta kusoma masomo tofauti tofauti. Kompyuta hizi zimefanya wanafunzi kupata elimu ya bure hasa hasa kwa mambo ambayo Teknolojia pia ina madhara yake. Teknolojia kwa kupitia simu imewharibu wanafunzi wengi sana, kwani wanafunzi hawa huchukuwa simu zao na kuingia mtandaoni na kuanza kutazama video chafu chafu kama ngono, ambazo zimeaathiri wanafunzi kwenye masomo yao. Akili zao huharibika na kupotoka kwa sababu ya kutazama video mbaya mbaya. Kompyuta pia imewaathiri wanafunzi wengi kwani neangefunzi hao huwa wanna turnia kompyuta hizo kwa njia mbuga. Wengi huitumia kompyuta kutazama vipindi badala ya kota kusuma, wengi pia wameathirika na kompyuta kwa kutoa kuwa na nidhamu. Unapata kwona wanafunzi wasikuhizi hawana nidhamu, ama kuna Kikokoto nacho pia vile vile kimicathiri wanafunzi, kwani kimemfanya wanafunzi kuwa wavivu wakati watu fanya hisabati. Wanafunzi wanaona matukio bila kufikira ili aweze kufanya hisabati kutumia akili na sio kikokoto. Kwa sababu ya kikokoto kinachangia uzembe.
Ni nini inasaidia wanafunzi kufanya hesabu
vikokoto
x
3209_swa_2
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutumia tecken teknolojia. teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma kwa wrahisi kwa kutumia vikokotoa, ambavyo vimeweza kuwasaidia wanafunzi wakati wanapo fanya hesabati. Vikokoto vimewafanya wanafunzi kutopoteza muda na pia kutofikiria sana. Pia vilevile teknolojia imeweza kuwasaidia wanafunzi kwa njia ya kutumia runinga na Simw. Runinga hizi zinasaidia wanafunzi kuelewa na kujua habari za nchi yao. Kwani runinga huwa zinatoa habari nyingi kuhusu nchi yote na pia dunia nzima. Simu pia iliwasaidia wanafunzi wakati na korona, ambapo mangfunzi walikazionilas kubaki manyumbani mwao. Wanafunzi waliweza kuendelea na selibasi yao ya shule kutumia simu. Teknologia pia imesaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao. Kwa kupitia kichapishaji. Suala hili lime rahisisha sana kazi kwa walimu kwani hata wanafunzi wawe wengi bacho kuna uwezo wakupata mathani kuna kila mmoja. Pia vile vile wanafunzi wa kisasa wamebahatika kutumia kompyuta. Kwani wanatumia kompyuta kusoma masomo tofauti tofauti. Kompyuta hizi zimefanya wanafunzi kupata elimu ya bure hasa hasa kwa mambo ambayo Teknolojia pia ina madhara yake. Teknolojia kwa kupitia simu imewharibu wanafunzi wengi sana, kwani wanafunzi hawa huchukuwa simu zao na kuingia mtandaoni na kuanza kutazama video chafu chafu kama ngono, ambazo zimeaathiri wanafunzi kwenye masomo yao. Akili zao huharibika na kupotoka kwa sababu ya kutazama video mbaya mbaya. Kompyuta pia imewaathiri wanafunzi wengi kwani neangefunzi hao huwa wanna turnia kompyuta hizo kwa njia mbuga. Wengi huitumia kompyuta kutazama vipindi badala ya kota kusuma, wengi pia wameathirika na kompyuta kwa kutoa kuwa na nidhamu. Unapata kwona wanafunzi wasikuhizi hawana nidhamu, ama kuna Kikokoto nacho pia vile vile kimicathiri wanafunzi, kwani kimemfanya wanafunzi kuwa wavivu wakati watu fanya hisabati. Wanafunzi wanaona matukio bila kufikira ili aweze kufanya hisabati kutumia akili na sio kikokoto. Kwa sababu ya kikokoto kinachangia uzembe.
Ni nini husaidia kupata habari za nchi yao
Runinga
x
3209_swa_3
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutumia tecken teknolojia. teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma kwa wrahisi kwa kutumia vikokotoa, ambavyo vimeweza kuwasaidia wanafunzi wakati wanapo fanya hesabati. Vikokoto vimewafanya wanafunzi kutopoteza muda na pia kutofikiria sana. Pia vilevile teknolojia imeweza kuwasaidia wanafunzi kwa njia ya kutumia runinga na Simw. Runinga hizi zinasaidia wanafunzi kuelewa na kujua habari za nchi yao. Kwani runinga huwa zinatoa habari nyingi kuhusu nchi yote na pia dunia nzima. Simu pia iliwasaidia wanafunzi wakati na korona, ambapo mangfunzi walikazionilas kubaki manyumbani mwao. Wanafunzi waliweza kuendelea na selibasi yao ya shule kutumia simu. Teknologia pia imesaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao. Kwa kupitia kichapishaji. Suala hili lime rahisisha sana kazi kwa walimu kwani hata wanafunzi wawe wengi bacho kuna uwezo wakupata mathani kuna kila mmoja. Pia vile vile wanafunzi wa kisasa wamebahatika kutumia kompyuta. Kwani wanatumia kompyuta kusoma masomo tofauti tofauti. Kompyuta hizi zimefanya wanafunzi kupata elimu ya bure hasa hasa kwa mambo ambayo Teknolojia pia ina madhara yake. Teknolojia kwa kupitia simu imewharibu wanafunzi wengi sana, kwani wanafunzi hawa huchukuwa simu zao na kuingia mtandaoni na kuanza kutazama video chafu chafu kama ngono, ambazo zimeaathiri wanafunzi kwenye masomo yao. Akili zao huharibika na kupotoka kwa sababu ya kutazama video mbaya mbaya. Kompyuta pia imewaathiri wanafunzi wengi kwani neangefunzi hao huwa wanna turnia kompyuta hizo kwa njia mbuga. Wengi huitumia kompyuta kutazama vipindi badala ya kota kusuma, wengi pia wameathirika na kompyuta kwa kutoa kuwa na nidhamu. Unapata kwona wanafunzi wasikuhizi hawana nidhamu, ama kuna Kikokoto nacho pia vile vile kimicathiri wanafunzi, kwani kimemfanya wanafunzi kuwa wavivu wakati watu fanya hisabati. Wanafunzi wanaona matukio bila kufikira ili aweze kufanya hisabati kutumia akili na sio kikokoto. Kwa sababu ya kikokoto kinachangia uzembe.
Ni nini ilisaidia wakat wa korona
Simu
x
3209_swa_4
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutumia tecken teknolojia. teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma kwa wrahisi kwa kutumia vikokotoa, ambavyo vimeweza kuwasaidia wanafunzi wakati wanapo fanya hesabati. Vikokoto vimewafanya wanafunzi kutopoteza muda na pia kutofikiria sana. Pia vilevile teknolojia imeweza kuwasaidia wanafunzi kwa njia ya kutumia runinga na Simw. Runinga hizi zinasaidia wanafunzi kuelewa na kujua habari za nchi yao. Kwani runinga huwa zinatoa habari nyingi kuhusu nchi yote na pia dunia nzima. Simu pia iliwasaidia wanafunzi wakati na korona, ambapo mangfunzi walikazionilas kubaki manyumbani mwao. Wanafunzi waliweza kuendelea na selibasi yao ya shule kutumia simu. Teknologia pia imesaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao. Kwa kupitia kichapishaji. Suala hili lime rahisisha sana kazi kwa walimu kwani hata wanafunzi wawe wengi bacho kuna uwezo wakupata mathani kuna kila mmoja. Pia vile vile wanafunzi wa kisasa wamebahatika kutumia kompyuta. Kwani wanatumia kompyuta kusoma masomo tofauti tofauti. Kompyuta hizi zimefanya wanafunzi kupata elimu ya bure hasa hasa kwa mambo ambayo Teknolojia pia ina madhara yake. Teknolojia kwa kupitia simu imewharibu wanafunzi wengi sana, kwani wanafunzi hawa huchukuwa simu zao na kuingia mtandaoni na kuanza kutazama video chafu chafu kama ngono, ambazo zimeaathiri wanafunzi kwenye masomo yao. Akili zao huharibika na kupotoka kwa sababu ya kutazama video mbaya mbaya. Kompyuta pia imewaathiri wanafunzi wengi kwani neangefunzi hao huwa wanna turnia kompyuta hizo kwa njia mbuga. Wengi huitumia kompyuta kutazama vipindi badala ya kota kusuma, wengi pia wameathirika na kompyuta kwa kutoa kuwa na nidhamu. Unapata kwona wanafunzi wasikuhizi hawana nidhamu, ama kuna Kikokoto nacho pia vile vile kimicathiri wanafunzi, kwani kimemfanya wanafunzi kuwa wavivu wakati watu fanya hisabati. Wanafunzi wanaona matukio bila kufikira ili aweze kufanya hisabati kutumia akili na sio kikokoto. Kwa sababu ya kikokoto kinachangia uzembe.
Kwa nini wanafunzi wanakuwa wavivu wakifanya hesabu
Kwa kutumia kikokotoo
x
3209_swa_5
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutumia tecken teknolojia. teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma kwa wrahisi kwa kutumia vikokotoa, ambavyo vimeweza kuwasaidia wanafunzi wakati wanapo fanya hesabati. Vikokoto vimewafanya wanafunzi kutopoteza muda na pia kutofikiria sana. Pia vilevile teknolojia imeweza kuwasaidia wanafunzi kwa njia ya kutumia runinga na Simw. Runinga hizi zinasaidia wanafunzi kuelewa na kujua habari za nchi yao. Kwani runinga huwa zinatoa habari nyingi kuhusu nchi yote na pia dunia nzima. Simu pia iliwasaidia wanafunzi wakati na korona, ambapo mangfunzi walikazionilas kubaki manyumbani mwao. Wanafunzi waliweza kuendelea na selibasi yao ya shule kutumia simu. Teknologia pia imesaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao. Kwa kupitia kichapishaji. Suala hili lime rahisisha sana kazi kwa walimu kwani hata wanafunzi wawe wengi bacho kuna uwezo wakupata mathani kuna kila mmoja. Pia vile vile wanafunzi wa kisasa wamebahatika kutumia kompyuta. Kwani wanatumia kompyuta kusoma masomo tofauti tofauti. Kompyuta hizi zimefanya wanafunzi kupata elimu ya bure hasa hasa kwa mambo ambayo Teknolojia pia ina madhara yake. Teknolojia kwa kupitia simu imewharibu wanafunzi wengi sana, kwani wanafunzi hawa huchukuwa simu zao na kuingia mtandaoni na kuanza kutazama video chafu chafu kama ngono, ambazo zimeaathiri wanafunzi kwenye masomo yao. Akili zao huharibika na kupotoka kwa sababu ya kutazama video mbaya mbaya. Kompyuta pia imewaathiri wanafunzi wengi kwani neangefunzi hao huwa wanna turnia kompyuta hizo kwa njia mbuga. Wengi huitumia kompyuta kutazama vipindi badala ya kota kusuma, wengi pia wameathirika na kompyuta kwa kutoa kuwa na nidhamu. Unapata kwona wanafunzi wasikuhizi hawana nidhamu, ama kuna Kikokoto nacho pia vile vile kimicathiri wanafunzi, kwani kimemfanya wanafunzi kuwa wavivu wakati watu fanya hisabati. Wanafunzi wanaona matukio bila kufikira ili aweze kufanya hisabati kutumia akili na sio kikokoto. Kwa sababu ya kikokoto kinachangia uzembe.
Ni maariga gani yaliyowekwa kwa matumizi ya vitu
Tekinolojia
x
3209_swa_6
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutumia tecken teknolojia. teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma kwa wrahisi kwa kutumia vikokotoa, ambavyo vimeweza kuwasaidia wanafunzi wakati wanapo fanya hesabati. Vikokoto vimewafanya wanafunzi kutopoteza muda na pia kutofikiria sana. Pia vilevile teknolojia imeweza kuwasaidia wanafunzi kwa njia ya kutumia runinga na Simw. Runinga hizi zinasaidia wanafunzi kuelewa na kujua habari za nchi yao. Kwani runinga huwa zinatoa habari nyingi kuhusu nchi yote na pia dunia nzima. Simu pia iliwasaidia wanafunzi wakati na korona, ambapo mangfunzi walikazionilas kubaki manyumbani mwao. Wanafunzi waliweza kuendelea na selibasi yao ya shule kutumia simu. Teknologia pia imesaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao. Kwa kupitia kichapishaji. Suala hili lime rahisisha sana kazi kwa walimu kwani hata wanafunzi wawe wengi bacho kuna uwezo wakupata mathani kuna kila mmoja. Pia vile vile wanafunzi wa kisasa wamebahatika kutumia kompyuta. Kwani wanatumia kompyuta kusoma masomo tofauti tofauti. Kompyuta hizi zimefanya wanafunzi kupata elimu ya bure hasa hasa kwa mambo ambayo Teknolojia pia ina madhara yake. Teknolojia kwa kupitia simu imewharibu wanafunzi wengi sana, kwani wanafunzi hawa huchukuwa simu zao na kuingia mtandaoni na kuanza kutazama video chafu chafu kama ngono, ambazo zimeaathiri wanafunzi kwenye masomo yao. Akili zao huharibika na kupotoka kwa sababu ya kutazama video mbaya mbaya. Kompyuta pia imewaathiri wanafunzi wengi kwani neangefunzi hao huwa wanna turnia kompyuta hizo kwa njia mbuga. Wengi huitumia kompyuta kutazama vipindi badala ya kota kusuma, wengi pia wameathirika na kompyuta kwa kutoa kuwa na nidhamu. Unapata kwona wanafunzi wasikuhizi hawana nidhamu, ama kuna Kikokoto nacho pia vile vile kimicathiri wanafunzi, kwani kimemfanya wanafunzi kuwa wavivu wakati watu fanya hisabati. Wanafunzi wanaona matukio bila kufikira ili aweze kufanya hisabati kutumia akili na sio kikokoto. Kwa sababu ya kikokoto kinachangia uzembe.
Ni nini inawezesha wanafunzi kusoma kwa urahisi
Vikokotoo
x
3209_swa_7
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutumia tecken teknolojia. teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma kwa wrahisi kwa kutumia vikokotoa, ambavyo vimeweza kuwasaidia wanafunzi wakati wanapo fanya hesabati. Vikokoto vimewafanya wanafunzi kutopoteza muda na pia kutofikiria sana. Pia vilevile teknolojia imeweza kuwasaidia wanafunzi kwa njia ya kutumia runinga na Simw. Runinga hizi zinasaidia wanafunzi kuelewa na kujua habari za nchi yao. Kwani runinga huwa zinatoa habari nyingi kuhusu nchi yote na pia dunia nzima. Simu pia iliwasaidia wanafunzi wakati na korona, ambapo mangfunzi walikazionilas kubaki manyumbani mwao. Wanafunzi waliweza kuendelea na selibasi yao ya shule kutumia simu. Teknologia pia imesaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao. Kwa kupitia kichapishaji. Suala hili lime rahisisha sana kazi kwa walimu kwani hata wanafunzi wawe wengi bacho kuna uwezo wakupata mathani kuna kila mmoja. Pia vile vile wanafunzi wa kisasa wamebahatika kutumia kompyuta. Kwani wanatumia kompyuta kusoma masomo tofauti tofauti. Kompyuta hizi zimefanya wanafunzi kupata elimu ya bure hasa hasa kwa mambo ambayo Teknolojia pia ina madhara yake. Teknolojia kwa kupitia simu imewharibu wanafunzi wengi sana, kwani wanafunzi hawa huchukuwa simu zao na kuingia mtandaoni na kuanza kutazama video chafu chafu kama ngono, ambazo zimeaathiri wanafunzi kwenye masomo yao. Akili zao huharibika na kupotoka kwa sababu ya kutazama video mbaya mbaya. Kompyuta pia imewaathiri wanafunzi wengi kwani neangefunzi hao huwa wanna turnia kompyuta hizo kwa njia mbuga. Wengi huitumia kompyuta kutazama vipindi badala ya kota kusuma, wengi pia wameathirika na kompyuta kwa kutoa kuwa na nidhamu. Unapata kwona wanafunzi wasikuhizi hawana nidhamu, ama kuna Kikokoto nacho pia vile vile kimicathiri wanafunzi, kwani kimemfanya wanafunzi kuwa wavivu wakati watu fanya hisabati. Wanafunzi wanaona matukio bila kufikira ili aweze kufanya hisabati kutumia akili na sio kikokoto. Kwa sababu ya kikokoto kinachangia uzembe.
Wanafunzi wanatumia nini kusoma masomo tofautitofauti
Kompyuta
x
3209_swa_8
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutumia tecken teknolojia. teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma kwa wrahisi kwa kutumia vikokotoa, ambavyo vimeweza kuwasaidia wanafunzi wakati wanapo fanya hesabati. Vikokoto vimewafanya wanafunzi kutopoteza muda na pia kutofikiria sana. Pia vilevile teknolojia imeweza kuwasaidia wanafunzi kwa njia ya kutumia runinga na Simw. Runinga hizi zinasaidia wanafunzi kuelewa na kujua habari za nchi yao. Kwani runinga huwa zinatoa habari nyingi kuhusu nchi yote na pia dunia nzima. Simu pia iliwasaidia wanafunzi wakati na korona, ambapo mangfunzi walikazionilas kubaki manyumbani mwao. Wanafunzi waliweza kuendelea na selibasi yao ya shule kutumia simu. Teknologia pia imesaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao. Kwa kupitia kichapishaji. Suala hili lime rahisisha sana kazi kwa walimu kwani hata wanafunzi wawe wengi bacho kuna uwezo wakupata mathani kuna kila mmoja. Pia vile vile wanafunzi wa kisasa wamebahatika kutumia kompyuta. Kwani wanatumia kompyuta kusoma masomo tofauti tofauti. Kompyuta hizi zimefanya wanafunzi kupata elimu ya bure hasa hasa kwa mambo ambayo Teknolojia pia ina madhara yake. Teknolojia kwa kupitia simu imewharibu wanafunzi wengi sana, kwani wanafunzi hawa huchukuwa simu zao na kuingia mtandaoni na kuanza kutazama video chafu chafu kama ngono, ambazo zimeaathiri wanafunzi kwenye masomo yao. Akili zao huharibika na kupotoka kwa sababu ya kutazama video mbaya mbaya. Kompyuta pia imewaathiri wanafunzi wengi kwani neangefunzi hao huwa wanna turnia kompyuta hizo kwa njia mbuga. Wengi huitumia kompyuta kutazama vipindi badala ya kota kusuma, wengi pia wameathirika na kompyuta kwa kutoa kuwa na nidhamu. Unapata kwona wanafunzi wasikuhizi hawana nidhamu, ama kuna Kikokoto nacho pia vile vile kimicathiri wanafunzi, kwani kimemfanya wanafunzi kuwa wavivu wakati watu fanya hisabati. Wanafunzi wanaona matukio bila kufikira ili aweze kufanya hisabati kutumia akili na sio kikokoto. Kwa sababu ya kikokoto kinachangia uzembe.
Wanafunzi wanatumia nini kutazama video chafu
Simu
x
3209_swa_9
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutumia tecken teknolojia. teknolojia imewawezesha wanafunzi kusoma kwa wrahisi kwa kutumia vikokotoa, ambavyo vimeweza kuwasaidia wanafunzi wakati wanapo fanya hesabati. Vikokoto vimewafanya wanafunzi kutopoteza muda na pia kutofikiria sana. Pia vilevile teknolojia imeweza kuwasaidia wanafunzi kwa njia ya kutumia runinga na Simw. Runinga hizi zinasaidia wanafunzi kuelewa na kujua habari za nchi yao. Kwani runinga huwa zinatoa habari nyingi kuhusu nchi yote na pia dunia nzima. Simu pia iliwasaidia wanafunzi wakati na korona, ambapo mangfunzi walikazionilas kubaki manyumbani mwao. Wanafunzi waliweza kuendelea na selibasi yao ya shule kutumia simu. Teknologia pia imesaidia walimu kuweza kuchapisha mitihani ya wanafunzi wao. Kwa kupitia kichapishaji. Suala hili lime rahisisha sana kazi kwa walimu kwani hata wanafunzi wawe wengi bacho kuna uwezo wakupata mathani kuna kila mmoja. Pia vile vile wanafunzi wa kisasa wamebahatika kutumia kompyuta. Kwani wanatumia kompyuta kusoma masomo tofauti tofauti. Kompyuta hizi zimefanya wanafunzi kupata elimu ya bure hasa hasa kwa mambo ambayo Teknolojia pia ina madhara yake. Teknolojia kwa kupitia simu imewharibu wanafunzi wengi sana, kwani wanafunzi hawa huchukuwa simu zao na kuingia mtandaoni na kuanza kutazama video chafu chafu kama ngono, ambazo zimeaathiri wanafunzi kwenye masomo yao. Akili zao huharibika na kupotoka kwa sababu ya kutazama video mbaya mbaya. Kompyuta pia imewaathiri wanafunzi wengi kwani neangefunzi hao huwa wanna turnia kompyuta hizo kwa njia mbuga. Wengi huitumia kompyuta kutazama vipindi badala ya kota kusuma, wengi pia wameathirika na kompyuta kwa kutoa kuwa na nidhamu. Unapata kwona wanafunzi wasikuhizi hawana nidhamu, ama kuna Kikokoto nacho pia vile vile kimicathiri wanafunzi, kwani kimemfanya wanafunzi kuwa wavivu wakati watu fanya hisabati. Wanafunzi wanaona matukio bila kufikira ili aweze kufanya hisabati kutumia akili na sio kikokoto. Kwa sababu ya kikokoto kinachangia uzembe.
Ni vipi wanafunzi wanakuwa wavivu kwa hisabati
Wanatumia kikokotoo kufanya hesabu badala ya kufikiria
x
3211_swa_0
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelewa kwa umakini vizuri kwa sababu hii inatumiwa na wanafunzi kuana na kusikiliza kinachoendelea. Tarakilishi pia imefanya kazi kuwa rahisi katika maendeleo ya shule. Teknologia ya kutumia runinga shuleni amewasaidia sana wanafunzi kuona na kujua kinachoendelea katika aje nchi yetu.Badala kusubiri mpaka mafike manyumbani. Hii inawasaidia wao kutopita Inaki la tine kitu kinachotendeko pia runinga huwa na vipindi kinaluyotoa mawaidha kwa wanafunzi na pia wanaweza kusoma kutumia runinga. Teknologia nyingine ilichipuka ni simu. Simu imesaidia kupitisha mawasiliano baina ya mwalimu na mzazi lli kujua maendeleo ya mwanafunzi shuleni. Teknologia pia imeleta madhara katika shule za sekondari. kwa mfano tarakilishi wanafunzi wanaenda kwenye vyumba vinaro weka tarakilishi hawa wengine hawafati maagizo Hii inasababisha kuchomeka kwa shule. Hii masababishwa na wanafunzi kukugusa waya ambazo hazistahili Ata pia runinga wakati wengine wanafunzi wanatumia kuangalia with ambayo alistahili kabisa kama watoto ku wanafunzi kuangalia video vya ngono, na wanaanza kujaribu wakiwa Shule. Hii inasababisha usagaji. Elimu pia ina madhara yake klanafuna i wengine huingia na simu Shuleni tenu wanaanza kutumia simu kufunga mawasiliano yasiys stahili kama kuwapigia watu wao wasiostahili na kusababisha maafa kwa wanafunzi wengi kama kuingilia usiku na kubakiwa kwa shule za wasichana
Ni nini inasaidia kujua kinachoaendelea nchini yetu
Runinga
x
3211_swa_1
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelewa kwa umakini vizuri kwa sababu hii inatumiwa na wanafunzi kuana na kusikiliza kinachoendelea. Tarakilishi pia imefanya kazi kuwa rahisi katika maendeleo ya shule. Teknologia ya kutumia runinga shuleni amewasaidia sana wanafunzi kuona na kujua kinachoendelea katika aje nchi yetu.Badala kusubiri mpaka mafike manyumbani. Hii inawasaidia wao kutopita Inaki la tine kitu kinachotendeko pia runinga huwa na vipindi kinaluyotoa mawaidha kwa wanafunzi na pia wanaweza kusoma kutumia runinga. Teknologia nyingine ilichipuka ni simu. Simu imesaidia kupitisha mawasiliano baina ya mwalimu na mzazi lli kujua maendeleo ya mwanafunzi shuleni. Teknologia pia imeleta madhara katika shule za sekondari. kwa mfano tarakilishi wanafunzi wanaenda kwenye vyumba vinaro weka tarakilishi hawa wengine hawafati maagizo Hii inasababisha kuchomeka kwa shule. Hii masababishwa na wanafunzi kukugusa waya ambazo hazistahili Ata pia runinga wakati wengine wanafunzi wanatumia kuangalia with ambayo alistahili kabisa kama watoto ku wanafunzi kuangalia video vya ngono, na wanaanza kujaribu wakiwa Shule. Hii inasababisha usagaji. Elimu pia ina madhara yake klanafuna i wengine huingia na simu Shuleni tenu wanaanza kutumia simu kufunga mawasiliano yasiys stahili kama kuwapigia watu wao wasiostahili na kusababisha maafa kwa wanafunzi wengi kama kuingilia usiku na kubakiwa kwa shule za wasichana
Ni nini imefanya kazi kuwa rahisi
Tarakilishi
x
3211_swa_2
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelewa kwa umakini vizuri kwa sababu hii inatumiwa na wanafunzi kuana na kusikiliza kinachoendelea. Tarakilishi pia imefanya kazi kuwa rahisi katika maendeleo ya shule. Teknologia ya kutumia runinga shuleni amewasaidia sana wanafunzi kuona na kujua kinachoendelea katika aje nchi yetu.Badala kusubiri mpaka mafike manyumbani. Hii inawasaidia wao kutopita Inaki la tine kitu kinachotendeko pia runinga huwa na vipindi kinaluyotoa mawaidha kwa wanafunzi na pia wanaweza kusoma kutumia runinga. Teknologia nyingine ilichipuka ni simu. Simu imesaidia kupitisha mawasiliano baina ya mwalimu na mzazi lli kujua maendeleo ya mwanafunzi shuleni. Teknologia pia imeleta madhara katika shule za sekondari. kwa mfano tarakilishi wanafunzi wanaenda kwenye vyumba vinaro weka tarakilishi hawa wengine hawafati maagizo Hii inasababisha kuchomeka kwa shule. Hii masababishwa na wanafunzi kukugusa waya ambazo hazistahili Ata pia runinga wakati wengine wanafunzi wanatumia kuangalia with ambayo alistahili kabisa kama watoto ku wanafunzi kuangalia video vya ngono, na wanaanza kujaribu wakiwa Shule. Hii inasababisha usagaji. Elimu pia ina madhara yake klanafuna i wengine huingia na simu Shuleni tenu wanaanza kutumia simu kufunga mawasiliano yasiys stahili kama kuwapigia watu wao wasiostahili na kusababisha maafa kwa wanafunzi wengi kama kuingilia usiku na kubakiwa kwa shule za wasichana
Ni nini husaidia mawasiliano baina ya walimu na wanafunzi
Simu
x
3211_swa_3
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelewa kwa umakini vizuri kwa sababu hii inatumiwa na wanafunzi kuana na kusikiliza kinachoendelea. Tarakilishi pia imefanya kazi kuwa rahisi katika maendeleo ya shule. Teknologia ya kutumia runinga shuleni amewasaidia sana wanafunzi kuona na kujua kinachoendelea katika aje nchi yetu.Badala kusubiri mpaka mafike manyumbani. Hii inawasaidia wao kutopita Inaki la tine kitu kinachotendeko pia runinga huwa na vipindi kinaluyotoa mawaidha kwa wanafunzi na pia wanaweza kusoma kutumia runinga. Teknologia nyingine ilichipuka ni simu. Simu imesaidia kupitisha mawasiliano baina ya mwalimu na mzazi lli kujua maendeleo ya mwanafunzi shuleni. Teknologia pia imeleta madhara katika shule za sekondari. kwa mfano tarakilishi wanafunzi wanaenda kwenye vyumba vinaro weka tarakilishi hawa wengine hawafati maagizo Hii inasababisha kuchomeka kwa shule. Hii masababishwa na wanafunzi kukugusa waya ambazo hazistahili Ata pia runinga wakati wengine wanafunzi wanatumia kuangalia with ambayo alistahili kabisa kama watoto ku wanafunzi kuangalia video vya ngono, na wanaanza kujaribu wakiwa Shule. Hii inasababisha usagaji. Elimu pia ina madhara yake klanafuna i wengine huingia na simu Shuleni tenu wanaanza kutumia simu kufunga mawasiliano yasiys stahili kama kuwapigia watu wao wasiostahili na kusababisha maafa kwa wanafunzi wengi kama kuingilia usiku na kubakiwa kwa shule za wasichana
Usagaji unaletwa na nini
Kutazama video za ngono
x
3211_swa_4
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelewa kwa umakini vizuri kwa sababu hii inatumiwa na wanafunzi kuana na kusikiliza kinachoendelea. Tarakilishi pia imefanya kazi kuwa rahisi katika maendeleo ya shule. Teknologia ya kutumia runinga shuleni amewasaidia sana wanafunzi kuona na kujua kinachoendelea katika aje nchi yetu.Badala kusubiri mpaka mafike manyumbani. Hii inawasaidia wao kutopita Inaki la tine kitu kinachotendeko pia runinga huwa na vipindi kinaluyotoa mawaidha kwa wanafunzi na pia wanaweza kusoma kutumia runinga. Teknologia nyingine ilichipuka ni simu. Simu imesaidia kupitisha mawasiliano baina ya mwalimu na mzazi lli kujua maendeleo ya mwanafunzi shuleni. Teknologia pia imeleta madhara katika shule za sekondari. kwa mfano tarakilishi wanafunzi wanaenda kwenye vyumba vinaro weka tarakilishi hawa wengine hawafati maagizo Hii inasababisha kuchomeka kwa shule. Hii masababishwa na wanafunzi kukugusa waya ambazo hazistahili Ata pia runinga wakati wengine wanafunzi wanatumia kuangalia with ambayo alistahili kabisa kama watoto ku wanafunzi kuangalia video vya ngono, na wanaanza kujaribu wakiwa Shule. Hii inasababisha usagaji. Elimu pia ina madhara yake klanafuna i wengine huingia na simu Shuleni tenu wanaanza kutumia simu kufunga mawasiliano yasiys stahili kama kuwapigia watu wao wasiostahili na kusababisha maafa kwa wanafunzi wengi kama kuingilia usiku na kubakiwa kwa shule za wasichana
Ubakaji shuleni unaletwa na nini
Pigia watu wasiostahili simu
x
3211_swa_5
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelewa kwa umakini vizuri kwa sababu hii inatumiwa na wanafunzi kuana na kusikiliza kinachoendelea. Tarakilishi pia imefanya kazi kuwa rahisi katika maendeleo ya shule. Teknologia ya kutumia runinga shuleni amewasaidia sana wanafunzi kuona na kujua kinachoendelea katika aje nchi yetu.Badala kusubiri mpaka mafike manyumbani. Hii inawasaidia wao kutopita Inaki la tine kitu kinachotendeko pia runinga huwa na vipindi kinaluyotoa mawaidha kwa wanafunzi na pia wanaweza kusoma kutumia runinga. Teknologia nyingine ilichipuka ni simu. Simu imesaidia kupitisha mawasiliano baina ya mwalimu na mzazi lli kujua maendeleo ya mwanafunzi shuleni. Teknologia pia imeleta madhara katika shule za sekondari. kwa mfano tarakilishi wanafunzi wanaenda kwenye vyumba vinaro weka tarakilishi hawa wengine hawafati maagizo Hii inasababisha kuchomeka kwa shule. Hii masababishwa na wanafunzi kukugusa waya ambazo hazistahili Ata pia runinga wakati wengine wanafunzi wanatumia kuangalia with ambayo alistahili kabisa kama watoto ku wanafunzi kuangalia video vya ngono, na wanaanza kujaribu wakiwa Shule. Hii inasababisha usagaji. Elimu pia ina madhara yake klanafuna i wengine huingia na simu Shuleni tenu wanaanza kutumia simu kufunga mawasiliano yasiys stahili kama kuwapigia watu wao wasiostahili na kusababisha maafa kwa wanafunzi wengi kama kuingilia usiku na kubakiwa kwa shule za wasichana
Ni nini inasaidia kwendesha masomo kwa haraka
Tekinolojia
x
3211_swa_6
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelewa kwa umakini vizuri kwa sababu hii inatumiwa na wanafunzi kuana na kusikiliza kinachoendelea. Tarakilishi pia imefanya kazi kuwa rahisi katika maendeleo ya shule. Teknologia ya kutumia runinga shuleni amewasaidia sana wanafunzi kuona na kujua kinachoendelea katika aje nchi yetu.Badala kusubiri mpaka mafike manyumbani. Hii inawasaidia wao kutopita Inaki la tine kitu kinachotendeko pia runinga huwa na vipindi kinaluyotoa mawaidha kwa wanafunzi na pia wanaweza kusoma kutumia runinga. Teknologia nyingine ilichipuka ni simu. Simu imesaidia kupitisha mawasiliano baina ya mwalimu na mzazi lli kujua maendeleo ya mwanafunzi shuleni. Teknologia pia imeleta madhara katika shule za sekondari. kwa mfano tarakilishi wanafunzi wanaenda kwenye vyumba vinaro weka tarakilishi hawa wengine hawafati maagizo Hii inasababisha kuchomeka kwa shule. Hii masababishwa na wanafunzi kukugusa waya ambazo hazistahili Ata pia runinga wakati wengine wanafunzi wanatumia kuangalia with ambayo alistahili kabisa kama watoto ku wanafunzi kuangalia video vya ngono, na wanaanza kujaribu wakiwa Shule. Hii inasababisha usagaji. Elimu pia ina madhara yake klanafuna i wengine huingia na simu Shuleni tenu wanaanza kutumia simu kufunga mawasiliano yasiys stahili kama kuwapigia watu wao wasiostahili na kusababisha maafa kwa wanafunzi wengi kama kuingilia usiku na kubakiwa kwa shule za wasichana
Nini husaidia wanafunzi kujua kinachoendelea katika nchi yetu
Runinga
x
3211_swa_7
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelewa kwa umakini vizuri kwa sababu hii inatumiwa na wanafunzi kuana na kusikiliza kinachoendelea. Tarakilishi pia imefanya kazi kuwa rahisi katika maendeleo ya shule. Teknologia ya kutumia runinga shuleni amewasaidia sana wanafunzi kuona na kujua kinachoendelea katika aje nchi yetu.Badala kusubiri mpaka mafike manyumbani. Hii inawasaidia wao kutopita Inaki la tine kitu kinachotendeko pia runinga huwa na vipindi kinaluyotoa mawaidha kwa wanafunzi na pia wanaweza kusoma kutumia runinga. Teknologia nyingine ilichipuka ni simu. Simu imesaidia kupitisha mawasiliano baina ya mwalimu na mzazi lli kujua maendeleo ya mwanafunzi shuleni. Teknologia pia imeleta madhara katika shule za sekondari. kwa mfano tarakilishi wanafunzi wanaenda kwenye vyumba vinaro weka tarakilishi hawa wengine hawafati maagizo Hii inasababisha kuchomeka kwa shule. Hii masababishwa na wanafunzi kukugusa waya ambazo hazistahili Ata pia runinga wakati wengine wanafunzi wanatumia kuangalia with ambayo alistahili kabisa kama watoto ku wanafunzi kuangalia video vya ngono, na wanaanza kujaribu wakiwa Shule. Hii inasababisha usagaji. Elimu pia ina madhara yake klanafuna i wengine huingia na simu Shuleni tenu wanaanza kutumia simu kufunga mawasiliano yasiys stahili kama kuwapigia watu wao wasiostahili na kusababisha maafa kwa wanafunzi wengi kama kuingilia usiku na kubakiwa kwa shule za wasichana
Mawasiliano baina ya mwalimu na mzazi yanatumia nini
Simu
x
3211_swa_8
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelewa kwa umakini vizuri kwa sababu hii inatumiwa na wanafunzi kuana na kusikiliza kinachoendelea. Tarakilishi pia imefanya kazi kuwa rahisi katika maendeleo ya shule. Teknologia ya kutumia runinga shuleni amewasaidia sana wanafunzi kuona na kujua kinachoendelea katika aje nchi yetu.Badala kusubiri mpaka mafike manyumbani. Hii inawasaidia wao kutopita Inaki la tine kitu kinachotendeko pia runinga huwa na vipindi kinaluyotoa mawaidha kwa wanafunzi na pia wanaweza kusoma kutumia runinga. Teknologia nyingine ilichipuka ni simu. Simu imesaidia kupitisha mawasiliano baina ya mwalimu na mzazi lli kujua maendeleo ya mwanafunzi shuleni. Teknologia pia imeleta madhara katika shule za sekondari. kwa mfano tarakilishi wanafunzi wanaenda kwenye vyumba vinaro weka tarakilishi hawa wengine hawafati maagizo Hii inasababisha kuchomeka kwa shule. Hii masababishwa na wanafunzi kukugusa waya ambazo hazistahili Ata pia runinga wakati wengine wanafunzi wanatumia kuangalia with ambayo alistahili kabisa kama watoto ku wanafunzi kuangalia video vya ngono, na wanaanza kujaribu wakiwa Shule. Hii inasababisha usagaji. Elimu pia ina madhara yake klanafuna i wengine huingia na simu Shuleni tenu wanaanza kutumia simu kufunga mawasiliano yasiys stahili kama kuwapigia watu wao wasiostahili na kusababisha maafa kwa wanafunzi wengi kama kuingilia usiku na kubakiwa kwa shule za wasichana
Wanafunzi wanaenda katika chumba cha tarakilishi na kukosa kufuata nini
Maagizo
x
3211_swa_9
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelewa kwa umakini vizuri kwa sababu hii inatumiwa na wanafunzi kuana na kusikiliza kinachoendelea. Tarakilishi pia imefanya kazi kuwa rahisi katika maendeleo ya shule. Teknologia ya kutumia runinga shuleni amewasaidia sana wanafunzi kuona na kujua kinachoendelea katika aje nchi yetu.Badala kusubiri mpaka mafike manyumbani. Hii inawasaidia wao kutopita Inaki la tine kitu kinachotendeko pia runinga huwa na vipindi kinaluyotoa mawaidha kwa wanafunzi na pia wanaweza kusoma kutumia runinga. Teknologia nyingine ilichipuka ni simu. Simu imesaidia kupitisha mawasiliano baina ya mwalimu na mzazi lli kujua maendeleo ya mwanafunzi shuleni. Teknologia pia imeleta madhara katika shule za sekondari. kwa mfano tarakilishi wanafunzi wanaenda kwenye vyumba vinaro weka tarakilishi hawa wengine hawafati maagizo Hii inasababisha kuchomeka kwa shule. Hii masababishwa na wanafunzi kukugusa waya ambazo hazistahili Ata pia runinga wakati wengine wanafunzi wanatumia kuangalia with ambayo alistahili kabisa kama watoto ku wanafunzi kuangalia video vya ngono, na wanaanza kujaribu wakiwa Shule. Hii inasababisha usagaji. Elimu pia ina madhara yake klanafuna i wengine huingia na simu Shuleni tenu wanaanza kutumia simu kufunga mawasiliano yasiys stahili kama kuwapigia watu wao wasiostahili na kusababisha maafa kwa wanafunzi wengi kama kuingilia usiku na kubakiwa kwa shule za wasichana
Kwa nini shule huweza kuchomeka
Kwa vile wanfunzi hawafuati maagizo
x
3215_swa_0
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida yake na hata madhara yake. Faida zake ni kama vile rununu husaidia sana hasa katika mawasiliano na watu walio mbali, si kama zamani watu walitumia ngoma au kutuma mtu ili kupeleka ujumbe sehemu za mbali. Pia teknolojia imewezesha kuingia katika mitandao mbalimbali ili kuangalia jinsi inchi inavyoendelea. Aidha hutumika kuburudisha watu, kuwaliwaza kuimarisha masomo katika mitandao. Lakini tatizo la technolojia ya mitandao mpya imeleta pia madhara yako kama vile wanafunzi wadogo kupotoka kimaadili kwa kuangalia video potofu na kumfunza tabia mbovu katika jamii. Pia mitandao mingine inatumika kuwaibia watu rasilimali zao kama vile pesa kwenye simu. Hakuza uvivu kwa kuangalia televisheni na unapata mtu anajali sana kuhusu runinga kuliko kufanya kazi pale nyumbani. Tukiangazia teknolojia katika zahanati, imeimarisha sana matibabu katika hospitali siku hizi .Tukiangazia teknolojia katika zahanati imeimarisha sana matibabu katika nchi nyingi. Kwa mfano upasuaji wa viungo vya mwili bila mtu kusikia uchungu, uwekaji wa mtoto katika mama tasa asiyezaa matibabu ya figo kwa mwenye figo mbovu. Aidha, pia ina madhara yake, imeathiri wengi kwa kutumia kemikali nyingi ambazo huingiza kwa mwili wa binadamu na pia husababisha mtu kutoishii kwa muda mrefu badala ya kutumia dawa za kiasili ambazo huponya magonjwa tofauti tofauti bila ya kuathiri mtu. Tukiangazia usafiri, mambo mengi yameendelea sana kama vile meli, moboti ya kutumia umeme, gari moshi la kutumia umeme, mbinu za kupakia na kupakua mizigo katika vituo tofauti. Magari yameimarisha usafiri wa wanafunzi hapa nchini. Madhara yake ni husababisha ajali ambazo husababisha vifo Teknolojia hii imeleta manufaa mengi sana hapa nchini kama vile uimarishaji wa uchumi na uimarishaji wa miundomsingi.
Ni nini husaidia katika mawasiliano
Rununu
x
3215_swa_1
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida yake na hata madhara yake. Faida zake ni kama vile rununu husaidia sana hasa katika mawasiliano na watu walio mbali, si kama zamani watu walitumia ngoma au kutuma mtu ili kupeleka ujumbe sehemu za mbali. Pia teknolojia imewezesha kuingia katika mitandao mbalimbali ili kuangalia jinsi inchi inavyoendelea. Aidha hutumika kuburudisha watu, kuwaliwaza kuimarisha masomo katika mitandao. Lakini tatizo la technolojia ya mitandao mpya imeleta pia madhara yako kama vile wanafunzi wadogo kupotoka kimaadili kwa kuangalia video potofu na kumfunza tabia mbovu katika jamii. Pia mitandao mingine inatumika kuwaibia watu rasilimali zao kama vile pesa kwenye simu. Hakuza uvivu kwa kuangalia televisheni na unapata mtu anajali sana kuhusu runinga kuliko kufanya kazi pale nyumbani. Tukiangazia teknolojia katika zahanati, imeimarisha sana matibabu katika hospitali siku hizi .Tukiangazia teknolojia katika zahanati imeimarisha sana matibabu katika nchi nyingi. Kwa mfano upasuaji wa viungo vya mwili bila mtu kusikia uchungu, uwekaji wa mtoto katika mama tasa asiyezaa matibabu ya figo kwa mwenye figo mbovu. Aidha, pia ina madhara yake, imeathiri wengi kwa kutumia kemikali nyingi ambazo huingiza kwa mwili wa binadamu na pia husababisha mtu kutoishii kwa muda mrefu badala ya kutumia dawa za kiasili ambazo huponya magonjwa tofauti tofauti bila ya kuathiri mtu. Tukiangazia usafiri, mambo mengi yameendelea sana kama vile meli, moboti ya kutumia umeme, gari moshi la kutumia umeme, mbinu za kupakia na kupakua mizigo katika vituo tofauti. Magari yameimarisha usafiri wa wanafunzi hapa nchini. Madhara yake ni husababisha ajali ambazo husababisha vifo Teknolojia hii imeleta manufaa mengi sana hapa nchini kama vile uimarishaji wa uchumi na uimarishaji wa miundomsingi.
Mitandao hutumiwa kuwaibia watu nini
Raslimali
x
3215_swa_2
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida yake na hata madhara yake. Faida zake ni kama vile rununu husaidia sana hasa katika mawasiliano na watu walio mbali, si kama zamani watu walitumia ngoma au kutuma mtu ili kupeleka ujumbe sehemu za mbali. Pia teknolojia imewezesha kuingia katika mitandao mbalimbali ili kuangalia jinsi inchi inavyoendelea. Aidha hutumika kuburudisha watu, kuwaliwaza kuimarisha masomo katika mitandao. Lakini tatizo la technolojia ya mitandao mpya imeleta pia madhara yako kama vile wanafunzi wadogo kupotoka kimaadili kwa kuangalia video potofu na kumfunza tabia mbovu katika jamii. Pia mitandao mingine inatumika kuwaibia watu rasilimali zao kama vile pesa kwenye simu. Hakuza uvivu kwa kuangalia televisheni na unapata mtu anajali sana kuhusu runinga kuliko kufanya kazi pale nyumbani. Tukiangazia teknolojia katika zahanati, imeimarisha sana matibabu katika hospitali siku hizi .Tukiangazia teknolojia katika zahanati imeimarisha sana matibabu katika nchi nyingi. Kwa mfano upasuaji wa viungo vya mwili bila mtu kusikia uchungu, uwekaji wa mtoto katika mama tasa asiyezaa matibabu ya figo kwa mwenye figo mbovu. Aidha, pia ina madhara yake, imeathiri wengi kwa kutumia kemikali nyingi ambazo huingiza kwa mwili wa binadamu na pia husababisha mtu kutoishii kwa muda mrefu badala ya kutumia dawa za kiasili ambazo huponya magonjwa tofauti tofauti bila ya kuathiri mtu. Tukiangazia usafiri, mambo mengi yameendelea sana kama vile meli, moboti ya kutumia umeme, gari moshi la kutumia umeme, mbinu za kupakia na kupakua mizigo katika vituo tofauti. Magari yameimarisha usafiri wa wanafunzi hapa nchini. Madhara yake ni husababisha ajali ambazo husababisha vifo Teknolojia hii imeleta manufaa mengi sana hapa nchini kama vile uimarishaji wa uchumi na uimarishaji wa miundomsingi.
Ni nini hupotosha maadili
Tekinolojia
x
3215_swa_3
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida yake na hata madhara yake. Faida zake ni kama vile rununu husaidia sana hasa katika mawasiliano na watu walio mbali, si kama zamani watu walitumia ngoma au kutuma mtu ili kupeleka ujumbe sehemu za mbali. Pia teknolojia imewezesha kuingia katika mitandao mbalimbali ili kuangalia jinsi inchi inavyoendelea. Aidha hutumika kuburudisha watu, kuwaliwaza kuimarisha masomo katika mitandao. Lakini tatizo la technolojia ya mitandao mpya imeleta pia madhara yako kama vile wanafunzi wadogo kupotoka kimaadili kwa kuangalia video potofu na kumfunza tabia mbovu katika jamii. Pia mitandao mingine inatumika kuwaibia watu rasilimali zao kama vile pesa kwenye simu. Hakuza uvivu kwa kuangalia televisheni na unapata mtu anajali sana kuhusu runinga kuliko kufanya kazi pale nyumbani. Tukiangazia teknolojia katika zahanati, imeimarisha sana matibabu katika hospitali siku hizi .Tukiangazia teknolojia katika zahanati imeimarisha sana matibabu katika nchi nyingi. Kwa mfano upasuaji wa viungo vya mwili bila mtu kusikia uchungu, uwekaji wa mtoto katika mama tasa asiyezaa matibabu ya figo kwa mwenye figo mbovu. Aidha, pia ina madhara yake, imeathiri wengi kwa kutumia kemikali nyingi ambazo huingiza kwa mwili wa binadamu na pia husababisha mtu kutoishii kwa muda mrefu badala ya kutumia dawa za kiasili ambazo huponya magonjwa tofauti tofauti bila ya kuathiri mtu. Tukiangazia usafiri, mambo mengi yameendelea sana kama vile meli, moboti ya kutumia umeme, gari moshi la kutumia umeme, mbinu za kupakia na kupakua mizigo katika vituo tofauti. Magari yameimarisha usafiri wa wanafunzi hapa nchini. Madhara yake ni husababisha ajali ambazo husababisha vifo Teknolojia hii imeleta manufaa mengi sana hapa nchini kama vile uimarishaji wa uchumi na uimarishaji wa miundomsingi.
Tekinolojia katika usafiri una madhara gani
Husababisha ajali
x
3215_swa_4
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida yake na hata madhara yake. Faida zake ni kama vile rununu husaidia sana hasa katika mawasiliano na watu walio mbali, si kama zamani watu walitumia ngoma au kutuma mtu ili kupeleka ujumbe sehemu za mbali. Pia teknolojia imewezesha kuingia katika mitandao mbalimbali ili kuangalia jinsi inchi inavyoendelea. Aidha hutumika kuburudisha watu, kuwaliwaza kuimarisha masomo katika mitandao. Lakini tatizo la technolojia ya mitandao mpya imeleta pia madhara yako kama vile wanafunzi wadogo kupotoka kimaadili kwa kuangalia video potofu na kumfunza tabia mbovu katika jamii. Pia mitandao mingine inatumika kuwaibia watu rasilimali zao kama vile pesa kwenye simu. Hakuza uvivu kwa kuangalia televisheni na unapata mtu anajali sana kuhusu runinga kuliko kufanya kazi pale nyumbani. Tukiangazia teknolojia katika zahanati, imeimarisha sana matibabu katika hospitali siku hizi .Tukiangazia teknolojia katika zahanati imeimarisha sana matibabu katika nchi nyingi. Kwa mfano upasuaji wa viungo vya mwili bila mtu kusikia uchungu, uwekaji wa mtoto katika mama tasa asiyezaa matibabu ya figo kwa mwenye figo mbovu. Aidha, pia ina madhara yake, imeathiri wengi kwa kutumia kemikali nyingi ambazo huingiza kwa mwili wa binadamu na pia husababisha mtu kutoishii kwa muda mrefu badala ya kutumia dawa za kiasili ambazo huponya magonjwa tofauti tofauti bila ya kuathiri mtu. Tukiangazia usafiri, mambo mengi yameendelea sana kama vile meli, moboti ya kutumia umeme, gari moshi la kutumia umeme, mbinu za kupakia na kupakua mizigo katika vituo tofauti. Magari yameimarisha usafiri wa wanafunzi hapa nchini. Madhara yake ni husababisha ajali ambazo husababisha vifo Teknolojia hii imeleta manufaa mengi sana hapa nchini kama vile uimarishaji wa uchumi na uimarishaji wa miundomsingi.
Ni vipi tekinolojia ni muhimu katika utengenezaji wa vyakula
Kwa kutengeza soda na vyakula tofauti
x
3215_swa_5
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida yake na hata madhara yake. Faida zake ni kama vile rununu husaidia sana hasa katika mawasiliano na watu walio mbali, si kama zamani watu walitumia ngoma au kutuma mtu ili kupeleka ujumbe sehemu za mbali. Pia teknolojia imewezesha kuingia katika mitandao mbalimbali ili kuangalia jinsi inchi inavyoendelea. Aidha hutumika kuburudisha watu, kuwaliwaza kuimarisha masomo katika mitandao. Lakini tatizo la technolojia ya mitandao mpya imeleta pia madhara yako kama vile wanafunzi wadogo kupotoka kimaadili kwa kuangalia video potofu na kumfunza tabia mbovu katika jamii. Pia mitandao mingine inatumika kuwaibia watu rasilimali zao kama vile pesa kwenye simu. Hakuza uvivu kwa kuangalia televisheni na unapata mtu anajali sana kuhusu runinga kuliko kufanya kazi pale nyumbani. Tukiangazia teknolojia katika zahanati, imeimarisha sana matibabu katika hospitali siku hizi .Tukiangazia teknolojia katika zahanati imeimarisha sana matibabu katika nchi nyingi. Kwa mfano upasuaji wa viungo vya mwili bila mtu kusikia uchungu, uwekaji wa mtoto katika mama tasa asiyezaa matibabu ya figo kwa mwenye figo mbovu. Aidha, pia ina madhara yake, imeathiri wengi kwa kutumia kemikali nyingi ambazo huingiza kwa mwili wa binadamu na pia husababisha mtu kutoishii kwa muda mrefu badala ya kutumia dawa za kiasili ambazo huponya magonjwa tofauti tofauti bila ya kuathiri mtu. Tukiangazia usafiri, mambo mengi yameendelea sana kama vile meli, moboti ya kutumia umeme, gari moshi la kutumia umeme, mbinu za kupakia na kupakua mizigo katika vituo tofauti. Magari yameimarisha usafiri wa wanafunzi hapa nchini. Madhara yake ni husababisha ajali ambazo husababisha vifo Teknolojia hii imeleta manufaa mengi sana hapa nchini kama vile uimarishaji wa uchumi na uimarishaji wa miundomsingi.
Ni nini imeimarisha maisha
Tekinolojia
x
3215_swa_6
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida yake na hata madhara yake. Faida zake ni kama vile rununu husaidia sana hasa katika mawasiliano na watu walio mbali, si kama zamani watu walitumia ngoma au kutuma mtu ili kupeleka ujumbe sehemu za mbali. Pia teknolojia imewezesha kuingia katika mitandao mbalimbali ili kuangalia jinsi inchi inavyoendelea. Aidha hutumika kuburudisha watu, kuwaliwaza kuimarisha masomo katika mitandao. Lakini tatizo la technolojia ya mitandao mpya imeleta pia madhara yako kama vile wanafunzi wadogo kupotoka kimaadili kwa kuangalia video potofu na kumfunza tabia mbovu katika jamii. Pia mitandao mingine inatumika kuwaibia watu rasilimali zao kama vile pesa kwenye simu. Hakuza uvivu kwa kuangalia televisheni na unapata mtu anajali sana kuhusu runinga kuliko kufanya kazi pale nyumbani. Tukiangazia teknolojia katika zahanati, imeimarisha sana matibabu katika hospitali siku hizi .Tukiangazia teknolojia katika zahanati imeimarisha sana matibabu katika nchi nyingi. Kwa mfano upasuaji wa viungo vya mwili bila mtu kusikia uchungu, uwekaji wa mtoto katika mama tasa asiyezaa matibabu ya figo kwa mwenye figo mbovu. Aidha, pia ina madhara yake, imeathiri wengi kwa kutumia kemikali nyingi ambazo huingiza kwa mwili wa binadamu na pia husababisha mtu kutoishii kwa muda mrefu badala ya kutumia dawa za kiasili ambazo huponya magonjwa tofauti tofauti bila ya kuathiri mtu. Tukiangazia usafiri, mambo mengi yameendelea sana kama vile meli, moboti ya kutumia umeme, gari moshi la kutumia umeme, mbinu za kupakia na kupakua mizigo katika vituo tofauti. Magari yameimarisha usafiri wa wanafunzi hapa nchini. Madhara yake ni husababisha ajali ambazo husababisha vifo Teknolojia hii imeleta manufaa mengi sana hapa nchini kama vile uimarishaji wa uchumi na uimarishaji wa miundomsingi.
Wanafunzi wanapotoka nini
Maadili
x
3215_swa_7
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida yake na hata madhara yake. Faida zake ni kama vile rununu husaidia sana hasa katika mawasiliano na watu walio mbali, si kama zamani watu walitumia ngoma au kutuma mtu ili kupeleka ujumbe sehemu za mbali. Pia teknolojia imewezesha kuingia katika mitandao mbalimbali ili kuangalia jinsi inchi inavyoendelea. Aidha hutumika kuburudisha watu, kuwaliwaza kuimarisha masomo katika mitandao. Lakini tatizo la technolojia ya mitandao mpya imeleta pia madhara yako kama vile wanafunzi wadogo kupotoka kimaadili kwa kuangalia video potofu na kumfunza tabia mbovu katika jamii. Pia mitandao mingine inatumika kuwaibia watu rasilimali zao kama vile pesa kwenye simu. Hakuza uvivu kwa kuangalia televisheni na unapata mtu anajali sana kuhusu runinga kuliko kufanya kazi pale nyumbani. Tukiangazia teknolojia katika zahanati, imeimarisha sana matibabu katika hospitali siku hizi .Tukiangazia teknolojia katika zahanati imeimarisha sana matibabu katika nchi nyingi. Kwa mfano upasuaji wa viungo vya mwili bila mtu kusikia uchungu, uwekaji wa mtoto katika mama tasa asiyezaa matibabu ya figo kwa mwenye figo mbovu. Aidha, pia ina madhara yake, imeathiri wengi kwa kutumia kemikali nyingi ambazo huingiza kwa mwili wa binadamu na pia husababisha mtu kutoishii kwa muda mrefu badala ya kutumia dawa za kiasili ambazo huponya magonjwa tofauti tofauti bila ya kuathiri mtu. Tukiangazia usafiri, mambo mengi yameendelea sana kama vile meli, moboti ya kutumia umeme, gari moshi la kutumia umeme, mbinu za kupakia na kupakua mizigo katika vituo tofauti. Magari yameimarisha usafiri wa wanafunzi hapa nchini. Madhara yake ni husababisha ajali ambazo husababisha vifo Teknolojia hii imeleta manufaa mengi sana hapa nchini kama vile uimarishaji wa uchumi na uimarishaji wa miundomsingi.
Tekinolojia katika zahanati imeimarisha nini
Matibabu
x
3215_swa_8
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida yake na hata madhara yake. Faida zake ni kama vile rununu husaidia sana hasa katika mawasiliano na watu walio mbali, si kama zamani watu walitumia ngoma au kutuma mtu ili kupeleka ujumbe sehemu za mbali. Pia teknolojia imewezesha kuingia katika mitandao mbalimbali ili kuangalia jinsi inchi inavyoendelea. Aidha hutumika kuburudisha watu, kuwaliwaza kuimarisha masomo katika mitandao. Lakini tatizo la technolojia ya mitandao mpya imeleta pia madhara yako kama vile wanafunzi wadogo kupotoka kimaadili kwa kuangalia video potofu na kumfunza tabia mbovu katika jamii. Pia mitandao mingine inatumika kuwaibia watu rasilimali zao kama vile pesa kwenye simu. Hakuza uvivu kwa kuangalia televisheni na unapata mtu anajali sana kuhusu runinga kuliko kufanya kazi pale nyumbani. Tukiangazia teknolojia katika zahanati, imeimarisha sana matibabu katika hospitali siku hizi .Tukiangazia teknolojia katika zahanati imeimarisha sana matibabu katika nchi nyingi. Kwa mfano upasuaji wa viungo vya mwili bila mtu kusikia uchungu, uwekaji wa mtoto katika mama tasa asiyezaa matibabu ya figo kwa mwenye figo mbovu. Aidha, pia ina madhara yake, imeathiri wengi kwa kutumia kemikali nyingi ambazo huingiza kwa mwili wa binadamu na pia husababisha mtu kutoishii kwa muda mrefu badala ya kutumia dawa za kiasili ambazo huponya magonjwa tofauti tofauti bila ya kuathiri mtu. Tukiangazia usafiri, mambo mengi yameendelea sana kama vile meli, moboti ya kutumia umeme, gari moshi la kutumia umeme, mbinu za kupakia na kupakua mizigo katika vituo tofauti. Magari yameimarisha usafiri wa wanafunzi hapa nchini. Madhara yake ni husababisha ajali ambazo husababisha vifo Teknolojia hii imeleta manufaa mengi sana hapa nchini kama vile uimarishaji wa uchumi na uimarishaji wa miundomsingi.
Ajali hewani nna majini huleta nini
Maangamizi
x
3215_swa_9
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida yake na hata madhara yake. Faida zake ni kama vile rununu husaidia sana hasa katika mawasiliano na watu walio mbali, si kama zamani watu walitumia ngoma au kutuma mtu ili kupeleka ujumbe sehemu za mbali. Pia teknolojia imewezesha kuingia katika mitandao mbalimbali ili kuangalia jinsi inchi inavyoendelea. Aidha hutumika kuburudisha watu, kuwaliwaza kuimarisha masomo katika mitandao. Lakini tatizo la technolojia ya mitandao mpya imeleta pia madhara yako kama vile wanafunzi wadogo kupotoka kimaadili kwa kuangalia video potofu na kumfunza tabia mbovu katika jamii. Pia mitandao mingine inatumika kuwaibia watu rasilimali zao kama vile pesa kwenye simu. Hakuza uvivu kwa kuangalia televisheni na unapata mtu anajali sana kuhusu runinga kuliko kufanya kazi pale nyumbani. Tukiangazia teknolojia katika zahanati, imeimarisha sana matibabu katika hospitali siku hizi .Tukiangazia teknolojia katika zahanati imeimarisha sana matibabu katika nchi nyingi. Kwa mfano upasuaji wa viungo vya mwili bila mtu kusikia uchungu, uwekaji wa mtoto katika mama tasa asiyezaa matibabu ya figo kwa mwenye figo mbovu. Aidha, pia ina madhara yake, imeathiri wengi kwa kutumia kemikali nyingi ambazo huingiza kwa mwili wa binadamu na pia husababisha mtu kutoishii kwa muda mrefu badala ya kutumia dawa za kiasili ambazo huponya magonjwa tofauti tofauti bila ya kuathiri mtu. Tukiangazia usafiri, mambo mengi yameendelea sana kama vile meli, moboti ya kutumia umeme, gari moshi la kutumia umeme, mbinu za kupakia na kupakua mizigo katika vituo tofauti. Magari yameimarisha usafiri wa wanafunzi hapa nchini. Madhara yake ni husababisha ajali ambazo husababisha vifo Teknolojia hii imeleta manufaa mengi sana hapa nchini kama vile uimarishaji wa uchumi na uimarishaji wa miundomsingi.
Kwa nini tekinolojia husababisha madhara kwa chakula
Kwa vile chakula hutengenezwa kwa kemikali
x
3224_swa_0
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifanana na jina lake kwani alikuwa mrembo mno. Urembo wake haungeweza kufananishwa. Watu wengi walimsifia Kipusa kwa uzuri wake na bidii yake katika kazi zake za nyumbani. Lakini siku zote, hakukosa kasoro kwani Kipusa alikuwa na tabia ya kupenda wanaume hasa waume waliooa. Wenziwe walijaribu kumkanya mwanamwali huyo lakini juhudi zao ziliambulia patupu kwani hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Tabia hii aliendeleza kwa miaka mingi mpaka watu wakachoka kuongea nae na wakaamua kumuachia dunia imfunze na kumpa kichapo cha haki. Kipusa alianza kuwa na vidonda mwilini na akakonda kama ng'onda. Baada ya mwezi mmoja Kipusa, alikata kamba kwa sababu alikuwa mbishi. Kila alipoambiwa aende hospitali kutibiwa, alidai kuwa si ugonjwa bali ni maadui zake wameamua kumkandamiza. Tunaweza kupata funzo kubwa katika kisa hiki kuwa kila unapoambiwa kuwa kitu si kizuri usiendeleze. Unafaa utilie maanani mawaidha unayopewa.
Ni nini jina la Kitongoji
Bima
x
3224_swa_1
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifanana na jina lake kwani alikuwa mrembo mno. Urembo wake haungeweza kufananishwa. Watu wengi walimsifia Kipusa kwa uzuri wake na bidii yake katika kazi zake za nyumbani. Lakini siku zote, hakukosa kasoro kwani Kipusa alikuwa na tabia ya kupenda wanaume hasa waume waliooa. Wenziwe walijaribu kumkanya mwanamwali huyo lakini juhudi zao ziliambulia patupu kwani hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Tabia hii aliendeleza kwa miaka mingi mpaka watu wakachoka kuongea nae na wakaamua kumuachia dunia imfunze na kumpa kichapo cha haki. Kipusa alianza kuwa na vidonda mwilini na akakonda kama ng'onda. Baada ya mwezi mmoja Kipusa, alikata kamba kwa sababu alikuwa mbishi. Kila alipoambiwa aende hospitali kutibiwa, alidai kuwa si ugonjwa bali ni maadui zake wameamua kumkandamiza. Tunaweza kupata funzo kubwa katika kisa hiki kuwa kila unapoambiwa kuwa kitu si kizuri usiendeleze. Unafaa utilie maanani mawaidha unayopewa.
Kitongoji cha Bima paliishi mwanamwali anaitwa nani
Kipusa
x
3224_swa_2
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifanana na jina lake kwani alikuwa mrembo mno. Urembo wake haungeweza kufananishwa. Watu wengi walimsifia Kipusa kwa uzuri wake na bidii yake katika kazi zake za nyumbani. Lakini siku zote, hakukosa kasoro kwani Kipusa alikuwa na tabia ya kupenda wanaume hasa waume waliooa. Wenziwe walijaribu kumkanya mwanamwali huyo lakini juhudi zao ziliambulia patupu kwani hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Tabia hii aliendeleza kwa miaka mingi mpaka watu wakachoka kuongea nae na wakaamua kumuachia dunia imfunze na kumpa kichapo cha haki. Kipusa alianza kuwa na vidonda mwilini na akakonda kama ng'onda. Baada ya mwezi mmoja Kipusa, alikata kamba kwa sababu alikuwa mbishi. Kila alipoambiwa aende hospitali kutibiwa, alidai kuwa si ugonjwa bali ni maadui zake wameamua kumkandamiza. Tunaweza kupata funzo kubwa katika kisa hiki kuwa kila unapoambiwa kuwa kitu si kizuri usiendeleze. Unafaa utilie maanani mawaidha unayopewa.
Kipusa alikuwa na tabia ya kupenda nani
Wanaume
x
3224_swa_3
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifanana na jina lake kwani alikuwa mrembo mno. Urembo wake haungeweza kufananishwa. Watu wengi walimsifia Kipusa kwa uzuri wake na bidii yake katika kazi zake za nyumbani. Lakini siku zote, hakukosa kasoro kwani Kipusa alikuwa na tabia ya kupenda wanaume hasa waume waliooa. Wenziwe walijaribu kumkanya mwanamwali huyo lakini juhudi zao ziliambulia patupu kwani hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Tabia hii aliendeleza kwa miaka mingi mpaka watu wakachoka kuongea nae na wakaamua kumuachia dunia imfunze na kumpa kichapo cha haki. Kipusa alianza kuwa na vidonda mwilini na akakonda kama ng'onda. Baada ya mwezi mmoja Kipusa, alikata kamba kwa sababu alikuwa mbishi. Kila alipoambiwa aende hospitali kutibiwa, alidai kuwa si ugonjwa bali ni maadui zake wameamua kumkandamiza. Tunaweza kupata funzo kubwa katika kisa hiki kuwa kila unapoambiwa kuwa kitu si kizuri usiendeleze. Unafaa utilie maanani mawaidha unayopewa.
Kipusa alikata kamba baada ya muda upi
Mwezi mmoja
x
3224_swa_4
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifanana na jina lake kwani alikuwa mrembo mno. Urembo wake haungeweza kufananishwa. Watu wengi walimsifia Kipusa kwa uzuri wake na bidii yake katika kazi zake za nyumbani. Lakini siku zote, hakukosa kasoro kwani Kipusa alikuwa na tabia ya kupenda wanaume hasa waume waliooa. Wenziwe walijaribu kumkanya mwanamwali huyo lakini juhudi zao ziliambulia patupu kwani hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Tabia hii aliendeleza kwa miaka mingi mpaka watu wakachoka kuongea nae na wakaamua kumuachia dunia imfunze na kumpa kichapo cha haki. Kipusa alianza kuwa na vidonda mwilini na akakonda kama ng'onda. Baada ya mwezi mmoja Kipusa, alikata kamba kwa sababu alikuwa mbishi. Kila alipoambiwa aende hospitali kutibiwa, alidai kuwa si ugonjwa bali ni maadui zake wameamua kumkandamiza. Tunaweza kupata funzo kubwa katika kisa hiki kuwa kila unapoambiwa kuwa kitu si kizuri usiendeleze. Unafaa utilie maanani mawaidha unayopewa.
Kipusa angefanya nini kuepuka kifo
Angejisitiri na kuwaheshimu waume za watu
x
3224_swa_5
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifanana na jina lake kwani alikuwa mrembo mno. Urembo wake haungeweza kufananishwa. Watu wengi walimsifia Kipusa kwa uzuri wake na bidii yake katika kazi zake za nyumbani. Lakini siku zote, hakukosa kasoro kwani Kipusa alikuwa na tabia ya kupenda wanaume hasa waume waliooa. Wenziwe walijaribu kumkanya mwanamwali huyo lakini juhudi zao ziliambulia patupu kwani hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Tabia hii aliendeleza kwa miaka mingi mpaka watu wakachoka kuongea nae na wakaamua kumuachia dunia imfunze na kumpa kichapo cha haki. Kipusa alianza kuwa na vidonda mwilini na akakonda kama ng'onda. Baada ya mwezi mmoja Kipusa, alikata kamba kwa sababu alikuwa mbishi. Kila alipoambiwa aende hospitali kutibiwa, alidai kuwa si ugonjwa bali ni maadui zake wameamua kumkandamiza. Tunaweza kupata funzo kubwa katika kisa hiki kuwa kila unapoambiwa kuwa kitu si kizuri usiendeleze. Unafaa utilie maanani mawaidha unayopewa.
Katika kijiji cha Bima paliishi mwanamwali alijulikana kama nani
Kipusa
x
3224_swa_6
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifanana na jina lake kwani alikuwa mrembo mno. Urembo wake haungeweza kufananishwa. Watu wengi walimsifia Kipusa kwa uzuri wake na bidii yake katika kazi zake za nyumbani. Lakini siku zote, hakukosa kasoro kwani Kipusa alikuwa na tabia ya kupenda wanaume hasa waume waliooa. Wenziwe walijaribu kumkanya mwanamwali huyo lakini juhudi zao ziliambulia patupu kwani hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Tabia hii aliendeleza kwa miaka mingi mpaka watu wakachoka kuongea nae na wakaamua kumuachia dunia imfunze na kumpa kichapo cha haki. Kipusa alianza kuwa na vidonda mwilini na akakonda kama ng'onda. Baada ya mwezi mmoja Kipusa, alikata kamba kwa sababu alikuwa mbishi. Kila alipoambiwa aende hospitali kutibiwa, alidai kuwa si ugonjwa bali ni maadui zake wameamua kumkandamiza. Tunaweza kupata funzo kubwa katika kisa hiki kuwa kila unapoambiwa kuwa kitu si kizuri usiendeleze. Unafaa utilie maanani mawaidha unayopewa.
Watu walimsifia Kipusa kwa sababu gani
Uzuri
x
3224_swa_7
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifanana na jina lake kwani alikuwa mrembo mno. Urembo wake haungeweza kufananishwa. Watu wengi walimsifia Kipusa kwa uzuri wake na bidii yake katika kazi zake za nyumbani. Lakini siku zote, hakukosa kasoro kwani Kipusa alikuwa na tabia ya kupenda wanaume hasa waume waliooa. Wenziwe walijaribu kumkanya mwanamwali huyo lakini juhudi zao ziliambulia patupu kwani hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Tabia hii aliendeleza kwa miaka mingi mpaka watu wakachoka kuongea nae na wakaamua kumuachia dunia imfunze na kumpa kichapo cha haki. Kipusa alianza kuwa na vidonda mwilini na akakonda kama ng'onda. Baada ya mwezi mmoja Kipusa, alikata kamba kwa sababu alikuwa mbishi. Kila alipoambiwa aende hospitali kutibiwa, alidai kuwa si ugonjwa bali ni maadui zake wameamua kumkandamiza. Tunaweza kupata funzo kubwa katika kisa hiki kuwa kila unapoambiwa kuwa kitu si kizuri usiendeleze. Unafaa utilie maanani mawaidha unayopewa.
Kipusa alikuwa na tabia ya kupenda nani
Wanaume
x
3224_swa_8
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifanana na jina lake kwani alikuwa mrembo mno. Urembo wake haungeweza kufananishwa. Watu wengi walimsifia Kipusa kwa uzuri wake na bidii yake katika kazi zake za nyumbani. Lakini siku zote, hakukosa kasoro kwani Kipusa alikuwa na tabia ya kupenda wanaume hasa waume waliooa. Wenziwe walijaribu kumkanya mwanamwali huyo lakini juhudi zao ziliambulia patupu kwani hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Tabia hii aliendeleza kwa miaka mingi mpaka watu wakachoka kuongea nae na wakaamua kumuachia dunia imfunze na kumpa kichapo cha haki. Kipusa alianza kuwa na vidonda mwilini na akakonda kama ng'onda. Baada ya mwezi mmoja Kipusa, alikata kamba kwa sababu alikuwa mbishi. Kila alipoambiwa aende hospitali kutibiwa, alidai kuwa si ugonjwa bali ni maadui zake wameamua kumkandamiza. Tunaweza kupata funzo kubwa katika kisa hiki kuwa kila unapoambiwa kuwa kitu si kizuri usiendeleze. Unafaa utilie maanani mawaidha unayopewa.
Baada ya miezi ngapi Kipusa alikata kamba
Moja
x
3224_swa_9
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifanana na jina lake kwani alikuwa mrembo mno. Urembo wake haungeweza kufananishwa. Watu wengi walimsifia Kipusa kwa uzuri wake na bidii yake katika kazi zake za nyumbani. Lakini siku zote, hakukosa kasoro kwani Kipusa alikuwa na tabia ya kupenda wanaume hasa waume waliooa. Wenziwe walijaribu kumkanya mwanamwali huyo lakini juhudi zao ziliambulia patupu kwani hakusikia la mwadhini wala la mteka maji msikitini. Tabia hii aliendeleza kwa miaka mingi mpaka watu wakachoka kuongea nae na wakaamua kumuachia dunia imfunze na kumpa kichapo cha haki. Kipusa alianza kuwa na vidonda mwilini na akakonda kama ng'onda. Baada ya mwezi mmoja Kipusa, alikata kamba kwa sababu alikuwa mbishi. Kila alipoambiwa aende hospitali kutibiwa, alidai kuwa si ugonjwa bali ni maadui zake wameamua kumkandamiza. Tunaweza kupata funzo kubwa katika kisa hiki kuwa kila unapoambiwa kuwa kitu si kizuri usiendeleze. Unafaa utilie maanani mawaidha unayopewa.
Kwa nini ngono za ovyo ni hatari
Huleta mimba na maradhi
x
3233_swa_0
3233_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Imebainika kwamba uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Vilevile uvumbuzi huu wa teknologia una faida kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tukiangazia hasa uvumbuzi wa tarakilishi katika shule za sekondari, tunaona kwamba una faida zake hasa kwa upande wa wanafunzi wanaosoma kutumia tarakilishi. Wanafunzi hao huwa na uzoefu wa kutumia vyombo hivyo vya kiteknolojia ya kisasa na hata wanapomaliza shule ya upili huwa tayari hawana shida na kutumia vyombo hivi. Teknolojia pia huwafanya wanafunzi kuwa werevu wakati wanapozoea kutumia au kusoma kwa kutumia vyombo hivyo. Katika utumiaji wa tarakilishi katika shule za sekondari, wanafunzi hupata njia iliyo rahisi kwao wanaposoma na pia hujifunza mambo mapya ambayo huwanufaisha masomoni mwao na hata maishani mwao. Katika utumiaji wa vyombo vya kiteknolojia, wanafunzi hurahisishiwa masomo yao. Pia huwapunguzia kazi ya kuchoka kuandika kwenye daftari zao. Hata hivyo, chenye uzuri pia hakikosi ubaya wake. Teknolojia imewafanya wanafunzi kuwa wajinga kwa sababu, wakati wanapozoea kutumia tarakilishi bila ya kuandika kwenye daftari basi, wengi wao wanasahau hata kuandika. Wanaosoma somo la kompyuta huwa hawana muda wa kusoma masomo mengine kwa sababu muda wao mwingi huutumia kwa kuangazia tarakilishi na kusahau masomo mengine. Katika kutumia vyombo vya kiteknolojia, wanafunzi wengi huwa hawatumii akili zao na wanakosa kufikiria. Hata kama hesabu ni ndogo ya kutumia akili, mwanafunzi atatumia kikokotoo badala ya kutumia akili yake kufikiria hesabu hiyo. Kwa hivyo inabainika kwamba uvumbuzi huu wa vyombo vya kiteknolojia vimewafanya wanafunzi wakose kufikiria mambo madogo madogo.
Wanafunzi wanasoma kwa kutumia nini
Tarakilishi
x
3233_swa_1
3233_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Imebainika kwamba uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Vilevile uvumbuzi huu wa teknologia una faida kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tukiangazia hasa uvumbuzi wa tarakilishi katika shule za sekondari, tunaona kwamba una faida zake hasa kwa upande wa wanafunzi wanaosoma kutumia tarakilishi. Wanafunzi hao huwa na uzoefu wa kutumia vyombo hivyo vya kiteknolojia ya kisasa na hata wanapomaliza shule ya upili huwa tayari hawana shida na kutumia vyombo hivi. Teknolojia pia huwafanya wanafunzi kuwa werevu wakati wanapozoea kutumia au kusoma kwa kutumia vyombo hivyo. Katika utumiaji wa tarakilishi katika shule za sekondari, wanafunzi hupata njia iliyo rahisi kwao wanaposoma na pia hujifunza mambo mapya ambayo huwanufaisha masomoni mwao na hata maishani mwao. Katika utumiaji wa vyombo vya kiteknolojia, wanafunzi hurahisishiwa masomo yao. Pia huwapunguzia kazi ya kuchoka kuandika kwenye daftari zao. Hata hivyo, chenye uzuri pia hakikosi ubaya wake. Teknolojia imewafanya wanafunzi kuwa wajinga kwa sababu, wakati wanapozoea kutumia tarakilishi bila ya kuandika kwenye daftari basi, wengi wao wanasahau hata kuandika. Wanaosoma somo la kompyuta huwa hawana muda wa kusoma masomo mengine kwa sababu muda wao mwingi huutumia kwa kuangazia tarakilishi na kusahau masomo mengine. Katika kutumia vyombo vya kiteknolojia, wanafunzi wengi huwa hawatumii akili zao na wanakosa kufikiria. Hata kama hesabu ni ndogo ya kutumia akili, mwanafunzi atatumia kikokotoo badala ya kutumia akili yake kufikiria hesabu hiyo. Kwa hivyo inabainika kwamba uvumbuzi huu wa vyombo vya kiteknolojia vimewafanya wanafunzi wakose kufikiria mambo madogo madogo.
Tekinolojia imewafanya wanafunzi kuwa nini
Wajinga
x
3233_swa_2
3233_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Imebainika kwamba uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Vilevile uvumbuzi huu wa teknologia una faida kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tukiangazia hasa uvumbuzi wa tarakilishi katika shule za sekondari, tunaona kwamba una faida zake hasa kwa upande wa wanafunzi wanaosoma kutumia tarakilishi. Wanafunzi hao huwa na uzoefu wa kutumia vyombo hivyo vya kiteknolojia ya kisasa na hata wanapomaliza shule ya upili huwa tayari hawana shida na kutumia vyombo hivi. Teknolojia pia huwafanya wanafunzi kuwa werevu wakati wanapozoea kutumia au kusoma kwa kutumia vyombo hivyo. Katika utumiaji wa tarakilishi katika shule za sekondari, wanafunzi hupata njia iliyo rahisi kwao wanaposoma na pia hujifunza mambo mapya ambayo huwanufaisha masomoni mwao na hata maishani mwao. Katika utumiaji wa vyombo vya kiteknolojia, wanafunzi hurahisishiwa masomo yao. Pia huwapunguzia kazi ya kuchoka kuandika kwenye daftari zao. Hata hivyo, chenye uzuri pia hakikosi ubaya wake. Teknolojia imewafanya wanafunzi kuwa wajinga kwa sababu, wakati wanapozoea kutumia tarakilishi bila ya kuandika kwenye daftari basi, wengi wao wanasahau hata kuandika. Wanaosoma somo la kompyuta huwa hawana muda wa kusoma masomo mengine kwa sababu muda wao mwingi huutumia kwa kuangazia tarakilishi na kusahau masomo mengine. Katika kutumia vyombo vya kiteknolojia, wanafunzi wengi huwa hawatumii akili zao na wanakosa kufikiria. Hata kama hesabu ni ndogo ya kutumia akili, mwanafunzi atatumia kikokotoo badala ya kutumia akili yake kufikiria hesabu hiyo. Kwa hivyo inabainika kwamba uvumbuzi huu wa vyombo vya kiteknolojia vimewafanya wanafunzi wakose kufikiria mambo madogo madogo.
Wanafunzi wanatumia muda wao mwingi kusoma nini
Tarakilishi
x
3233_swa_3
3233_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Imebainika kwamba uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Vilevile uvumbuzi huu wa teknologia una faida kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tukiangazia hasa uvumbuzi wa tarakilishi katika shule za sekondari, tunaona kwamba una faida zake hasa kwa upande wa wanafunzi wanaosoma kutumia tarakilishi. Wanafunzi hao huwa na uzoefu wa kutumia vyombo hivyo vya kiteknolojia ya kisasa na hata wanapomaliza shule ya upili huwa tayari hawana shida na kutumia vyombo hivi. Teknolojia pia huwafanya wanafunzi kuwa werevu wakati wanapozoea kutumia au kusoma kwa kutumia vyombo hivyo. Katika utumiaji wa tarakilishi katika shule za sekondari, wanafunzi hupata njia iliyo rahisi kwao wanaposoma na pia hujifunza mambo mapya ambayo huwanufaisha masomoni mwao na hata maishani mwao. Katika utumiaji wa vyombo vya kiteknolojia, wanafunzi hurahisishiwa masomo yao. Pia huwapunguzia kazi ya kuchoka kuandika kwenye daftari zao. Hata hivyo, chenye uzuri pia hakikosi ubaya wake. Teknolojia imewafanya wanafunzi kuwa wajinga kwa sababu, wakati wanapozoea kutumia tarakilishi bila ya kuandika kwenye daftari basi, wengi wao wanasahau hata kuandika. Wanaosoma somo la kompyuta huwa hawana muda wa kusoma masomo mengine kwa sababu muda wao mwingi huutumia kwa kuangazia tarakilishi na kusahau masomo mengine. Katika kutumia vyombo vya kiteknolojia, wanafunzi wengi huwa hawatumii akili zao na wanakosa kufikiria. Hata kama hesabu ni ndogo ya kutumia akili, mwanafunzi atatumia kikokotoo badala ya kutumia akili yake kufikiria hesabu hiyo. Kwa hivyo inabainika kwamba uvumbuzi huu wa vyombo vya kiteknolojia vimewafanya wanafunzi wakose kufikiria mambo madogo madogo.
Mwanafunzi anatumia nini kufanya hesabu
Kikokotoo
x
3233_swa_4
3233_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Imebainika kwamba uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Vilevile uvumbuzi huu wa teknologia una faida kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tukiangazia hasa uvumbuzi wa tarakilishi katika shule za sekondari, tunaona kwamba una faida zake hasa kwa upande wa wanafunzi wanaosoma kutumia tarakilishi. Wanafunzi hao huwa na uzoefu wa kutumia vyombo hivyo vya kiteknolojia ya kisasa na hata wanapomaliza shule ya upili huwa tayari hawana shida na kutumia vyombo hivi. Teknolojia pia huwafanya wanafunzi kuwa werevu wakati wanapozoea kutumia au kusoma kwa kutumia vyombo hivyo. Katika utumiaji wa tarakilishi katika shule za sekondari, wanafunzi hupata njia iliyo rahisi kwao wanaposoma na pia hujifunza mambo mapya ambayo huwanufaisha masomoni mwao na hata maishani mwao. Katika utumiaji wa vyombo vya kiteknolojia, wanafunzi hurahisishiwa masomo yao. Pia huwapunguzia kazi ya kuchoka kuandika kwenye daftari zao. Hata hivyo, chenye uzuri pia hakikosi ubaya wake. Teknolojia imewafanya wanafunzi kuwa wajinga kwa sababu, wakati wanapozoea kutumia tarakilishi bila ya kuandika kwenye daftari basi, wengi wao wanasahau hata kuandika. Wanaosoma somo la kompyuta huwa hawana muda wa kusoma masomo mengine kwa sababu muda wao mwingi huutumia kwa kuangazia tarakilishi na kusahau masomo mengine. Katika kutumia vyombo vya kiteknolojia, wanafunzi wengi huwa hawatumii akili zao na wanakosa kufikiria. Hata kama hesabu ni ndogo ya kutumia akili, mwanafunzi atatumia kikokotoo badala ya kutumia akili yake kufikiria hesabu hiyo. Kwa hivyo inabainika kwamba uvumbuzi huu wa vyombo vya kiteknolojia vimewafanya wanafunzi wakose kufikiria mambo madogo madogo.
Tekinolojia inafanya wanafunzi wavivu kivipi
Wanakosa kufikiria mambo madogo
x